23 February 2024
Morogoro, Tanzania
View: https://m.youtube.com/watch?v=Z53l5mEXWwU
Migogoro ya ardhi kutokana na wingi ya idadi ya watu nchini, matumizi ya ardhi kwa kilimo na ufugaji yanatakiwa kupatiwa ufumbuzi wa haraka.
Pia ufafanuzi wa umiliki wa ardhi elimu ya uraia yatolewa na bunge la wananchi :
Morogoro, Tanzania
View: https://m.youtube.com/watch?v=Z53l5mEXWwU
Migogoro ya ardhi kutokana na wingi ya idadi ya watu nchini, matumizi ya ardhi kwa kilimo na ufugaji yanatakiwa kupatiwa ufumbuzi wa haraka.
Pia ufafanuzi wa umiliki wa ardhi elimu ya uraia yatolewa na bunge la wananchi :
- Ardhi iliyogolewa visiki na kusafishwa na wananchi
- Ardhi inayomilikiwa na kijijini
- Umiliki kupitia urithi, kununua
- Sheria za ardhi ya mwaka 2019
- Kamishna wa ardhi
- Mabwanyenye kugawiwa ardhi ya wananchi
- Wabunge husika kukaa kimya
- Rais kama mdhamini wa ardhi
- N.k