TISS walaumiwe kwa DP World kupewa Bandari yetu

HIMARS

JF-Expert Member
Jan 23, 2012
69,373
94,566
Mara kadhaa nimeandika kuilalamikia hii Taasisi. Hii Taasisi kwa sehemu kubwa imeonesha kutoweza fanya kazi yake ya msingi ambayo kulinda maslahi ya Tanzania.

Muundo wa TISS hauna malengo mapana kwa Tanzania ya miaka 100 ijayo, na hii inasababishwa na Siasa na Wanasiasa kupenyeza watu wasio na uwezo.

Tuliomba Uajiri uwe wa wazi kama Mashirika mengine ya kijasusi duniani ie CIA, DIA, MI6, hizo taasisi huweka wazi kabisa watu wanaowataka etc.

TISS imekuwa ya kamlete, UVCCM, kamwe hakuna anayeweza linda maslahi ya Tanzania maana hana uchungu na hiyo kazi, maana aliwekwa tu.

TISS ilitakiwa ipitie hayo maducoment na kushauri au kulazimisha yabadilishwe ili maslahi ya nchi yalindwe.

TISS kwa kuona hivyo wakaandaa Muswada utaowalinda wao, na kutaka upitishwe bungeni bila wabunge kujua kilicho ndani yake.

Kwenye mabehewa ya treni TISS alitakiwa ajue mapema kabla ya sasa kila siku twaambiwa SGR inaanza afu baadae visingizio vinakuwa Vita na Corona.

Watanzania tusitegemee maajabu. Kama Wizara inakopa pesa na inatenga bilioni 47 za posho wategemea hapo TISS wana msaada?
 
Mara kadhaa nimeandika kuilalamikia hii Taasisi. Hii Taasisi kwa sehemu kubwa imeonesha kutoweza fanya kazi yake ya msingi ambayo kulinda maslahi ya Tanzania.

Muundo wa TISS hauna malengo mapana kwa Tanzania ya miaka 100 ijayo, na hii inasababishwa na Siasa na Wanasiasa kupenyeza watu wasio na uwezo.

Tuliomba Uajiri uwe wa wazi kama Mashirika mengine ya kijasusi duniani ie CIA, DIA, MI6, hizo taasisi huweka wazi kabisa watu wanaowataka etc.

TISS imekuwa ya kamlete, UVCCM, kamwe hakuna anayeweza linda maslahi ya Tanzania maana hana uchungu na hiyo kazi, maana aliwekwa tu.

TISS ilitakiwa ipitie hayo maducoment na kushauri au kulazimisha yabadilishwe ili maslahi ya nchi yalindwe.

TISS kwa kuona hivyo wakaandaa Muswada utaowalinda wao, na kutaka upitishwe bungeni bila wabunge kujua kilicho ndani yake.

Kwenye mabehewa ya treni TISS alitakiwa ajue mapema kabla ya sasa kila siku twaambiwa SGR inaanza afu baadae visingizio vinakuwa Vita na Corona.

Watanzania tusitegemee maajabu. Kama Wizara inakopa pesa na inatenga bilioni 47 za posho wategemea hapo TISS wana msaada?
uwalaum? unahakika au kujua kama walireport kabla?
 
Nadhani hatupaswi kufanya haraka ktk hili jambo ilikiwa nia ni safi na njema pia kwa maslahi mapana ya Taifa?

✅Kwa nini haraka ni kubwa ktk kutekeleza haya makubaliano?Kufunga mkataba?Why? Kwa faida ya nani?

✅Kwa kiwango gani taratibu,Kanuni,Miongozo,sheria za manunuzi zimefuatwa ktk huu mchakato wa kumpata DPW?

✅Vigezo vipi vimetumika kufanya maamuzi ya kumchukua DPW? Na kwa nini?
-International Bidding
-Single Source
-Restricted Tendering

✅Kwa nini masharti ya mkataba yamekuwa ya kibabe (Dictative)?

✅Ni kweli mkataba hauna kikomo? Kwa nini? Kwa faida ya nani? Kuna tija gani ktk hili?

✅Projections za mapato zipoje tukimpa DPW? Kuna guarantee gani ya yeye kuperform? Je asipo perform?

✅Nini mapana ya uendeshaji wa DPW,gati kadhaa? Bandari nzima?

✅Muktadha wa masharti ya mkataba wa DPW yana tofauti gani na masharti ya wawekezaji wa uliokuwa mradi wa bagamoyo?

✅Nini athari za uendeshaji wa DPW ktk sekta ya uchukuzi kwa ujumla Africa Mashariki na kati?

✅Uwekezaji wake una mapana kiasi gani kifedha (Mtaji,Vifaa na technolojia)?..ROI Ipoje?
 
Nadhani hatupaswi kufanya haraka ktk hili jambo ilikiwa nia ni safi na njema pia kwa maslahi mapana ya Taifa?

Kwa nini haraka ni kubwa ktk kutekeleza haya makubaliano?Kufunga mkataba?Why? Kwa faida ya nani?

Kwa kiwango gani taratibu,Kanuni,Miongozo,sheria za manunuzi zimefuatwa ktk huu mchakato wa kumpata DPW?

Vigezo vipi vimetumika kufanya maamuzi ya kumchukua DPW? Na kwa nini?
-International Bidding
-Single Source
-Restricted Tendering

Kwa nini masharti ya mkataba yamekuwa ya kibabe (Dictative)?

Ni kweli mkataba hauna kikomo? Kwa nini? Kwa faida ya nani? Kuna tija gani ktk hili?

Projections za mapato zipoje tukimpa DPW? Kuna guarantee gani ya yeye kuperform? Je asipo perform?

Nini mapana ya uendeshaji wa DPW,gati kadhaa? Bandari nzima?

Muktadha wa masharti ya mkataba wa DPW yana tofauti gani na masharti ya wawekezaji wa uliokuwa mradi wa bagamoyo?

Nini athari za uendeshaji wa DPW ktk sekta ya uchukuzi kwa ujumla Africa Mashariki na kati?

Uwekezaji wake una mapana kiasi gani kifedha (Mtaji,Vifaa na technolojia)?..ROI Ipoje?
Serikali ya Tanzania inaongozwa na viumbe wanaofanana na Binadamu ila Ubinadamu wao ni wa mashaka!
 
Back
Top Bottom