Mahojiano ya Godbless Lema na Clouds FM yamehairishwa

Protect

Member
Apr 4, 2020
94
299
Clouds FM imetangaza kuwa yale Mahojiano yao na Godbless Lema yamehairishwa.

Clouds FM wamsema mahojiano hayo yamehairishwa baada ya Godbless Lema kupatwa na dharura hivyo kuomba mahojiano hayo yasogezwe mbele

20240311_033537.jpg


Pia Soma: Godbless Lema kutikisa Power Breakfast
 
Ameingia mitini...😂😂
Lema nilikuwa nashiriki nae mjadala kule Clubhouse, Jamaa huwa hana hoja zaidi ya kupayuka tu, Juzi kati aliitwa tena Star Tv yule Odemba kambana maswali akabaki anajiuma uma tu


hapo ameona angebanwa na kuishia kujisemea hawa Clouds ni wakala wa CCM, wanatumiwa ....
 
Ameingia mitini...
Lema nilikuwa nashiriki nae mjadala kule Clubhouse, Jamaa huwa hana hoja zaidi ya kupayuka tu, Juzi kati aliitwa tena Star Tv yule Odemba kambana maswali akabaki anajiuma uma tu


hapo ameona angebanwa na kuishia kujisemea hawa Clouds ni wakala wa CCM, wanatumiwa ....
Odemba hakumbana Lema kwa maswali magumu, infact yeye ndie alikuwa akiogopa majibu magumu, kumuuliza mtu swali halafu humpi nafasi ya kutosha kukujibu, huo ni uoga wa muuliza swali, sio ujanja.
 
Clouds FM imetangaza kuwa yale Mahojiano yao na Godbless Lema yamehairishwa.

Clouds FM wamsema mahojiano hayo yamehairishwa baada ya Godbless Lema kupatwa na dharura hivyo kuomba mahojiano hayo yasogezwe mbele

View attachment 2930946

Pia Soma: Godbless Lema kutikisa Power Breakfast

Clouds FM imetangaza kuwa yale Mahojiano yao na Godbless Lema yamehairishwa.

Clouds FM wamsema mahojiano hayo yamehairishwa baada ya Godbless Lema kupatwa na dharura hivyo kuomba mahojiano hayo yasogezwe mbele

View attachment 2930946

Pia Soma: Godbless Lema kutikisa Power Breakfast

"yamehairishwa".​

yameahirishwa.
 
Lakini dharula jambo la kawaida ila somo limeeleweka kwamba Watanzania huwa wana hamu kubwa kuwasikiliza hawa wasio ogopa kuikosoa serikali.
Leo kuanzia saa 12 asubuhi watu wengi wali tune Clouds FM ili wamsikie Lema, kuliko hata ingetangazwa Majaliwa au Makamba atakuwepo hapo.

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Ameingia mitini...😂😂
Lema nilikuwa nashiriki nae mjadala kule Clubhouse, Jamaa huwa hana hoja zaidi ya kupayuka tu, Juzi kati aliitwa tena Star Tv yule Odemba kambana maswali akabaki anajiuma uma tu


hapo ameona angebanwa na kuishia kujisemea hawa Clouds ni wakala wa CCM, wanatumiwa ....
Msaliti mkubwa ni elimu yake...
 
Ameingia mitini...😂😂
Lema nilikuwa nashiriki nae mjadala kule Clubhouse, Jamaa huwa hana hoja zaidi ya kupayuka tu, Juzi kati aliitwa tena Star Tv yule Odemba kambana maswali akabaki anajiuma uma tu


hapo ameona angebanwa na kuishia kujisemea hawa Clouds ni wakala wa CCM, wanatumiwa ....
Zaidi ya kunukuu vifungu vya biblia na kudhani kila anayekufa ni kwa sababu ni mdhambi hanaga jipya. Pia ni mtaalamu wa kiingereza kibovu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom