Kuteua na kutengua kuwe na muongozo, yasiwe ni matakwa ya kiongozi tu

Unitman

JF-Expert Member
Jul 14, 2021
256
354
Habari wadau.

Nimekuwa nikitafakari utendaji wa rais wa tz .kila siku ni kufanya uteuzi kwa masirahi ya nani??Unakuta mtu amekaa kituo cha kazi miezi 4 Alafu anahamishwa kwenda kituo kingine je atakuwa amefanya kazi gani ndani ya miezi 4?

Watanzania tubadilike hii nchii tunaiharibu wenyewe kwa kukubali mtu anateua watu wasiojulikana wametoka wapi alafu anawaondoa anavyotaka tukatae uozo huu uteuzi uwe na mipaka sio mtu akiamka tu asbh anabadilisha viongozi kwa Kweli tumelala usingizi.
 
Habari wadau.Nimekuwa nikitafakari utendaji wa rais wa tz .kila siku ni kufanya uteuzi kwa masirahi ya nani??Unakuta mtu amekaa kituo cha kazi miezi 4 Alafu anahamishwa kwenda kituo kingine je atakuwa amefanya kazi gani ndani ya miezi 4?
Watanzania tubadilike hii nchii tunaiharibu wenyewe kwa kukubali mtu anateua watu wasiojulikana wametoka wapi alafu anawaondoa anavyotaka tukatae uozo huu uteuzi uwe na mipaka sio mtu akiamka tu asbh anabadilisha viongozi kwa Kweli tumelala usingizi.
Anatumia ile system ya kahaba style ya kubadili madanga bandu bandika
 
Habari wadau.Nimekuwa nikitafakari utendaji wa rais wa tz .kila siku ni kufanya uteuzi kwa masirahi ya nani??Unakuta mtu amekaa kituo cha kazi miezi 4 Alafu anahamishwa kwenda kituo kingine je atakuwa amefanya kazi gani ndani ya miezi 4?
Watanzania tubadilike hii nchii tunaiharibu wenyewe kwa kukubali mtu anateua watu wasiojulikana wametoka wapi alafu anawaondoa anavyotaka tukatae uozo huu uteuzi uwe na mipaka sio mtu akiamka tu asbh anabadilisha viongozi kwa Kweli tumelala usingizi.
Tatizo ni katiba
 
Habari wadau.

Nimekuwa nikitafakari utendaji wa rais wa tz .kila siku ni kufanya uteuzi kwa masirahi ya nani??Unakuta mtu amekaa kituo cha kazi miezi 4 Alafu anahamishwa kwenda kituo kingine je atakuwa amefanya kazi gani ndani ya miezi 4?

Watanzania tubadilike hii nchii tunaiharibu wenyewe kwa kukubali mtu anateua watu wasiojulikana wametoka wapi alafu anawaondoa anavyotaka tukatae uozo huu uteuzi uwe na mipaka sio mtu akiamka tu asbh anabadilisha viongozi kwa Kweli tumelala usingizi.
Wako kwa maslahi yao. They don't care
 
Habari wadau.

Nimekuwa nikitafakari utendaji wa rais wa tz .kila siku ni kufanya uteuzi kwa masirahi ya nani??Unakuta mtu amekaa kituo cha kazi miezi 4 Alafu anahamishwa kwenda kituo kingine je atakuwa amefanya kazi gani ndani ya miezi 4?

Watanzania tubadilike hii nchii tunaiharibu wenyewe kwa kukubali mtu anateua watu wasiojulikana wametoka wapi alafu anawaondoa anavyotaka tukatae uozo huu uteuzi uwe na mipaka sio mtu akiamka tu asbh anabadilisha viongozi kwa Kweli tumelala usingizi.
This is point.
Kuna viongozi wameteuliwa na walikuwa wana makosa ambayo wameyafanya huko nyuma yenye ushahidi kabisa, lakini wameteuliwa tena bila kufanya ufatiliaji na kuyashughulikia yale makosa yao. Kwa maana nyingine makosa yao yametupwa kapuni bila kuwajibishwa.

Ni dhahiri kabisa kuwa hakuna muongozo maalum ndani ya serikali juu ya Teua na Tengua zinazofanywa.
 
This is point.
Kuna viongozi wameteuliwa na walikuwa wana makosa ambayo wameyafanya huko nyuma yenye ushahidi kabisa, lakini wameteuliwa tena bila kufanya ufatiliaji na kuyashughulikia yale makosa yao. Kwa maana nyingine makosa yao yametupwa kapuni bila kuwajibishwa.

Ni dhahiri kabisa kuwa hakuna muongozo maalum ndani ya serikali juu ya Teua na Tengua zinazofanywa.


Wewe umewahi kukosa?

Ulitengwa baada ya kukosa?

