SERIKALI ya Marekani imeahidi kutoa ushauri wa kitaalamu kuhusu ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo, kama Tanzania itakubali kupokea msaada huo.
Taarifa hiyo imetolewa leo Alhamisi, tarehe 12 Mei...
Huko nyuma tuliwahi kumchambua Tundu Antipas Lissu na kuhitimisha siyo presidential material.
Amekuwa akiropoka ropoka hovyo bila kupima athari za kauli zake na mbaya zaidi mbali ya kunyanyapaa...
Askofu Bagonza: Kuhusu Katiba mpya tayari maoni ya Wananchi yalishakusanywa na Tume ya Jaji Warioba na Kikosi Kazi cha Prof Mkandala kimejazilizia, tuanzie hapo.
Askofu Mwamakula: Ni muhimu...
Wengine wamechipuka tu, wakaona dunia ndio hii hapa, wakawa kama kipofu kaona jogoo, kila unachomwambia, kama jogoo? Kama jogoo? Kumbe aliona jogoo macho yakafumba tena, kwa hiyo anachokijua...
Akichangia Mjadala Katika Kipindi cha Minzani Kilichorushwa mubashara na TBC Kilichowajumuisha pia Shehe Salim Aliyekuwa Shehe mkuu Wa Dsm, Hamadi Rashid M/kiti Wa ADC na Mkongwe Steven Wasira...
Mmewakamata asubuhi kwa makosa ya usalama barabarani,
Yes ni sahihi kabisa, lakini kwanini mnafanya oparesheni kwa matukio. Leo mmeendesha oparesheni ya kihuni kwa kisingizio kwamba mwenzao Jana...
Kodi za Mtanzania hazijawahi kuheshimiwa na hii kwa kuwa kitabu alichokiita mama kinatoa Mwanya huo. Ukiangalia katiba ya JMT ibara ya 137.-(1) Rais atatoa maagizo kwa watu wanaohusika kuandaa na...
Kwema Wakuu!
Nimeona tujadili Jambo hapa kuhusu baadhi ya kauli za Watu hasa viongozi wa kisiasa wanaposema vitabu vitakatifu, sijajua wanazungumzia vitabu vipi.
Na hivyo vitabu...
LIPUMBA MWAMBA SIASA ZA TANZANIA
Nisiwachoshe wadau picha inajieleza huyu hapa msomi mahiri na mwamba wa siasa upinzani wa kweli acha hawa wengine wanaropoka ovyoovyo tu.
Viva Lipumba, viva Tanzania.
Nchi hii ina MAAJABU,
Tunatarajia kuwa na DARASA la Watu MIL.62 kwa Muda wa Mìaka 3 kusomea KATIBA haya ni MAAJABU MAKUBWA kupata kutokea.
KATIBA ILIYOPO hakuna hata MTANZANIA mmoja alienda...
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi maalum, Dkt. Dorothy Gwajima, leo Septemba 12, 2023 amezungumzia wajibu wa familia na jamii kwenye kudhibiti mmomonyoko wa maadili dhidi...
Wakati akiwa anahitimisha kutoa neno leo katika yake katika mkutano maalum wa vyama vya siasa leo tarehe 13/9/2023 ambapo ni siku ya tatu, Bwana Deus Kibamba alisema;
"Mh. Mwenyekiti naomba...
Rais wa Awamu ya 4 na Mwenyekiti wa CCM Alianzisha Mchakato wa kuwapatia WATANZANIA KATIBA MPYA na hoja KUBWA ikiwa ni Kutokana na Mambo mengi Yamebadilika yanahitaji pia Mabadiliko ya Kikatiba...
Kama ilivyokuwa wakati wa mwisho wa utawala wa kikwete ,kugeukwa wabunge na watu wenye nguvu ndani ya CCM maana Kwa sasa wameweka vichwa chini kusubilia teuzi hasa UBUNGE 2025 (wanaogopa kukatwa)...
Kinachopingwa ni CCM kwa uwezo wake dhaifu wa kuendesha Serikali ya nchi yetu na hakuna mtu anayeipinga Serikali.
Serikali ni yetu sisi sote bali CCM ni chama chao wao wenye kupenda kuitumia...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akishiriki Mkutano Maalum wa Baraza la Vyama va Siasa na Wadau wa Demokrasia katika ukumbi wa JNICC leo tarehe 11 Septemba, 2023 katika...
Pamoja na kuondokewa na mwenyekiti wetu kwa ajaLi yenye utata, sisi tulio baki tutaendeleza harakati za Rev Mtikila pamoja na itikadi yake ya uwepo wa taifa la Tanganyika.
Tunaamini ndio njia...
Akiongea kwenye kikao cha wadau wa masuala ya siasa nchini.
Amesema kuwa hoja za serikali za kutaka watanzania wapewe elimu kwanza ndo tuanze kujadili habari za katiba ni chenga ya kutotaka...
Habari wana jamvi wa JF,
Sisi kama binadamu, tumeumbwa kufuata miongozo.
Miongozo hiyo imo katika vitabu vitakatifu kama vile Biblia na Msahafu kwa upande wa dini na Katiba kwa upande wa...
Nimejaribu kufuatilia sijaona mwakilishi wa hizi tasisi mbili. Ama kweli mungu huwa anawafunulia watu wake. Mara myingi kitima ndo huwa anahwakilisha TEC
Huwezi ukaenda kwenye jukwaa lililojaa...