Comrade Ally Maftah
Member
- Nov 6, 2016
- 52
- 141
Askofu Josephat Gwajima - Mbunge wa Karne
Na Comrade Ally Maftah
Tunaposema "Mtu sahihi kwa wakati sahihi" hatukosei, balaa linalofanywa na Askofu kwanye nyanja ya maendeleo katika jimbo la kawe vijana wanasema "Usipime".
Akofu Gwajima;
-Anajenga ofisi za Chama zaidi ya 20 kwenye jimbo lake kwa jitihada zake binafsi.
-Ameanzisha hamasa za michezo kuchangamsha wana Kawe Rede Cup, Jogging, Footbal na michezo mingi. Nasubiri mashindano ya kukamata nzi au kukimbiza kuku.
- Anapiga ziara za Tawi wa Shina kuimarisha chama.
Askofu Gwajima mtu sahihi kwa wakati sahihi.
Imeandikwa na
Comrade Ally Maftah, Mjumbe Mkutano Mkuu wa CCM & Jumuiya ya Wazazi Mkoa - DSM.
Na Comrade Ally Maftah
Tunaposema "Mtu sahihi kwa wakati sahihi" hatukosei, balaa linalofanywa na Askofu kwanye nyanja ya maendeleo katika jimbo la kawe vijana wanasema "Usipime".
Akofu Gwajima;
-Anajenga ofisi za Chama zaidi ya 20 kwenye jimbo lake kwa jitihada zake binafsi.
-Ameanzisha hamasa za michezo kuchangamsha wana Kawe Rede Cup, Jogging, Footbal na michezo mingi. Nasubiri mashindano ya kukamata nzi au kukimbiza kuku.
- Anapiga ziara za Tawi wa Shina kuimarisha chama.
Askofu Gwajima mtu sahihi kwa wakati sahihi.
Imeandikwa na
Comrade Ally Maftah, Mjumbe Mkutano Mkuu wa CCM & Jumuiya ya Wazazi Mkoa - DSM.