ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,133
- 49,864
Nitoe salamu za pole Kwa wote walioguswa na msiba wa Mzee Wetu Hayati Mwinyi Maarufu kama Mzee ruksa mtu wa watu kisima Cha hekima.
Mada : Akitoa salamu mh. Rais Samia amenukuliwa akisema hawatapenda kusikia kuna Mgogoro kwenye familia na kumtaka Rais wa Zanzibar Hussein Mwinyi Kusimamia heshima ya familia ya Mwinyi baada ya Baba kufariki.
Swali: Kwa Kauli hii ya Rais,Kuna Salama huko Kwenye familia hiyo ikizingatiwa tetesi za sintofahamu hapo swali?
My Take
Naona ingekuwa busara Kwa mh.Rais kumezea na kuwaita wahusika kimya kimya na kuwapa huo ujumbe aliowapa hadharani maana unatoa picha kwamba kuna jambo linaendelea.
View: https://www.instagram.com/reel/C4DTRrtC6U-/?igsh=MThkejVmbTAxZTN4ZQ==
Mada : Akitoa salamu mh. Rais Samia amenukuliwa akisema hawatapenda kusikia kuna Mgogoro kwenye familia na kumtaka Rais wa Zanzibar Hussein Mwinyi Kusimamia heshima ya familia ya Mwinyi baada ya Baba kufariki.
Swali: Kwa Kauli hii ya Rais,Kuna Salama huko Kwenye familia hiyo ikizingatiwa tetesi za sintofahamu hapo swali?
My Take
Naona ingekuwa busara Kwa mh.Rais kumezea na kuwaita wahusika kimya kimya na kuwapa huo ujumbe aliowapa hadharani maana unatoa picha kwamba kuna jambo linaendelea.
View: https://www.instagram.com/reel/C4DTRrtC6U-/?igsh=MThkejVmbTAxZTN4ZQ==