Hili litasaidia wizara na mawaziri wengine kufanya kazi zao bila kulazimika kusema uongo au kusifia mahali penye mapungufu Kwa lengo la kumfurahisha mteuzi.
Kazi ya wizara hii itakuwa ni sifa na...
Nimetembea karibu nimalize Kariakoo yote na maeneo ya Posta mpya yote...sijaona au kukuta sehemu ambayo wanauza.
Bendera ya Tanzania. Bendera ninayoihitaji mimi ni zile kubwa zinazopepea kwenye...
Nina maoni kwamba hoja hii inaonekana kuwa na mantiki fulani. Kuna dalili za upinzani kuonyesha nia ya kushirikiana na serikali kwa maslahi ya taifa na wananchi. Hii ni ishara nzuri kwa ustawi wa...
Shida ni nini kila napoingia maduka makubwa makubwa nanunua bidhaa mbalimbali lakini naona sipewi risiti pia wanunuzi wengine nao waona naona hawapewi risiti
Nikiagiza bidhaa hapo kariakoo bidhaa...
Kisiwa cha Rukuba kimekamilisha ujenzi wa Kituo chake cha Afya na tayari kimeanza kupokea vifaa tiba vya Kituo hicho.
Utoaji wa Huduma za Afya ndani ya Jimbo la Musoma Vijijini unaendelea...
Wakuu habari za wakati huu,
Kama Taifa kwa miaka 60 tumeshindwa kupiga hatua katika kila nyanja hata mambo madogo yametushinda inashangaza hata mambo madogo ya wananchi kuzaa kwa mpangilio tu...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amevunja Bodi ya Shirika la Reli Tanzania (TRC).
Aidha, Rais Samia ametengua uteuzi wa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Ndege za...
E-GA ni taasisi inayoratibu serikali mtandao, ni taasisi ambayo inajenga mifumo karibu mingi sana inayotumika na serikali.
Serikali imeokoa pesa nyingi sana kutoka nje ya nchi na imetoa ajira kwa...
Nimekaa nikawaza, leo nchi kama India, Japan, Urusi, Marekani zinapigana vikumbo kuingia mwezini!
Je, sisi Watanzania ni tafiti gani tumewahi fanya hapa duniani?
Je, katika bajeti ya serikali ni...
Tunaomba kwa wenye taarifa kamili juu ya CV ya huyu Kijana ambaye miaka ya 2009 aliwahi lalamikiwa hapa Jamii Forum.
Je ni maandalizi ya kutafuta timu ya kuchakachua matokeo 2025?
Je ni kweli...
Serikali kupitia mamlaka ya usimamizi wa Bandari Tanzania TPA itaanza rasmi mradi mkubwa wa ujenzi wa Bandari mpya ya Bagamoyo kuanzia septemba mwaka huu.
Mradi huo mkubwa ni sehemu ya uboreshaji...
Katika modern world walichobakinacho Wanasiasa ni Kujidanganya Wao binafsi huku Wakiamini Wanawadanganya Wananchi.
Wanasiasa wa Dunia ya Leo ndio wale akina Herode walioamini Wanawadanganya...
Kupotoka kwa maadili mara nyingi lawama wanatupiwa wazazi na utandawazi, lakini ebu tuangalie wajibu wa serilkali kwa maana ya mhimili wa utawala wenye mamlaka ya kusema hii sawa na hii hapana...
Umofia kwenu
Uteuzi uliofanywa na Rais Samia kwa kumtoa Maharage Chande TANESCO na kumpeleka kuwa Mkurugenzi TTCL na hatimaye ndani ya siku mbili akamteua kuwa PostaMasta inaleta tafakuri...
Kuna jambo sijafurahishwa kama Mwananchi na Mlipa Kodi...; Jana Rais ni kama ametoa excuse ya hii Crisis Kwamba hakuna Mvua na wanafanya maintenance - Hapo ni kama anawatetea watendaji na kuwapa...
Huyu alimgaragaza Mzilankende kutoka Chato hadi ikapidi Wakuu wa Kitengo wapindue Meza 🤣🤣🤣
Huyu hakuikotwa from no where kama yule mwingine Bali alikuwa Balozi wa Kudumu wa Umoja wa Afrika (AU)...
Na Shaka Hamdu Shaka
MAFANIKIO KUMI YA RAIS SAMIA KATIKA SEKTA YA UTALII
1. Kupungua kwa ujangili kulikotokana na kuimarika kwa uhifadhi ikiwemo kuundwa kwa jeshi usu la wanyamapori na misitu...
Naibu Waziri, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Ridhiwani Kikwete amewataka watumishi kutoka taasisi zote za serikali za umma kutatua malalamiko na changamoto za...
BoT ACHENI MAJIBU MEPESI KWENYE MASWALI MAGUMU
BoT acheni majibu mepesi kwenye maswali magumu hasa hili la upungufu wa dola kwenye mzunguko wa uchumi, Ni kweli ukosefu wa dola ni janga la kidunia...
Maharage Ally Chande amekuwa MD wa TANESCO kwa takriban miaka miwili sasa.
Kama kuna vigezo vya kumpima utendaji, basi kwa sasa vimekuwa juu kwa MD wetu maana utendaji unapimwa na output, umeme...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.