Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Waziri wa mambo ya Nje mh January Makamba amewaambia diaspora nchini Italy Kwamba tuna kila sababu ya kumchagua tena Rais Samia katika Uchaguzi wa 2025 January amesema Rais Samia alichukua...
2 Reactions
6 Replies
847 Views
-Ukusanyaji wa Maduhuli ya Serikali Katika kipindi cha kuanzia Machi 2021 hadi Februari 2024, Wizara kupitia Tume ya Madini imeendelea kutekeleza jukumu la ukusanyaji wa maduhuli ya Serikali...
0 Reactions
0 Replies
786 Views
Rais Samia Suluhu Hassan amekuwa kiongozi shupavu na mwenye ujasiri tangu alipoingia madarakani. Kama mwanamke wa kwanza kushika nafasi ya urais nchini Tanzania, Rais Samia ameleta mabadiliko...
2 Reactions
18 Replies
1K Views
Hayati Magufuli alikuwa ni mwafrika tena mwenye mfumo dume. Alikuwa baba ambaye amekuzwa katika kusema ukweli na kushinikiza kutendeka kila anachotaka yeye. Alikuwa mzazi asiyependa kukosolewa na...
6 Reactions
4 Replies
685 Views
Kama alivyosema Ismael Jussa kwamba mabadiliko kamili nchini Tanzania yataanzia Zanzibar kupitia ACT wazalendo " mpya" Sasa nimeanza kumuelewa nawaona Watu wanagombea Kadi Kustaafu kwa Zitto...
2 Reactions
73 Replies
4K Views
Siasa za uswahiba na kupigana majungu zimemfanya Rais amuondoe mkuu wa mkoa Singida Peter Serukamba baada ya kukwama kutimiza majukumu yake huku Rais akitamka hadharani kuwa Serukamba ni mchapa...
8 Reactions
37 Replies
3K Views
Tofauti na propaganda za serikali ya wanaccm za kila mwaka, kuwa uchumi wa watanzania unakuwa kwa asilimia kubwa kila mwaka, benki ya Dunia imewashushua waendesha propaganda hizo kwa kueleza...
19 Reactions
98 Replies
6K Views
Juzi Mhe. Rais akiwaapisha Wateule wake alikemea sana wizi unaofanyika Serikalini na baadaye akasema kuwa kuanzia sasa Halmashauri zitapewa fedha kutoka Serikalini kutokana na makusanyo yake...
8 Reactions
30 Replies
2K Views
#Habari: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amewataka viongozi wateule kusimamia tatizo la wizi wa fedha unaofanywa na watumishi wa umma kwa kushirikiana na...
20 Reactions
70 Replies
5K Views
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk Doto Biteko amewataka watendaji Wizara ya Nishati, Tanesco na REA kuacha mazoea na kutatua kero za wananchi. Dk Biteko ameyasema hayo leo Alhamisi...
0 Reactions
4 Replies
806 Views
RC SONGWE AAGIZA WALIOTAFUNA MILIONI 400 ZA MRADI WA MACHINGA TUNDUMA KUKAMATWA. TUNDUMA: Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Mhe. Dkt. Francis Michael ameviagiza vyombo vya ulinzi kuanza kuwachukulia hatua...
2 Reactions
8 Replies
1K Views
Mbunge wa Viti Maalum Chadema mh Halima Mdee atatoa Ushuhuda namna Shujaa Maguful na Chadema walivyoshirikiana kuleta maendeleo ya Jimbo la Kawe tangu Shujaa akiwa Waziri wa Ujenzi, Waziri wa...
3 Reactions
15 Replies
1K Views
Ujerumani: Mradi wa umeme wa Tanzania wapigiwa kura bungeni Bunge la Ujerumani limepitisha mswada wa kuitaka serikali ya Ujerumani itafute njia mbadala ya mradi wa Tanzania wa kuzalisha nishati...
60 Reactions
783 Replies
96K Views
Wanadau wa JF na wa RMF 1. Nashukuru kwa wale wachache ambao mpaka sasa wamekuwa active katika kutoa maoni yao na michango kwa njia mbalimbali. Ikumbukwe kuwa baadhi yetu humu tumekuwa...
6 Reactions
19 Replies
3K Views
Kuongoza nchi si kitendo Cha kusema tumpe nani nafasi tujaribu kuona atafanya nini ila kitendo Cha kuwa na Imani nani kabeba matarajio ya wapiga kura na wananchi Kwa ujumla. Vyama vya upinzani...
1 Reactions
1 Replies
396 Views
Wakuu mambo ni vipi? Leo nilikuwa naomba kuuliza hivi ni lazima kumshukuru mtu ambaye umemuajiri? Wakati anafanya kazi na unamlipa pesa yake? Sikatai mtu kupongezwa Lakini inapozidi inashusha...
4 Reactions
14 Replies
980 Views
Hii ndio ranking kwa mtazamo wangu kulingana na aina ya speech. General Speech 1. Mkapa 2. Magufuli 3. JK 4. Mwinyi 5. Samia Speech za mipango na maendeleo 1. Magufuli 2. Mkapa 3. Kikwete 4...
7 Reactions
48 Replies
3K Views
Mikataba mingapi ya ujenzi ilisainiwa na Profesa Mbarawa mwaka jana 2023? Je, mikataba inasaiwa hadharani Tanzania kweli kuna vituko. Sijui ataendelea na mchezo huu huko Mawasiliano. Ni mingapi...
1 Reactions
1 Replies
735 Views
Katibu Mkuu wa Chadema, John Mnyika amesema chama hicho kilifahamu kuwa Lazaro Nyalandu na Seleman Mathew, ambao wote walikuwa wajumbe wa kamati kuu ya chama hicho, wangeondoka kutokana na...
9 Reactions
59 Replies
7K Views
Waziri wa Mambo ya nje wa Afrika Kusini Naledi Pandor amesema kuwa raia wa taifa hilo wanaopigania Jeshi la Ulinzi la Israel (IDF) huko Gaza watakamatwa watakaporejea nchini humo, shirika la...
1 Reactions
2 Replies
786 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…