Vikao vya Vyama vya Siasa na Dini tofauti ni kupoteza muda tu, Tanzania sio nchi changa tena

Yoda

JF-Expert Member
Jul 22, 2018
37,620
46,264
Hii mikutano kama ya Kituo cha demokrasia Tanzania(TCD), ya vyama vya siasa, sijui ya kamati za amani na maridhiano ni upotezaji muda tu, ni matumizi mabaya ya rasilimali fedha na muda na pia ni kupakana mafuta kwa mgongo wa chupa.

Nchi ya miaka zaidi ya 60 haitakiwi kupoteza muda kupiga gumzo na kusogoa kwa mambo ambayo yako wazi kabisa kikatiba, kisheria na hata kwa common sense. Majadiliano yanayofanyika katika mikutano na vikao vya namna hii ilipaswa kufanyika katika shule za sekondari na vyuo vikuu.

Nimekuwa nikiona hata "mabeberu" wako na ushiriki mkubwa sana katika matukio ya aina hii wakati huko kwao hakuna mambo kama haya kabisa. Balozi wa Marekani atuambie ni lini Democrats na Republicans waliwahi kukaa tofauti na vikao rasmi vya bunge au na Rais Ikulu kupanga namna ya kutekeleza katiba ya Marekani katika masuala ya uchaguzi au mambo mengine yoyote ambayo katiba yao imekwisha weka muongozo.

Kwa nini huko Marekani Democrats na Republicans hawakai chini kukubaliana jinsi ya kwanyang'anya raia silaha?

Kwa nini hakuna mijadala nje ya bunge ya Democrats na Republicans kukubaliana kama Trump alishindwa au Biden alishinda 2020?

Tukue sasa tuheshimu katiba ya nchi, vyombo vya dola na mamlaka nyingine zote vitende wajibu wao kwa haki kwa kuzingatia katiba na pia tuheshimu uhuru wa kila mtu na kila kundi, tuachane na tabia za hovyo za binadamu wasiostaaribika.
 
Honestly umeona ninachokiona mimi. Ndio maana nasema Kila siku machafuko ama mapinduzi ya kijeshi ndio yataleta mabadiliko ya kweli. Mnakaa mnajadili, kisha wenzenu wanapeleka miswaada bungeni inayondana na matakwa ya chama chao, huku yote mliyojadili yakitupiliwa mbali!

Halafu wanaofanya huo uhuni wa kitoto wanasema majadiliano hayana mwisho, mnaendelea kujadili jambo hilohilo ambalo hawako tayari libadilike, ama liwe na mabadiliko yasiyo na tija. Kichekesho ni hao wengine kusema wataendelea kushiriki kwenye chaguzi ambazo wanajua kabisa haki haitatendeka! Sioni watu wenye uelewa mpana kuendelea kushiriki hizi chaguzi za kipuuzi.

Tlaatlaah Lucas mwashambwa KARLO MWILAPWA
 
Honestly umeona ninachokiona mimi. Ndio maana nasema Kila siku machafuko ama mapinduzi ya kijeshi ndio yataleta mabadiliko ya kweli. Mnakaa mnajadili, kisha wenzenu wanapeleka miswaada bungeni inayondana na matakwa ya chama chao, huku yote mliyojadili yakitupiliwa mbali!

Halafu wanaofanya huo uhuni wa kitoto wanasema majadiliano hayana mwisho, mnaendelea kujadili jambo hilohilo ambalo hawako tayari libadilike, ama liwe na mabadiliko yasiyo na tija. Kichekesho ni hao wengine kusema wataendelea kushiriki kwenye chaguzi ambazo wanajua kabisa haki haitatendeka! Sioni watu wenye uelewa mpana kuendelea kushiriki hizi chaguzi za kipuuzi.

Tlaatlaah Lucas mwashambwa KARLO MWILAPWA
Hakuna wa kuunga mkono uhayawani wenu wa kiroho na kihisia wa kutaka kuwa na wabunge wawili katika kila jimbo la uchaguzi. Ninyi CHADEMA mmachoangalia na kutolea macho ni sheria itakayoongeza upana wa njia ya ninyi kuingia bungeni kwa wingi ili mkatafune pesa lakini siyo kupigania maslahi ya mtanzania.
 
