Hii Dharau kwa Vitabu vya Dini (Biblia/Msahafu) na Katiba, haitatufikisha mbali

Burkinabe

JF-Expert Member
Feb 12, 2023
1,893
3,200
Habari wana jamvi wa JF,

Sisi kama binadamu, tumeumbwa kufuata miongozo.

Miongozo hiyo imo katika vitabu vitakatifu kama vile Biblia na Msahafu kwa upande wa dini na Katiba kwa upande wa kisiasa.

Bila miongozo hii, tusingekuwa hapa tulipo na dunia pasingekuwa mahali salama pa kuishi.

Hivyo, hata kama mtu hufuati kile kilichomo kwenye hivyo vitabu, ni hatari sana kusimama na kusema huyafuati maana uovu uambukiza hasa pale unapofanywa au kuhamasishwa na kiongozi.

Hivyo Rai yangu kwetu sote, kwa maana ya viongozi na raia, tuweke msisitizo wa kufuata miongozo yetu ile tuliyowekewa (Biblia kwa Wayahudi na Wakristo na Msahafu/Qoran kwa Umma wa Kiislam) na ile tuliyojiwekea (Katiba kwa wote wenye dini na wasio na dini).

Vinginevyo tukifanya tofauti na hivyo, basi tutakiona cha mtema kuni!

Hakuna dharau mbaya sana kama ile ya kudharau au kuonesha kudharau Miongiozo.

Ahsanteni sana.
 
..
20230908_040257.jpg
 
Habari wana jamvi wa JF,

Sisi kama binadamu, tumeumbwa kufuata miongozo.

Miongozo hiyo imo katika vitabu vitakatifu kama vile Biblia na Msahafu kwa upande wa dini na Katiba kwa upande wa kisiasa.

Bila miongozo hii, tusingekuwa hapa tulipo na dunia pasingekuwa mahali salama pa kuishi.

Hivyo, hata kama mtu hufuati kile kilichomo kwenye hivyo vitabu, ni hatari sana kusimama na kusema huyafuati maana uovu uambukiza hasa pale unapofanywa au kuhamasishwa na kiongozi.

Hivyo Rai yangu kwetu sote, kwa maana ya viongozi na raia, tuweke msisitizo wa kufuata miongozo yetu ile tuliyowekewa (Biblia kwa Wayahudi na Wakristo na Msahafu/Qoran kwa Umma wa Kiislam) na ile tuliyojiwekea (Katiba kwa wote wenye dini na wasio na dini).

Vinginevyo tukifanya tofauti na hivyo, basi tutakiona cha mtema kuni!

Hakuna dharau mbaya sana kama ile ya kudharau au kuonesha kudharau Miongiozo.

Ahsanteni sana.
Acha waendelee na tabia za herode!!
 
Habari wana jamvi wa JF,

Sisi kama binadamu, tumeumbwa kufuata miongozo.

Miongozo hiyo imo katika vitabu vitakatifu kama vile Biblia na Msahafu kwa upande wa dini na Katiba kwa upande wa kisiasa.

Bila miongozo hii, tusingekuwa hapa tulipo na dunia pasingekuwa mahali salama pa kuishi.

Hivyo, hata kama mtu hufuati kile kilichomo kwenye hivyo vitabu, ni hatari sana kusimama na kusema huyafuati maana uovu uambukiza hasa pale unapofanywa au kuhamasishwa na kiongozi.

Hivyo Rai yangu kwetu sote, kwa maana ya viongozi na raia, tuweke msisitizo wa kufuata miongozo yetu ile tuliyowekewa (Biblia kwa Wayahudi na Wakristo na Msahafu/Qoran kwa Umma wa Kiislam) na ile tuliyojiwekea (Katiba kwa wote wenye dini na wasio na dini).

Vinginevyo tukifanya tofauti na hivyo, basi tutakiona cha mtema kuni!

Hakuna dharau mbaya sana kama ile ya kudharau au kuonesha kudharau Miongiozo.

Ahsanteni sana.
Ni mbaya sana kwa kiongozi wa nchi kuanza kuingiza mambo ya Imani ktk uongozi wa nchi, hasa nchi kama Tanzania amboyo swala la kuabudu ni la mtu binafsi. Viitwavyo vitabu vitakatifu ni vitakatifu kwa watu wenye Imani hiyo. Hili jambo la katiba halikupaswa kabisa kuongelewa sambamba na vitabu vitakatifu.

Katiba ni mkataba kati ya mtawaliwa na mtawala. Ni msingi wa Sheria zote za nchi. Rais yuko madarakani kwasababu ya takwa la kikatiba. Ni ajabu sana mtu kama huyo kuanza kudharau katiba iliyompa mamlaka aliyonayo.
 
Back
Top Bottom