Maua yangu kwa Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Queen Cuthbert Sendiga, apige kazi

Kayugumis

Member
Jun 6, 2022
85
63
Queen.jpg
Kipindi Chama cha Alliance for Democratic Change (ADC) kinamuunga mkono na kumuita Mgombea wake wa nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Queen Cuthbert Sendiga akitambulika pia kwa jina la ‘Mama wa Taifa’, kuna baadhi ya Watanzania hawakuelewa dhana ya chama hicho.

Moja kati ya mambo yaliyowachanganya wengi ni kumuita Mhe Queen Mama wa Taifa, lakini kupitia ADC hasa baada ya chama kujiridhisha na tafiti mbalimbali tuliamini kupitia ushujaa wa Mwanamke katika dhana ya Uongozi kunzia mama alivyohifadhi kiumbe chake miezi 9 tumboni na hatimaye mtoto mpaka malezi.

Hatua iliyofuta baada ya hapo (kutoka kwenye mikono ya mama) ni baadhi yetu kuwa ma Profesa, Daktari, Walimu n.k.

Nikirejea katika hoja yangu ni kuwa kuna baadhi ya Watanzania walidiriki kusema Nchi haiwezi kuongozwa na Mwanamke, ni hivi juzi tumetoka kuwa na kumbukumbu ya Siku ya Mwanamke, kwa macho yetu tumeona ubora wa viongozi Wanawake wakiongoza vitengo muhimu na vikubwa.

Wanawake hao wakiongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan wameoesha kuwa wanaweza kuwa viongozi sio tu tukiwa wadogo bali hata kuongoza watu wazima.

Namtaja Queen kwa kuwa namjua na nimemfuatilia, ni mmoja wa viongoni wenye weledi mkubwa, ni msikivu na ndio maana licha ya mabadiliko ya Wakuu wa Mikoa mara kadhaa lakini Queen amebaki, najua hii si kwa bahati mbaya bali kwa kuwa anatenda kazi.
Queen2.jpg
Wanasema mpe mtu sifa zake ple unapopat nafasi hiyo, usisubiri aanguke au awe levo za juu ndio uanze kusema Fulani hivi au vile.

Ushauri wangu ni kuwa Queen hatakiwi kubweteka na kuona tayari amemaliza kazi, kwa uwezo wake ninavyomjua anatakiwa kukaza zaidi ya hapo kwa kuwa namuona mbali.

Achana na sifa za uchapakazi wake na kuwa kama kioo au mfano kwa baadhi ya Viongozi, nikiwa katika Shughuli zangu binafsi nimefika Manyara ambapo kwa sasa yeye ni Mkuu wa Mkoa nimeona na nimesikia kuhusu sifa zake bado ni zilezile ninazozijuwa mimi za Uwajibikaji rafiki wa Maendeleo, dhana hiyo ya utendaji wake inayosukumwa na uwajibikaji imekuwa rafiki wa maendeleo kila aendapo, ukiondowa Manyara Queen amehudumu kama Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Rukwa na sasa Manyara,

Kote huko ametatuwa migogoro ya Wananchi wa ngazi ya chini, angalia jinsi halivyo shughulika na tatizo la maafa yaliyotokana na maporomoko kule Manyara, hakika Queen anastahili tuzo ya kitaifa.

Pamoja na yote Queen anastahili kuitwa RC wa Taifa, anamsaidia ipasavyo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mama Samia Suluhu Hassan kutekeleza yale aliyoyakusudia kwa Wananchi wa Tanzania hususani katika nafasi yake ya ukuu wa Mkoa.

Hongera sana RC wa Taifa, Uwajibikaji rafiki wa Maendeleo.

By Ombe Kilonzo mdau wa maendeleo Mwananchi wa kawaida.
 
Chama cha Alliance for Democratic Change (ADC) kinamuita Queen Cuthbert Sendiga kwa jina la ‘Mama wa Taifa’, kuna baadhi ya Watanzania hawakuelewa dhana ya chama hicho.

Wanawake hao wakiongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan wameoesha kuwa wanaweza kuwa viongozi sio tu tukiwa wadogo bali hata kuongoza watu wazima.