Honestly umeona ninachokiona mimi. Ndio maana nasema Kila siku machafuko ama mapinduzi ya kijeshi ndio yataleta mabadiliko ya kweli. Mnakaa mnajadili, kisha wenzenu wanapeleka miswaada bungeni inayondana na matakwa ya chama chao, huku yote mliyojadili yakitupiliwa mbali!

Halafu wanaofanya huo uhuni wa kitoto wanasema majadiliano hayana mwisho, mnaendelea kujadili jambo hilohilo ambalo hawako tayari libadilike, ama liwe na mabadiliko yasiyo na tija. Kichekesho ni hao wengine kusema wataendelea kushiriki kwenye chaguzi ambazo wanajua kabisa haki haitatendeka! Sioni watu wenye uelewa mpana kuendelea kushiriki hizi chaguzi za kipuuzi.

Tlaatlaah Lucas mwashambwa KARLO MWILAPWA
maoni na mtazaomo wako juu ya uongozi Tanzania unabaki kua haki yako, na yanaheshiniwa japo si muhimu....

lakini wajibu wa uongozi huo unabaki daima kuwatumikua na kuwahudumia waTanzania wote licha ya utofauti wa maoni ya kisiasa, rangi ama dini..

Ulinzi Imara wa mipaka, Usalama wa watu na Mali zao, uhuru, usawa na utangamano wa waTanzania ndio msingi wa Amani, Utulivu, Umoja, mshikamano na upendo uliopo miongoni mwa watanzani zaidi ya makabila 100...

hakuna chokochoko za kibaraka yeyote humu nchini, anaeweza kuthubutu kutikisa au kuhujumu amani ya waTanzania kwa namna yeyote ile, atadhibitiwa na kukabiliwa vilivyo kwa nguvu zote na kwa mujibu wa sheria mapema iwezekanvyo, maana hakuna namna nyingine sasa....

walioketi chini kwa pamoja na kujadiliana kwa upendo na amani juu ya mustakabali mwema wa Taifa lao, waachwe wafanye hivyo kwa uhuru kabisa...

wenye mawazo tofaut na ya wengine, watoe maoni yao kwa hekima na busara, kwani mihemko na ghadhabu ni haitasaidia na ni utovu wa maadili...

vyama vya kisiasa, vyama vya kiraia na mashirika ya kidini, endeleeni kujadiliana kwa pamoja na kwa amani, ili mustakabali mwema wa mama Tanzania uendelee kuimarika zaidi kwa manufaa ya waTanzania wote...
 
Hii mikutano kama ya Kituo cha demokrasia Tanzania(TCD), ya vyama vya siasa, sijui ya kamati za amani na maridhiano ni upotezaji muda tu, ni matumizi mabaya ya rasilimali fedha na muda na pia ni kupakana mafuta kwa mgongo wa chupa.

Nchi ya miaka zaidi ya 60 haitakiwi kupoteza muda kupiga gumzo na kusogoa kwa mambo ambayo yako wazi kabisa kikatiba, kisheria na hata kwa common sense. Majadiliano yanayofanyika katika mikutano na vikao vya namna hii ilipaswa kufanyika katika shule za sekondari na vyuo vikuu.

Nimekuwa nikiona hata "mabeberu" wako na ushiriki mkubwa sana katika matukio ya aina hii wakati huko kwao hakuna mambo kama haya kabisa. Balozi wa Marekani atuambie ni lini Democrats na Republicans waliwahi kukaa tofauti na vikao rasmi vya bunge au na Rais Ikulu kupanga namna ya kutekeleza katiba ya Marekani katika masuala ya uchaguzi au mambo mengine yoyote ambayo katiba yao imekwisha weka muongozo.

Kwa nini huko Marekani Democrats na Republicans hawakai chini kukubaliana jinsi ya kwanyang'anya raia silaha?

Kwa nini hakuna mijadala nje ya bunge ya Democrats na Republicans kukubaliana kama Trump alishindwa au Biden alishinda 2020?

