johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,978
- 141,996
Nje ya CHADEMA, Zitto Kabwe hajawahi kufanya maajabu yoyote, hata Bungeni hajafanikiwa kupeleka Mbunge yoyote ukiondoa wale Wapemba ambao hata wangekuwa Chauma wangeshinda huko Pemba.
Ila akiwa CHADEMA Mh. Zitto Kabwe alifanikiwa kumpeleka Bungeni Bi. Ruyagwa ambaye ni dada yake. Kadhalika aliibua Ufisadi wa Buzwagi na kujipatia umaarufu mkubwa.
Hadi sasa Zitto Kabwe anabebwa na CHADEMA kihistoria, siyo ACT Wazalendo.
Mfungapo Msiwe kama wanafiki!
Kwaresma Njema 😄
Ila akiwa CHADEMA Mh. Zitto Kabwe alifanikiwa kumpeleka Bungeni Bi. Ruyagwa ambaye ni dada yake. Kadhalika aliibua Ufisadi wa Buzwagi na kujipatia umaarufu mkubwa.
Hadi sasa Zitto Kabwe anabebwa na CHADEMA kihistoria, siyo ACT Wazalendo.
Mfungapo Msiwe kama wanafiki!
Kwaresma Njema 😄