Nsanzagee
JF-Expert Member
- Jun 28, 2023
- 1,943
- 4,132
1. Nani aliyewajibishwa na ile ripoti ya CAG 2022/2023?
Hii ni kero kubwa sana kwangu, kwa sababu haiwezekani kuwepo na ofsi ya mkaguzi wa mahesabu ya serikali, anayelipwa kupitia kodi za Watanzania walalahai, ili hali kazi yake inakuja kuwekwa tu kwenye makabati ya Lumbumba pale ama Dodoma
2. Misafara ya makumi ya magari yanayoongozana na Makonda,
Hii pia ni kero kubwa kwa sababu gharama zinazotumika hapo ni mateso kwa walipa kodi
3. Mgao wa umeme.
Mh Rais, hii ni zaidi ya kero, imetutia umasikini ghafula, wananchi imewalaza njaa, imeleta hasara kwenye vifaa vinavyotumia umeme kwa kuungua n.k
Hapo tunafanyeje?
4. Bima ya Afya NHIF
Hili ndo kubwa la kero mkuu, huoni kwamba wadau mmetuweka njia panda?
Naomba wadau embu tuongezeeni kero nyingine hapa
Hii ni kero kubwa sana kwangu, kwa sababu haiwezekani kuwepo na ofsi ya mkaguzi wa mahesabu ya serikali, anayelipwa kupitia kodi za Watanzania walalahai, ili hali kazi yake inakuja kuwekwa tu kwenye makabati ya Lumbumba pale ama Dodoma
2. Misafara ya makumi ya magari yanayoongozana na Makonda,
Hii pia ni kero kubwa kwa sababu gharama zinazotumika hapo ni mateso kwa walipa kodi
3. Mgao wa umeme.
Mh Rais, hii ni zaidi ya kero, imetutia umasikini ghafula, wananchi imewalaza njaa, imeleta hasara kwenye vifaa vinavyotumia umeme kwa kuungua n.k
Hapo tunafanyeje?
4. Bima ya Afya NHIF
Hili ndo kubwa la kero mkuu, huoni kwamba wadau mmetuweka njia panda?
Naomba wadau embu tuongezeeni kero nyingine hapa