johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,017
- 142,058
Ni ushauri tu kwa Wanahabari nguli kama Pascal Mayalla na Aloyce Nyanda, nk, wakachukua ombi la Tanzania huko Umoja wa Africa kama ni fursa itakayoanzia hapa nyumbani.
Midahalo inasaidia sana kutambua Maono ya Wagombea ni sawa tu na SWOT analysis,
Sabato njema. π
Midahalo inasaidia sana kutambua Maono ya Wagombea ni sawa tu na SWOT analysis,
Sabato njema. π