Kama ni hapana, kwanini unataka viongozi watengwe
 
Kuteua sio shida kama mtu umeona hawezi muondoe kabisa kabisa akafanye shughuzi zingine binafsi sio unamtoa hapa kaharibu unampeleka pale na hii inatokana kuteua watu ambao sio ujuzi waliosomea mfano mtu anakuwa waziri wa ulinzi hajawahi pita hata mgambo
 
Ukishakua na mamlaka ya hovyo usitarajie ukawa na nafasi ya kuoata watu sahihi.

Hapo ni kupunguza mamlaka ya uteuzi baadhi ya nafasi ziombwe na watu kufanyiwa usaili.

Zamani ulikuta teuzi nyingi mfano za wakurugenzi walikuwa wakitoka wakuu wa vitengo ambao tayar wanauzoefu.

Ila siku hizi, ukiwa chawa jina likapenyezwa umelamba teuzi.
 
Ukishakua na mamlaka ya hovyo usitarajie ukawa na nafasi ya kuoata watu sahihi.

Hapo ni kupunguza mamlaka ya uteuzi baadhi ya nafasi ziombwe na watu kufanyiwa usaili.

Zamani ulikuta teuzi nyingi mfano za wakurugenzi walikuwa wakitoka wakuu wa vitengo ambao tayar wanauzoefu.

Ila siku hizi, ukiwa chawa jina likapenyezwa umelamba teuzi.
Niliwahi kusoma kifungu fulani (sikumbuki ni katika provision ipi) kinaelekeza kuwa wateuliwa wanatakiwa kuwa senior officers wa taasisi za umma.

Siku hizi imekuwa kama utaratibu rasmi kuteuliwa katika nafasi yoyote lazima uwe ccm! Hata akiteuliwa Brigedia Jenerali lazima awe na kadi ya kijani
 
Mimi nilipigwa butwaa siku ile nilipobaini kuwa watumbuliwa wanaendelea kulipwa mishahara ya positions walizotumbuliwa!

Pendekezo la wizara ya fedha (nadhani 2022/23) lilikuwa kuondoa utaratibu huo, lakini kwa yale mazombie ya kijani kule bungeni (na bwana fedha akiwamo) sidhani kama yalibadilisha chochote.
 
Hatupaswi kulaumu sasa

Yanayofanyika sasa yakifanyika huko nyuma tukashangilia

Tatizo mama ni Namna ya kupata katiba bora,Wadau wa kutusaidia kupata katiba bora wana ubora gani kutupa kilicho bora..

Tumegubikwa na kulalama kila leo..Wenye akili nyingi na ufahamu chanya tunadharau siasa Za nchi na kuwaacha wanaoitwa wenyewe watamalaki kisha kulalamika..

Uchaguzi unakuja..Ingieni kwenye michakato ya maamuzi kuanzia shina,Mtaa,kata,tarafa..Jimbo..Etc..Jiungeni kwenye vyama kuanzia chipukizi..Msikejeli kina Mwigulu na kina Jerry wanapoingiza vijana wao chipukizi,Vijana kisha Wazazi..Hope vyama pinzani vina prototype ya mifumo ya kukuza wanachama pia..

Kina Jakaya,Nchimbi,Makalla,Masauni,Hussein,Tarimba,Sophia Simba,Madabida,Jokate,Makonda hawakuingia jana CCM…Yamkini ni watoto wa Chama..kindakindaki wa Chama..Sasa ktk achukuliwe nani na kupewa dhamana ya kupigania Chama na ilani..

Tujifunze..Tuinuke..Tuache Ego..Tuingie ktk michakato Kwa faida ya nchi na Taifa
 
Habari wadau.

Nimekuwa nikitafakari utendaji wa rais wa tz .kila siku ni kufanya uteuzi kwa masirahi ya nani??Unakuta mtu amekaa kituo cha kazi miezi 4 Alafu anahamishwa kwenda kituo kingine je atakuwa amefanya kazi gani ndani ya miezi 4?

Watanzania tubadilike hii nchii tunaiharibu wenyewe kwa kukubali mtu anateua watu wasiojulikana wametoka wapi alafu anawaondoa anavyotaka tukatae uozo huu uteuzi uwe na mipaka sio mtu akiamka tu asbh anabadilisha viongozi kwa Kweli tumelala usingizi.
mamlaka ya uteuzi ikijiridhisha unafaa nafasi Fulani kulingana na sifa za kitaalamu na ujuzi kwa uthibitisho halali wa vyeti vyako vya kitaalamu, basi utapangiwa kituo cha kazi 🐒

mamlaka ya uteuzi itaendelea kukufuatilia utendaji wako, umahiri wako, ubunifu wako, weledi, umakini na uadilifu wako kwa vitendo, na endapo itabainika uko chini ya viwango kiutendaji,
Mamlaka ya uteuzi haita sita kutengua uteuzi wako mara moja bila mbambamba 🐒
 
Ni kwa vile tunabeti tu bila vetting, tuendelee kubahatisha.... kila mmoja alambe asali kwa zamu.
 
Back
Top Bottom