Namtaja Queen kwa kuwa namjua na nimemfuatilia, ni mmoja wa viongoni wenye weledi mkubwa, ni msikivu na ndio maana licha ya mabadiliko ya Wakuu wa Mikoa mara kadhaa lakini Queen amebaki, najua hii si kwa bahati mbaya bali kwa kuwa anatenda kazi. Pamoja na yote naona huyu anastahili kuitwa RC wa Taifa.
Huyu ni kifaa haswaa...!,
Naunga mkono hoja!.
View: https://youtu.be/f6yG9RoUBOA?si=esWftlz3kuphFdy0

Ushauri wangu ni hawa viongozi wetu waliopata uteuzi na mafanikio, wawakumbuke wale wote waliochangia mafanikio yao, na kuwafikisha hapo tulipofika, hata kwa tule tuvijizawadi tudogo tudogo twenye impact ya kuwabadili maisha yao, mfano kale kajizawadi kadogo tuu ka gram 10, japo ni kazawadi kadogo, lakini kwa gramu 10 za enzi hizo... sio mchezo!. (Naomba usiulize ni gram 10 ya nini!).

P
 
View attachment 2935521
Kipindi Chama cha Alliance for Democratic Change (ADC) kinamuunga mkono na kumuita Mgombea wake wa nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Queen Cuthbert Sendiga akitambulika pia kwa jina la ‘Mama wa Taifa’, kuna baadhi ya Watanzania hawakuelewa dhana ya chama hicho.

Moja kati ya mambo yaliyowachanganya wengi ni kumuita Mhe Queen Mama wa Taifa, lakini kupitia ADC hasa baada ya chama kujiridhisha na tafiti mbalimbali tuliamini kupitia ushujaa wa Mwanamke katika dhana ya Uongozi kunzia mama alivyohifadhi kiumbe chake miezi 9 tumboni na hatimaye mtoto mpaka malezi.

Hatua iliyofuta baada ya hapo (kutoka kwenye mikono ya mama) ni baadhi yetu kuwa ma Profesa, Daktari, Walimu n.k.

Nikirejea katika hoja yangu ni kuwa kuna baadhi ya Watanzania walidiriki kusema Nchi haiwezi kuongozwa na Mwanamke, ni hivi juzi tumetoka kuwa na kumbukumbu ya Siku ya Mwanamke, kwa macho yetu tumeona ubora wa viongozi Wanawake wakiongoza vitengo muhimu na vikubwa.

Wanawake hao wakiongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan wameoesha kuwa wanaweza kuwa viongozi sio tu tukiwa wadogo bali hata kuongoza watu wazima.

Namtaja Queen kwa kuwa namjua na nimemfuatilia, ni mmoja wa viongoni wenye weledi mkubwa, ni msikivu na ndio maana licha ya mabadiliko ya Wakuu wa Mikoa mara kadhaa lakini Queen amebaki, najua hii si kwa bahati mbaya bali kwa kuwa anatenda kazi.
View attachment 2935522
Wanasema mpe mtu sifa zake ple unapopat nafasi hiyo, usisubiri aanguke au awe levo za juu ndio uanze kusema Fulani hivi au vile.

Ushauri wangu ni kuwa Queen hatakiwi kubweteka na kuona tayari amemaliza kazi, kwa uwezo wake ninavyomjua anatakiwa kukaza zaidi ya hapo kwa kuwa namuona mbali.

Nimefika Manyara ambapo kwa sasa yeye ni Mkuu wa Mkoa, nimeona na nimesikia kuhusu sifa zake bado ni zilezile ninazozijua.

Anatatua migogoro ya Wananchi wa ngazi ya chini kila mara, Pamoja na yote naona huyu anastahili kuitwa RC wa Taifa.


Ni mimi Mdau wa ACT​
RC wa Taifa ni Anthony Mtaka mkuu. Huoni siku wanaapishwa kuna mmoja (wa Iringa nadhani) aliambiwa kuwa mambo yakimwelemea asipate shida maana jirani yake tu hapo kuna RC wa taifa (Mtaka) na asiogope kuomba msaada huko ikibidi!
 
Hata mimi namkubali sana huyu Mheshimiwa kwa uchapa kazi wake na namna anavyojituma katika kutatua kero za wananchi pamoja na usikivu na utulivu wake kiuongozi. Namuombea aendelee kuwa katika nafasi hiyo au kupandishwa juu zaidi.
 