Tukue sasa tuheshimu katiba ya nchi, vyombo vya dola na mamlaka nyingine zote vitende wajibu wao kwa haki kwa kuzingatia katiba na pia tuheshimu uhuru wa kila mtu na kila kundi, tuachane na tabia za hovyo za binadamu wasiostaaribika.
kikamilifu sana, kwa weledi, umahiri na umakini mkubwa sana,
dola ya Tanzania, taasisi, mashirika na mihimili yote ya inchi, inatekeleza wajibu na majukumu yao ipasavyo kwa mujibu wa katiba na sheria za inchi...

hayo mengine ni maoni na mtazamo tu,
wa pengine hujafurahishwa au hujaridhishwa na namna mambo yanavyokwenda vizuri sana tofauti na ulivyofikiria au kutaka wewe yawe...
na hilo sio jambo baya ndivyo binadamu tulivyo...

lakini mambo yanafanyika na yanaonekana bayana....

vyama vya kisiasa, vya kuraia na mashirika ya dini kuketi pamoja, ni ishara njema ya kuimarika kwa amani, umoja na utangamano miongoni mwa waTanzania wa kada mbalimbali...

Mungu Ibariki Tanzania
 
Hakuna wa kuunga mkono uhayawani wenu wa kiroho na kihisia wa kutaka kuwa na wabunge wawili katika kila jimbo la uchaguzi. Ninyi CHADEMA mmachoangalia na kutolea macho ni sheria itakayoongeza upana wa njia ya ninyi kuingia bungeni kwa wingi ili mkatafune pesa lakini siyo kupigania maslahi ya mtanzania.
Msamwanda kama Msambwanda
 
Hakuna wa kuunga mkono uhayawani wenu wa kiroho na kihisia wa kutaka kuwa na wabunge wawili katika kila jimbo la uchaguzi. Ninyi CHADEMA mmachoangalia na kutolea macho ni sheria itakayoongeza upana wa njia ya ninyi kuingia bungeni kwa wingi ili mkatafune pesa lakini siyo kupigania maslahi ya mtanzania.
Ukitaka kujua ww ni mjinga wa kipaji angalia kwa Sasa Kuna majimbo mangapi ya uchaguzi, kisha zidisha mara mbili Bila vita maalimu, uone kama idadi ya wabunge itaongezeka ama kupungua kulingana na idadi ya wabunge waliopo sasa. Ama unadhani Kila chama kitafuata muondo wa ccm?
 
kikamilifu sana, kwa weledi, umahiri na umakini mkubwa sana,
dola ya Tanzania, taasisi, mashirika na mihimili yote ya inchi, inatekeleza wajibu na majukumu yao ipasavyo kwa mujibu wa katiba na sheria za inchi...

hayo mengine ni maoni na mtazamo tu,
wa pengine hujafurahishwa au hujaridhishwa na namna mambo yanavyokwenda vizuri sana tofauti na ulivyofikiria au kutaka wewe yawe...
na hilo sio jambo baya ndivyo binadamu tulivyo..
lakini mambo yanafanyika na yanaonekana bayana....

vyama vya kisiasa, vya kuraia na mashirika ya dini kuketi pamoja, ni ishara njema ya kuimarika kwa amani, umoja na utangamano miongoni mwa waTanzania wa kada mbalimbali...

Mungu Ibariki Tanzania

Ni mikutano ya kupotezeana muda Ili kuhadaa umma na Dunia kuwa kuna jambo la maana linajadiliwa. Lakini hakuna utekelezaji wowote utafanyika kutokana na majadiliano hayo zaidi ya kufanyana watoto. Mikutano kama hiyo itakuwa na maana baada ya machafuko ama mapinduzi ya kijeshi. Kinyume na hapo ni vikao vya kula fedha za wananchi kwa mikutano isiyo na tija.
 
Ukitaka kujua ww ni mjinga wa kipaji angalia kwa Sasa Kuna majimbo mangapi ya uchaguzi, kisha zidisha mara mbili Bila vita maalimu, uone kama idadi ya wabunge itaongezeka ama kupungua kulingana na idadi ya wabunge waliopo sasa. Ama unadhani Kila chama kitafuata muondo wa ccm?
Hujuwi kuwa CHADEMA wamependekeza pia uwepo wa 30% ya ya wabunge wa viti maalumu? Au wewe umekaririshwa tu na kukariri kama kasuku bila kuelewa kama kawaida yenu nyumbu wa CHADEMA 😄😄😄
 
