Nataka kuanzisha harambee ya kumnunulia Rais Samia shamba Kaliua ili aachane na siasa 2025

MSAGA SUMU

JF-Expert Member
May 25, 2015
6,484
20,437
Jana nilishtuka baada ya kuona wakinamama waliochanga mil 200 ya kumchukulia mama Samia fomu ya kugombea urais.

Tukikaa kimya mama anaweza kudhani anaupiga mwingi sana na kila kitu kinaenda vizuri.

Nataka kuanzisha Harambee ya kumnunulia mama Samia 2025 ili aachane na siasa.

Shamba atanunuliwa maeneo ya Lumbe Kaliua ambapo atajikita katika kilimo cha tumbaku.

Hii ni kwa ajili ya kucounterbalance na wale wanaodhani mama anaupiga mwingi.

Niko safarini kuelekea Kaliua kuanza mchakato wa kupata shamba.
 
Jana nilishtuka baada ya kuona wakinamama waliochanga mil 200 ya kumchukulia mama Samia fomu ya kugombea urais.

Tukikaa kimya mama anaweza kudhani anaupiga mwingi sana na kila kitu kinaenda vizuri.

Nataka kuanzisha Harambee ya kumnunulia mama Samia 2025 ili aachane na siasa.

Shamba atanunuliwa maeneo ya Lumbe Kaliua ambapo atajikita katika kilimo cha tumbaku.

Hii ni kwa ajili ya kucounterbalance na wale wanaodhani mama anaupiga mwingi.

Niko safarini kuelekea Kaliua kuanza mchakato wa kupata shamba.
 
Jana nilishtuka baada ya kuona wakinamama waliochanga mil 200 ya kumchukulia mama Samia fomu ya kugombea urais.

Tukikaa kimya mama anaweza kudhani anaupiga mwingi sana na kila kitu kinaenda vizuri.

Nataka kuanzisha Harambee ya kumnunulia mama Samia 2025 ili aachane na siasa.

Shamba atanunuliwa maeneo ya Lumbe Kaliua ambapo atajikita katika kilimo cha tumbaku.

Hii ni kwa ajili ya kucounterbalance na wale wanaodhani mama anaupiga mwingi.

Niko safarini kuelekea Kaliua kuanza mchakato wa kupata shamba.
Tukikaa kimya mama anaweza kudhani anaupiga mwingi sana na kila kitu kinaenda vizuri
 
Back
Top Bottom