Poppy Hatonn
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 2,102
- 2,717
Kila siku utasikia,"Rais kajenga barabara hapa:Rais katujengea zahanati."
Watu wanamwabudu Rais,na yeye hafanyi kitu chochote kuwazuia. Haya ndiyo mambo yanayomchukiza Mungu.
Kwa ajili Uchaguzi Mkuu unakaribia,acha watu wanisifie zaidi na zaidi.
Magufuli hakuwa anasifiwa namna hii; ingawa watu walikuwa wanasema huyu mtu kaongoza nchi siku kidogo tu,lakini nchi yetu imepata maendeleo kama Ulaya.
Marekani utasikia mara moja moja wanasema,"The Biden Education Programme,au The Biden Housing Project,lakini hii ni kwa sababu Kuna strong Opposition Party,na wanataka kutofautisha mambo.
Kikwete mara moja tu walikuwa wanaongea kuhusu " mamilioni ya Kikwete". Lakini kila siku tunasikia kuhusu " mamilioni ya Samia".
Hata ukimpa mtoto mdogo peremende,lazima uhakikishe kwamba yule mtoto anamsifu Mungu.
Kwa hiyo wajihadhari hawa watu wote wanaotaka kuitwa "superstar"
Watu wanamwabudu Rais,na yeye hafanyi kitu chochote kuwazuia. Haya ndiyo mambo yanayomchukiza Mungu.
Kwa ajili Uchaguzi Mkuu unakaribia,acha watu wanisifie zaidi na zaidi.
Magufuli hakuwa anasifiwa namna hii; ingawa watu walikuwa wanasema huyu mtu kaongoza nchi siku kidogo tu,lakini nchi yetu imepata maendeleo kama Ulaya.
Marekani utasikia mara moja moja wanasema,"The Biden Education Programme,au The Biden Housing Project,lakini hii ni kwa sababu Kuna strong Opposition Party,na wanataka kutofautisha mambo.
Kikwete mara moja tu walikuwa wanaongea kuhusu " mamilioni ya Kikwete". Lakini kila siku tunasikia kuhusu " mamilioni ya Samia".
Hata ukimpa mtoto mdogo peremende,lazima uhakikishe kwamba yule mtoto anamsifu Mungu.
Kwa hiyo wajihadhari hawa watu wote wanaotaka kuitwa "superstar"