Akili fupi hii. Bwawa la Nyerere linajengwa kwa fedha za Ruzuku ya Vyama? Fedha za Miradi ya Serikali zinatolewa na CCM?Tangu chadema ianze kupokea ruzuku, imepata zaidi ya bilioni 300, lakini imewachukua miaka 30 kupata jengo la ofisi la ghorofa moja.
Je wakikabidhiwa nchi, wataweza kujenga miradi mikubwa mikubwa ndani ya muda mfupi?
Kuna mahali CCM inajenga SGR?Tangu chadema ianze kupokea ruzuku, imepata zaidi ya bilioni 300, lakini imewachukua miaka 30 kupata jengo la ofisi la ghorofa moja.
Je wakikabidhiwa nchi, wataweza kujenga miradi mikubwa mikubwa ndani ya muda mfupi?
Hapo ni sawa na kusema kama baba yako alinunua gari akiwa na miaka 50+, basi ww mtoto wake utanunua gari ukiwa na miaka 65+. Yaani umejaribu kutoa mfano ambao haufiti kwenye uhalisia.Tangu chadema ianze kupokea ruzuku, imepata zaidi ya bilioni 300, lakini imewachukua miaka 30 kupata jengo la ofisi la ghorofa moja.
Je wakikabidhiwa nchi, wataweza kujenga miradi mikubwa mikubwa ndani ya muda mfupi?
Kwani hiyo ruzuku sio kodi za wananchi?Wangetumia pesa za umma kujenga hizo miundombinu ila wangepiga sana pesa kama wafanyavyo ccm
Kama kungekuwa na chuo kinatoa shahada ya ujinga basi chiembe ungetunukiwa;Tangu chadema ianze kupokea ruzuku, imepata zaidi ya bilioni 300, lakini imewachukua miaka 30 kupata jengo la ofisi la ghorofa moja.
Je wakikabidhiwa nchi, wataweza kujenga miradi mikubwa mikubwa ndani ya muda mfupi?
It's absolutely irrelevant..Tangu chadema ianze kupokea ruzuku, imepata zaidi ya bilioni 300, lakini imewachukua miaka 30 kupata jengo la ofisi la ghorofa moja.
Je wakikabidhiwa nchi, wataweza kujenga miradi mikubwa mikubwa ndani ya muda mfupi?
CCM wanapata ruzuku sh ngapi.?Kwani hiyo ruzuku sio kodi za wananchi?
Chadema hawana jengo lolote wamepanga room 3 upande Mtaa wa Ufipq Kinondoni wanalipa laki 3 kwa mwezi na bado yule Mzee mwenye nyumba analalamika hawalipi kwa wakati kodi.Tangu chadema ianze kupokea ruzuku, imepata zaidi ya bilioni 300, lakini imewachukua miaka 30 kupata jengo la ofisi la ghorofa moja.
Je wakikabidhiwa nchi, wataweza kujenga miradi mikubwa mikubwa ndani ya muda mfupi?
Hilo halihitaji kuhitimu chuo kikuu kulifahamu!Tangu chadema ianze kupokea ruzuku, imepata zaidi ya bilioni 300, lakini imewachukua miaka 30 kupata jengo la ofisi la ghorofa moja.
Je wakikabidhiwa nchi, wataweza kujenga miradi mikubwa mikubwa ndani ya muda mfupi?
Tangu chadema ianze kupokea ruzuku, imepata zaidi ya bilioni 300, lakini imewachukua miaka 30 kupata jengo la ofisi la ghorofa moja.
Je wakikabidhiwa nchi, wataweza kujenga miradi mikubwa mikubwa ndani ya muda mf
Tangu chadema ianze kupokea ruzuku, imepata zaidi ya bilioni 300, lakini imewachukua miaka 30 kupata jengo la ofisi la ghorofa moja.
Je, wakikabidhiwa nchi, wataweza kujenga miradi mikubwa mikubwa ndani ya muda mfupi?