Wabongo wanataka kiongozi anayewabembeleza yaani awaonee huruma tuu wakiwa maskini awape pole kilasaa!! Ujinga mtupu!!!
Tunataka kiongozi MAHIRI kwenye kilimo(kakipaishaje),ufugaji,biashara na masoko,mazingira,elimu kaiinuaje nk.
Baba zima linasifu mwanamke kwa kuliongoza bila aibu! Alafu halitoi takwimu za mambogani hasa yameibuliwa unashindwa kuelewa hii nchi wanaume wanasifa ganiii???
Ndomana Tz Sasa inaitwa Shamba la bibi maana bibi hatumsikii anavyopambania rasilimali zetu tunaona tuu bandari zikipeanwa,madini hatuelezwi yakoje,ndege hatuoni ufanisi tunachoona ni matembezi ya bibi huko ughaibuni na kupewa maudaktari na mapongezo tuu!!!
 
Kipindi Chama cha Alliance for Democratic Change (ADC) kinamuunga mkono na kumuita Mgombea wake wa nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Queen Cuthbert Sendiga akitambulika pia kwa jina la ‘Mama wa Taifa’, kuna baadhi ya Watanzania hawakuelewa dhana ya chama hicho.

Moja kati ya mambo yaliyowachanganya wengi ni kumuita Mhe Queen Mama wa Taifa, lakini kupitia ADC hasa baada ya chama kujiridhisha na tafiti mbalimbali tuliamini kupitia ushujaa wa Mwanamke katika dhana ya Uongozi kunzia mama alivyohifadhi kiumbe chake miezi 9 tumboni na hatimaye mtoto mpaka malezi.

Hatua iliyofuta baada ya hapo (kutoka kwenye mikono ya mama) ni baadhi yetu kuwa ma Profesa, Daktari, Walimu n.k.

Nikirejea katika hoja yangu ni kuwa kuna baadhi ya Watanzania walidiriki kusema Nchi haiwezi kuongozwa na Mwanamke, ni hivi juzi tumetoka kuwa na kumbukumbu ya Siku ya Mwanamke, kwa macho yetu tumeona ubora wa viongozi Wanawake wakiongoza vitengo muhimu na vikubwa.

Wanawake hao wakiongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan wameoesha kuwa wanaweza kuwa viongozi sio tu tukiwa wadogo bali hata kuongoza watu wazima.

Namtaja Queen kwa kuwa namjua na nimemfuatilia, ni mmoja wa viongoni wenye weledi mkubwa, ni msikivu na ndio maana licha ya mabadiliko ya Wakuu wa Mikoa mara kadhaa lakini Queen amebaki, najua hii si kwa bahati mbaya bali kwa kuwa anatenda kazi.
Wanasema mpe mtu sifa zake ple unapopat nafasi hiyo, usisubiri aanguke au awe levo za juu ndio uanze kusema Fulani hivi au vile.

Ushauri wangu ni kuwa Queen hatakiwi kubweteka na kuona tayari amemaliza kazi, kwa uwezo wake ninavyomjua anatakiwa kukaza zaidi ya hapo kwa kuwa namuona mbali.

Achana na sifa za uchapakazi wake na kuwa kama kioo au mfano kwa baadhi ya Viongozi, nikiwa katika Shughuli zangu binafsi nimefika Manyara ambapo kwa sasa yeye ni Mkuu wa Mkoa nimeona na nimesikia kuhusu sifa zake bado ni zilezile ninazozijuwa mimi za Uwajibikaji rafiki wa Maendeleo, dhana hiyo ya utendaji wake inayosukumwa na uwajibikaji imekuwa rafiki wa maendeleo kila aendapo, ukiondowa Manyara Queen amehudumu kama Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Rukwa na sasa Manyara,

Kote huko ametatuwa migogoro ya Wananchi wa ngazi ya chini, angalia jinsi halivyo shughulika na tatizo la maafa yaliyotokana na maporomoko kule Manyara, hakika Queen anastahili tuzo ya kitaifa.

Pamoja na yote Queen anastahili kuitwa RC wa Taifa, anamsaidia ipasavyo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mama Samia Suluhu Hassan kutekeleza yale aliyoyakusudia kwa Wananchi wa Tanzania hususani katika nafasi yake ya ukuu wa Mkoa.

Hongera sana RC wa Taifa, Uwajibikaji rafiki wa Maendeleo. Ni Mimi Mdau wa Chama cha ADC na Mwananchi wa kawaida, mpenda Maendeleo.
Huyu Mama kazi anapiga.Kwenye orodha yangu ya mashujaa wa mwaka 2023 alikuwemo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom