Jerry Silaa anahitaji pongezi

MTANZANIA620

Member
Jun 20, 2023
34
30
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Jerry Silaa anastahili pongezi kwa kutafsiri kwa vitendo maelekezo ya Ibara ya 74 ilani ya uchaguzi ya CCM ya maaka 2020 - 2025 inayosimamiwa na Mheshimiwa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan iliyotaka serikali kuweka mikakati madhubuti ya upangaji, upimaji na umilikishaji wa ardhi kwa ajili ya maendeleo ya kiuchumi, kijamii na ustawi wa watu wote kwa kuzingatia sera, sheria, miongozo na taratibu za uendelezaji wake.

Kupitia uendeshaji wa Kliniki ya Ardhi mafanikio makubwa yamepatikana kwani imetoa fursa ya kuwasikiliza wananchi wenye migogoro ya ardhi, kutoa utatuzi wa mashauri ya migogoro ya ardhi yaliyodumu miaka mingi, kufanya utambuzi wa wamiliki halali wa kisheria wa viwanja vya ardhi katika maeneo mbalimbali nchini, utoaji hati kwa wananchi wenye kumiliki ardhi papo kwa hapo pamoja na kuwadhibiti mabwenyenye waliokuwa vinara wa uporaji wa ardhi za wanyonge. Hongera sana Mhe Jerry Silaa kazi iendelee!
 
Kliniki gani anatembea nayo yeye peke yake?

Aende na huko Mikoani napo Kuna kero nyingi za ardhi
 
Kwanini Serikali haiwajibiji kulipa fidia kwa kutoa hati mbili ndani ya Plot moja au kutoa hati bila ya kufuata utaratibu?

Kama wahusika wa hayo makosa ni Maafisa wa Wizara ya Ardhi Serikali ndio inapaswa kubeba dhamana ya uzembe wa Watumishi wake

mie nikitaka kiwanja Chenye hati jukumu langu ni kulipia elf 40 ya searching na majibu yakija sawa sawa jukumu langu la pili ni kujiridhisha tu kuwa hati hii ninayoichunguza ndio ya eneo hili ninalouziwa ?

sasa kama kuna makosa Wizaran kwny kutoa hati Mimi kama mnunuzi nahusikaje ?

Ingekuwa eneo lenye utawala wa Sheria lile ghorofa lililovunjwa ingelipwa fidia kubwa sana kwa kuwa Mwenye jengo alikuwa na hati Halali ya Wizara
 
Amemdhibiti Paulo Mushi huyu mzee ni tapeli wa viwanja .
 

Attachments

  • IMG_4756.MOV
    26.2 MB
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Jerry Silaa anastahili pongezi kwa kutafsiri kwa vitendo maelekezo ya Ibara ya 74 ilani ya uchaguzi ya CCM ya maaka 2020 - 2025 inayosimamiwa na Mheshimiwa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan iliyotaka serikali kuweka mikakati madhubuti ya upangaji, upimaji na umilikishaji wa ardhi kwa ajili ya maendeleo ya kiuchumi, kijamii na ustawi wa watu wote kwa kuzingatia sera, sheria, miongozo na taratibu za uendelezaji wake.

Kupitia uendeshaji wa Kliniki ya Ardhi mafanikio makubwa yamepatikana kwani imetoa fursa ya kuwasikiliza wananchi wenye migogoro ya ardhi, kutoa utatuzi wa mashauri ya migogoro ya ardhi yaliyodumu miaka mingi, kufanya utambuzi wa wamiliki halali wa kisheria wa viwanja vya ardhi katika maeneo mbalimbali nchini, utoaji hati kwa wananchi wenye kumiliki ardhi papo kwa hapo pamoja na kuwadhibiti mabwenyenye waliokuwa vinara wa uporaji wa ardhi za wanyonge. Hongera sana Mhe Jerry Silaa kazi iendelee!
Usanii mtupu, Amwambie Bosi wake wapeleke mswaada Bungeni kurekebisha sheria za aridhi zenye mapungufu, Hii ndio njia pekee, kama kuna mapungufu basi yarekebishwe.

Hizi zinvine ni hadaa kama zile za Makonda na yule jamaa mwingine. CCM wanapenda sana kucheza na akili za wapunbavu kama wewe hapo.Maigizo kwa wingi sana kwa sababu wanajua nchi imejaa wajinga.

Ila hawako tiyali kujenga mifumo imara ya uwajibikaji, make wanajua wakijenga mifumo imara maigizo hayatakuwepo tena
 
Amemdhibiti Paulo Mushi huyu mzee ni tapeli wa viwanja .
Sheria zinasemaje? KAma kuna shida kwenye sheria kwa nini wasifanye marekebusho? Haya ni maigizo yabkuhadaa wajinga kama wewe, sio kazi ya waiziri kwenda kutatua migogoro ya aridhi, Waziri kama anaona mapungufu basi sheria zibadilishwe, si wako wengi Bungeni?

Wanajua sana kucheza na wajinga type yako
 
Kwanini Serikali haiwajibiji kulipa fidia kwa kutoa hati mbili ndani ya Plot moja au kutoa hati bila ya kufuata utaratibu?

Kama wahusika wa hayo makosa ni Maafisa wa Wizara ya Ardhi Serikali ndio inapaswa kubeba dhamana ya uzembe wa Watumishi wake

mie nikitaka kiwanja Chenye hati jukumu langu ni kulipia elf 40 ya searching na majibu yakija sawa sawa jukumu langu la pili ni kujiridhisha tu kuwa hati hii ninayoichunguza ndio ya eneo hili ninalouziwa ?

sasa kama kuna makosa Wizaran kwny kutoa hati Mimi kama mnunuzi nahusikaje ?

Ingekuwa eneo lenye utawala wa Sheria lile ghorofa lililovunjwa ingelipwa fidia kubwa sana kwa kuwa Mwenye jengo alikuwa na hati Halali ya Wizara
Mkuu waziri anacheza na akili wa Wajinga, nchi hii ina idadi kubwa mno ya Wapumbavu, Viini vya nigogoro haviguswi kabisa, hakuwezi kukawa na migogoro ya aridhi bila sababu, kuna viini vinavyo sababisha haya yote, hivyo haviguswi, sasa Waziri anacho fanya ni hadaaa kucheza na akili za wapumbabu wa hii nchi anajua fika wapumbavu wataanza kucheza mziki wake tu.

Lazima kuna shida kwenye taasisi za aridhi huko ndio kuna ujinga unaanziaz ila Waziri usha msikia anagusia hayo? Wanao pora viwanja unazani wanapora bila kushiriikiana na watu wa aridhi?
 
Sheria zinasemaje? KAma kuna shida kwenye sheria kwa nini wasifanye marekebusho? Haya ni maigizo yabkuhadaa wajinga kama wewe, sio kazi ya waiziri kwenda kutatua migogoro ya aridhi, Waziri kama anaona mapungufu basi sheria zibadilishwe, si wako wengi Bungeni?

Wanajua sana kucheza na wajinga type yako
Mimi sijui sheria nieleze wewe sheria zinasemaje ,Mimi nataka matokeo sitaki siasa .
 
Huyo waziri anafanya enforcement? atafikia wangapi kwa staili iyo na nchi ilivyo kubwa hivi? daah haya bana.
 
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Jerry Silaa anastahili pongezi kwa kutafsiri kwa vitendo maelekezo ya Ibara ya 74 ilani ya uchaguzi ya CCM ya maaka 2020 - 2025 inayosimamiwa na Mheshimiwa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan iliyotaka serikali kuweka mikakati madhubuti ya upangaji, upimaji na umilikishaji wa ardhi kwa ajili ya maendeleo ya kiuchumi, kijamii na ustawi wa watu wote kwa kuzingatia sera, sheria, miongozo na taratibu za uendelezaji wake.

Kupitia uendeshaji wa Kliniki ya Ardhi mafanikio makubwa yamepatikana kwani imetoa fursa ya kuwasikiliza wananchi wenye migogoro ya ardhi, kutoa utatuzi wa mashauri ya migogoro ya ardhi yaliyodumu miaka mingi, kufanya utambuzi wa wamiliki halali wa kisheria wa viwanja vya ardhi katika maeneo mbalimbali nchini, utoaji hati kwa wananchi wenye kumiliki ardhi papo kwa hapo pamoja na kuwadhibiti mabwenyenye waliokuwa vinara wa uporaji wa ardhi za wanyonge. Hongera sana Mhe Jerry Silaa kazi iendelee!
Failure
 
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Jerry Silaa anastahili pongezi kwa kutafsiri kwa vitendo maelekezo ya Ibara ya 74 ilani ya uchaguzi ya CCM ya maaka 2020 - 2025 inayosimamiwa na Mheshimiwa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan iliyotaka serikali kuweka mikakati madhubuti ya upangaji, upimaji na umilikishaji wa ardhi kwa ajili ya maendeleo ya kiuchumi, kijamii na ustawi wa watu wote kwa kuzingatia sera, sheria, miongozo na taratibu za uendelezaji wake.

Kupitia uendeshaji wa Kliniki ya Ardhi mafanikio makubwa yamepatikana kwani imetoa fursa ya kuwasikiliza wananchi wenye migogoro ya ardhi, kutoa utatuzi wa mashauri ya migogoro ya ardhi yaliyodumu miaka mingi, kufanya utambuzi wa wamiliki halali wa kisheria wa viwanja vya ardhi katika maeneo mbalimbali nchini, utoaji hati kwa wananchi wenye kumiliki ardhi papo kwa hapo pamoja na kuwadhibiti mabwenyenye waliokuwa vinara wa uporaji wa ardhi za wanyonge. Hongera sana Mhe Jerry Silaa kazi iendelee!
HAKUNA JIPYA MIGOGORO IPO NA CCM IPO Kwa Taarifa yako CCM HAINA UWEZO WA KUIMALIZA MIGOGORO zaidi ya kuiongeza CCM KIGOMA ina MGOGORO na KANISA
 
Mkuu waziri anacheza na akili wa Wajinga, nchi hii ina idadi kubwa mno ya Wapumbavu, Viini vya nigogoro haviguswi kabisa, hakuwezi kukawa na migogoro ya aridhi bila sababu, kuna viini vinavyo sababisha haya yote, hivyo haviguswi, sasa Waziri anacho fanya ni hadaaa kucheza na akili za wapumbabu wa hii nchi anajua fika wapumbavu wataanza kucheza mziki wake tu.

Lazima kuna shida kwenye taasisi za aridhi huko ndio kuna ujinga unaanziaz ila Waziri usha msikia anagusia hayo? Wanao pora viwanja unazani wanapora bila kushiriikiana na watu wa aridhi?
Upo sahihi CCM yenyewe ina mgogoro wa ardhi na Kanisa kigoma
Ccm yenyewe imejimilikisha VIWANJA vya umma vilivyojengwa na Wananchi kwa kuchangishwa fedha mazao na mifugo huo nao ni mgogoro
 
Back
Top Bottom