RWANDES
JF-Expert Member
- Jun 12, 2019
- 1,615
- 3,909
Kundi hilo dogo limekuwa mwiba mkubwa kwa nchi yetu kitu pekee wanachojuwa NI WIZI na kuunda mikataba mibovu ambayo inanufaisha wao na familia zao, nasema hayo kwa sababu kundi Hilo linajiita wanaijuwa nchi na bila wao hakuna wakutawala akadumu lazima aundiwe Zengwe , na baadhi ya viongozi kundi Hilo wanaliogopa na bila kuwa na roho ngumu huwezi kutoa maamuzi yoyote bila kuwasikiliza wao.
Mimi binafisi namuomba mungu iwe jua mvua masika usiku na mchanga mungu atajibu wote wataparanganyika nchi itakuwa mikono salaama na hata minyororo hiyo yakujitengenezea pesa kwa njia isiyo Halali itaisha amini nawaambia hata watunge Sheria gani hakuna Sheria zisizobadilika kwa manufaa ya umma , mungu wa mbinguni yupo pamoja nami.
Nchi yetu inaliwa mno na hawajali lolote na hakuna wanachokifanya Kila siku nikusifiana tu kwenye uongo.
Mimi binafisi namuomba mungu iwe jua mvua masika usiku na mchanga mungu atajibu wote wataparanganyika nchi itakuwa mikono salaama na hata minyororo hiyo yakujitengenezea pesa kwa njia isiyo Halali itaisha amini nawaambia hata watunge Sheria gani hakuna Sheria zisizobadilika kwa manufaa ya umma , mungu wa mbinguni yupo pamoja nami.
Nchi yetu inaliwa mno na hawajali lolote na hakuna wanachokifanya Kila siku nikusifiana tu kwenye uongo.