Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 876
- 4,101
Pale unapotokea msiba wapo ambao viongozi utoa pole kupitia mitandao ya kijamii, ipo misiba Mhe Rais utumia barua ya Ikulu nk
Napenda kufahamu ili Mhe Rais atoe pole kwa kupitia akaunti yake ya kijamii anapaswa kuzingatia vigezo gani?
Je, anapotumia barua rasmi ya Ikulu kutoa pole utumia vigezo gani?
Je, uzingatia wingi wa marehemu? Itikadi ya kisiasa au nafasi katika nchi na jamii? Utumia aina ya kifo au njia gani umwongoza Rais kutoa pole ndani ya nchi na hata nje ya nchi.
Tujuzeni wajuzi wa mambo ili tuweze kuelewa na kuacha kutumia standards zilizopo kumkumbusha kiongozi wetu pale anapopitiwa.
Napenda kufahamu ili Mhe Rais atoe pole kwa kupitia akaunti yake ya kijamii anapaswa kuzingatia vigezo gani?
Je, anapotumia barua rasmi ya Ikulu kutoa pole utumia vigezo gani?
Je, uzingatia wingi wa marehemu? Itikadi ya kisiasa au nafasi katika nchi na jamii? Utumia aina ya kifo au njia gani umwongoza Rais kutoa pole ndani ya nchi na hata nje ya nchi.
Tujuzeni wajuzi wa mambo ili tuweze kuelewa na kuacha kutumia standards zilizopo kumkumbusha kiongozi wetu pale anapopitiwa.