Ni mikutano ya kupotezeana muda Ili kuhadaa umma na Dunia kuwa kuna jambo la maana linajadiliwa. Lakini hakuna utekelezaji wowote utafanyika kutokana na majadiliano hayo zaidi ya kufanyana watoto. Mikutano kama hiyo itakuwa na maana baada ya machafuko ama mapinduzi ya kijeshi. Kinyume na hapo ni vikao vya kula fedha za wananchi kwa mikutano isiyo na tija.
kama ni kupotezeana muda si ukae pembeni kimya au ukalale usingizi ili ipoteze wakati .....

unababaika na kwa mihemko na gahadhabu zisizo na maana wala umuhumu wowote...

kumbuka,
dua la kuku haliwezi kumpata mwewe hata siku moja kamanda...
 
Hujuwi kuwa CHADEMA wamependekeza pia uwepo wa 30% ya ya wabunge wa viti maalumu? Au wewe umekaririshwa tu na kukariri kama kasuku bila kuelewa kama kawaida yenu nyumbu wa CHADEMA 😄😄😄
Kipi huelewi hapo ww 🌈, jumlisha hiyo 30% hapo kama inafika idadi ya wabunge wa sasa.
 
kama ni kupotezeana muda si ukae pembeni kimya au ukalale usingizi ili ipoteze wakati .....

unababaika na kwa mihemko na gahadhabu zisizo na maana wala umuhumu wowote...

kumbuka,
dua la kuku haliwezi kumpata mwewe hata siku moja kamanda...
🌈 Hapo naweka record sawa, kwamba acheni kuchezea pesa za wananchi kwa vikao vya kitapeli.
 
🌈 Hapo naweka record sawa, kwamba acheni kuchezea pesa za wananchi kwa vikao vya kitapeli.
hakipo kitakacho simama kwasabb ya mihemko na gubu za yeyote yule 🐒

majadiliano, makongamano, seminar, warsha, midahalo ya vyama vya siasa, mashirika ya kiraia na kidini yataendelea kadiri inavyo faa ,ila maandamano yasiyo na tija yamulikwe upya au yapigwe marufuku tyu🐒
 
hakipo kitakacho simama kwasabb ya mihemko na gubu za yeyote yule 🐒

majadiliano, makongamano, seminar, warsha, midahalo ya vyama vya siasa, mashirika ya kiraia na kidini yataendelea kadiri inavyo faa ,ila maandamano yasiyo na tija yamulikwe upya au yapigwe marufuku tyu🐒
Sitegemei hivyo vikao kusimama maana hii ni serekali ya kipigaji, hivyo hizo ni sehemu za upigaji kwahiyo lazima viendelee. Na kuendelea kwa hivyo vikao haimaanishi kuwa vina tija, maana lengo sio tija yake Bali hadaa kwa umma na Dunia.

Maandamano sio hisani Bali yako kisheria, na mkiona hayawafurahishi nyie majizi ya kura mnaweza kuyapiga marufuku. Lakini hakuna wajinga tena wa kuwatetemekea nyie majizi.
 
Sitegemei hivyo vikao kusimama maana hii ni serekali ya kipigaji, hivyo hizo ni sehemu za upigaji kwahiyo lazima viendelee. Na kuendelea kwa hivyo vikao haimaanishi kuwa vina tija, maana lengo sio tija yake Bali hadaa kwa umma na Dunia.

Maandamano sio hisani Bali yako kisheria, na mkiona hayawafurahishi nyie majizi ya kura mnaweza kuyapiga marufuku. Lakini hakuna wajinga tena wa kuwatetemekea nyie majizi.
ungekua muerevu usingekua unababaika na mihemko wala gubu na yasio kuhusu 🐒
 
ungekua muerevu usingekua unababaika na mihemko wala gubu na yasio kuhusu 🐒
Haya ni mambo ya hovyo kwenye nchi yetu lazima tuhakikishe tunayakataa kwa nguvu zetu zote. Hutaki jinyonge.
 
Haya ni mambo ya hovyo kwenye nchi yetu lazima tuhakikishe tunayakataa kwa nguvu zetu zote. Hutaki jinyonge.
ukajinyonge wew mwenye gubu na mihemko 🐒

sie mkitimua mavumbi sisi twala 🐒
hakuna presha kwenye taaluma bana ya kuwatumikia wanainchi 🐒
 
Back
Top Bottom