Tujihoji: Kwa nini hayati Julius Nyerere alitaka taifa letu liwe na Viongozi kama hayati Mkapa na hayati Magufuli na Sio Lowassa au Jakaya?

Nyankurungu2020

JF-Expert Member
Oct 2, 2020
4,086
6,568
Ukweli ni kuwa Nyerere alikuwa na maono, aliweza kujua nani kiongozi ambaye atatumikia wanyonge kwa manufaa ya taifa. Na nani atakuwa mpigaji.

Wapigaji wanajulikana. Mfano Jakaya alipokuwa madarakani ilikuwa ni skendo za upigaji tu. kagoda, Richmond, Escrow na sasa Dp world ya Dubai.

Hayati Magufuli na Mkapa Je? Hata ulikuwepo sio kama Jakaya na wenzake.

Je kwa nini hayati Nyerere aliwajua wapigaji? Na kwa nini aliwajua wapiga kazi kama hayati Mkapa na hayati JPM?
1000010740.jpg
 
Ukweli ni kuwa Nyerere alikuwa na maono, aliweza kujua nani kiongozi ambaye atatumikia wanyonge kwa manufaa ya taifa. Na nani atakuwa mpigaji.

Wapigaji wanajulikana. Mfano Jakaya alipokuwa madarakani ilikuwa ni skendo za upigaji tu. kagoda, Richmond, Escrow na sasa Dp world ya Dubai.

Hayati Magufuli na Mkapa Je? Hata ulikuwepo sio kama Jakaya na wenzake.

Je kwa nini hayati Nyerere aliwajua wapigaji? Na kwa nini aliwajua wapiga kazi kama hayati Mkapa na hayati JPM?View attachment 2904102
Mkapa miaka miwili tu baada ya kuingia madarakani,akaiuza NBC ya Nyerere,hili lilimtoa machozi Nyerere na akahubiri Sana kulipinga,aliowwuzia NBC wakampa 100m,hii ni 1997 zingatia
 
Ukiondoa nyerere hao waliobaki ni wezi tu. Wakati wa Magufuli skendo zilikuwepo sana sema alibana uhuru wa habari
Kujenga uwanja chatto bila idhini ya bunge siyo skendo hiyo? Ununuzi wa ndege bila zabuni je siyo skendo ile??
 
Ukweli ni kuwa Nyerere alikuwa na maono, aliweza kujua nani kiongozi ambaye atatumikia wanyonge kwa manufaa ya taifa. Na nani atakuwa mpigaji.

Wapigaji wanajulikana. Mfano Jakaya alipokuwa madarakani ilikuwa ni skendo za upigaji tu. kagoda, Richmond, Escrow na sasa Dp world ya Dubai.

Hayati Magufuli na Mkapa Je? Hata ulikuwepo sio kama Jakaya na wenzake.

Je kwa nini hayati Nyerere aliwajua wapigaji? Na kwa nini aliwajua wapiga kazi kama hayati Mkapa na hayati JPM?KwaView attachment 2904102

Ukweli ni kuwa Nyerere alikuwa na maono, aliweza kujua nani kiongozi ambaye atatumikia wanyonge kwa manufaa ya taifa. Na nani atakuwa mpigaji.

Wapigaji wanajulikana. Mfano Jakaya alipokuwa madarakani ilikuwa ni skendo za upigaji tu. kagoda, Richmond, Escrow na sasa Dp world ya Dubai.

Hayati Magufuli na Mkapa Je? Hata ulikuwepo sio kama Jakaya na wenzake.

Je kwa nini hayati Nyerere aliwajua wapigaji? Na kwa nini aliwajua wapiga kazi kama hayati Mkapa na hayati JPM?View attachment 2904102
Kwasababu walikuwa madikteta "UCHWARA" kama yeye....
 
Ukiondoa nyerere hao waliobaki ni wezi tu. Wakati wa Magufuli skendo zilikuwepo sana sema alibana uhuru wa habari
Kujenga uwanja chatto bila idhini ya bunge siyo skendo hiyo? Ununuzi wa ndege bila zabuni je siyo skendo ile??
Ndege hadi juzi bunge limeidhinisha fedha kuongeza ndege.
 
Ukweli ni kuwa Nyerere alikuwa na maono, aliweza kujua nani kiongozi ambaye atatumikia wanyonge kwa manufaa ya taifa. Na nani atakuwa mpigaji.

Wapigaji wanajulikana. Mfano Jakaya alipokuwa madarakani ilikuwa ni skendo za upigaji tu. kagoda, Richmond, Escrow na sasa Dp world ya Dubai.

Hayati Magufuli na Mkapa Je? Hata ulikuwepo sio kama Jakaya na wenzake.

Je kwa nini hayati Nyerere aliwajua wapigaji? Na kwa nini aliwajua wapiga kazi kama hayati Mkapa na hayati JPM?View attachment 2904102
Usisahau Nyerere wakati anatoka alikuwa hana hata nyumba ya kuishi walimjengea. Na alisema mwenyewe siasa yake imeshindwa. Ndio maana hii nchi hakuna elimu ni upuuz kama huu tu uliotuma hapa. Hawa wote aliotaka Nyerere watutawale wameiba au hawajaiba. Hilo ndio swali
 
Ukweli ni kuwa Nyerere alikuwa na maono, aliweza kujua nani kiongozi ambaye atatumikia wanyonge kwa manufaa ya taifa. Na nani atakuwa mpigaji.

Wapigaji wanajulikana. Mfano Jakaya alipokuwa madarakani ilikuwa ni skendo za upigaji tu. kagoda, Richmond, Escrow na sasa Dp world ya Dubai.

Hayati Magufuli na Mkapa Je? Hata ulikuwepo sio kama Jakaya na wenzake.

Je kwa nini hayati Nyerere aliwajua wapigaji? Na kwa nini aliwajua wapiga kazi kama hayati Mkapa na hayati JPM?View attachment 2904102

Nyerere ndio nani ww? Huyo si ndio alisababisha watu wakavaa viraka? Au kwakuwa hadithi unayopewa kuhusu yeye ni ya upande mmoja? Nyerere ndio muasisi wa wizi wa kura hapa nchini, na huu uzombie tulio nao kama nchi, Nyerere ndio muasisi wake.
 
Ukiondoa nyerere hao waliobaki ni wezi tu. Wakati wa Magufuli skendo zilikuwepo sana sema alibana uhuru wa habari
Kujenga uwanja chatto bila idhini ya bunge siyo skendo hiyo? Ununuzi wa ndege bila zabuni je siyo skendo ile??
Kwa nn wapumbavu wanaojua kusoma na kuandika wanazidi kuwa wengi?!, huyu naye ni miongoni mwao.
 
Kama Nyerere angelikuwepo wakati wa utawala wa Magufuli wasingeelewana kabisa.
Kwa sababu Nyerere alikua muumini wa Utawala Bora,utawala wa kufuata kaitiba,kuheshimu sheria,miiko ya uongozi,kanuni na taratibu.
Kwa bahati mbaya kabisa Magufuli alikua kinyume kabisa na uongozi unaoheshimu katiba,sheria,miongozo,kanuni na taratibu.
Alikua ni kiongozi anaeendesha nchi hovyohovyo.
Kujenga mabarabara,madaraja,majengo kwa kuumiza watu ni aina ya uongozi uliopingwa na Dunia nzima.
Adolf Hitler,Makaburu wa kusini,jean Bokassa na wengine kama hao walijenga vizuri sana nchi zao lakni walipingwa na Dunia nzima na mmoja wapo aliewapinga watawala wa namna hiyo ni mwalimu Nyerere.
Nyerere aliheshimu Mahakama,bunge ,mabaraza ya madiwani,serikali za mitaa, washauri,wazee,Viongozi wa dini na wataalam,lakini Magufuli yeye alijiheshimu yeye peke yake.
Hakuheshimu Mahakama,bunge,mabaraza ya madiwani,wazee,Viongozi wa dini,washauri na wataalam..

Katika maisha mtu mmoja kukiuka miongozo walioiweka watangulizi wake bila kufuata utaratibu huyo ni mtu wa hovyo kabisa.
Mfano kama unaona sheria Fulani inachelewesha maendeleao,basi fuata taratibu zilezile zilizoiweka sheria hiyo kuiondoa,mfano,tumia bunge kuondoa sheria inayochelewesha maendeleo,sio kuliruka bunge na kujiamlia wewe mwenyewe kufanya jambo Fulani.
Kama jambo Liko mahakamani basi iachie Mahakama ilimalize kisheria.

Na Kuna vitu vingije kwa asili yake havibadilishwi ni kwenda navyo kwa utaratibu huohuo.

Mfano haki ya msingi ya mtu kusikilizwa huwezi ukaifuta lakini Magufuli alikua kinyume na haki hiyo.

Haiwezekani wagombea wote wa ubunge wa vyama vya upinzani wakawa hawajui ama wanakosea kujaza Fomu za ubunge na udiwani.hii imetokea katika utawala wa Magufuli TU hapa Duniani.
Na utashangaa ndani ya wagombea hao Kuna wanasheria wa miaka mingi na wengine wakiwa wabunge wa miaka mingi.

Kiongozi ni yule anaeongoza kwa kufuata matakwa ya anaowaongoza sio kwa matakwa yake.na sauti za anaowaongoza ni kupitia kwa wawakilishi wao yaani wabunge,madiwani,serikali za mitaa na n.k.

Sasa mtu anaamka tu asubuhi anasema kajengeni uwanja wa ndege wa kimataifa chato,nao wanaenda kujenga.
Je mpango huo ulipitishwa na bunge?

Kiongozi asieheshimu katiba na sheria sidhani kama Nyerere angemkubali.
Kama Nyerere aliwapinga wazanzibar kwa kujiunga na OIC peke Yao kwa kutofuata sheria,sijui Magufuli angemshawishi Nini Nyerere kwa kukanyaga katiba.
 
Kwa nn wapumbavu wanaojua kusoma na kuandika wanazidi kuwa wengi?!, huyu naye ni miongoni mwao.
Wewe sio TU mjinga ,Bali ni zuzu.kwa sababu mtoa mada ametaka tujadili,Sasa wewe msomi uchwara badala ya kuwapinga kwa hoja hao unaowakashifu unawatukana.
Hoja hujibiwa kwa hoja
 
Ukiondoa nyerere hao waliobaki ni wezi tu. Wakati wa Magufuli skendo zilikuwepo sana sema alibana uhuru wa habari
Kujenga uwanja chatto bila idhini ya bunge siyo skendo hiyo? Ununuzi wa ndege bila zabuni je siyo skendo ile??
ndege zinatumika mpaka sasa na wananchi wote (hata wapinzani wanapiga selfii nazo!), uwanja huo pia ungetumika na watu wote. Hospitali nayo wanatibiwa watu wote. Tofauti ya hizo skendo nyingine walikula wahusika peke yao mwananchi hakuambulia kitu. Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni. Between two evils choose none!
 
Back
Top Bottom