DW: Nafasi ya chama cha ACT-Wazalendo nchini Tanzania

brazaj

JF-Expert Member
Jul 26, 2016
27,862
35,869
Hii ilikuwa ni katika kipindi chao cha "maoni mbele ya meza ya duara" jana:


Kuliangazia hilo yafuatayo yalimulikwa:

1. Madai ya kuwa ACT kinafanya siasa zisizo na uhalisia kikipendelea ukaribu usiofaa na watawala.
2. Kupachikwa jina CCM B.
3. Ipi hasa ilikuwa sura halisi ya ACT?
4. Vipi mabadiliko ya uongozi ndani ya chama hicho yataleta chachu gani kwenye siasa za Tanzania?
5. Vipi kufanya uchaguzi ndani ya chama hicho kuliko pita bila mtafaruku kunaweza kuwa mfano kwa wengine?
6. Vipi uungwaji mkono wa ACT ndani ya Tanzania?
7. Vipi hatimaye vyama vya upinzani vinaweza hatimaye kushika dola?

Kuyajibu hayo yakiwamo ya katiba mpya, vipi CCM wanafurushwa madarakani na mengi mengine walikaribishwa kulijadili hilo walikuwa:

a) Dorothy Asemo - mrithi wa Zitto Kabwe ACT
b) John Momose Cheyo - mwenyekiti UDP
c) Dotto Bulendu - mwandishi wa habari za siasa Tanzania

Comment #2 ni majidiliano kamili kama yalivyokuwa katika mjadala huo.
 
IMG_20240317_083950.jpg



 
Ni kweli. ACT inafanya siasa za kichawa na kujipendekeza kwa watawala ili wapewe upendeleo.

Kama mtakumbuka, 2010 Zitto ndiyo alikuwa mbunge wa kwanza wa upinzani kutangazwa kuwa kashinda uchaguzi. Hii ni kwa kuwa alikuwa akijipendekeza sana kwenye utawala wa Kikwete.
 
Hii ilikuwa ni katika kipindi chao cha "maoni mbele ya meza ya duara:"

View attachment 2936859
Kuliangazia hilo yafuatayo yalimulikwa:

1. Madai ya kuwa ACT kinafanya siasa zisizo na uhalisia kikipendelea ukaribu usiofaa na watawala.
2. Kupachikwa jina CCM B.
3. Ipi hasa ilikuwa sura halisi ya ACT?
4. Vipi mabadiliko ya uongozi ndani ya chama hicho yataleta chachu gani kwenye siasa za Tanzania?
5. Vipi kufanya uchaguzi ndani ya chama hicho kuliko pita bila mtafaruku kunaweza kuwa mfano kwa wengine?
6. Vipi uungwaji mkono wa ACT ndani ya Tanzania?
7. Vipi hatimaye vyama vya upinzani vinaweza hatimaye kushika dola?

Kuyajibu hayo yakiwamo ya katiba mpya, vipi CCM wanafurushwa madarakani na mengi mengine walikaribishwa kulijadili hilo walikuwa:

a) Dorothy Asemo - mrithi wa Zitto Kabwe ACT
b) John Momose Cheyo - mwenyekiti UDP
c) Dotto Bulendu - mwandishi wa habari za siasa Tanzania

Comment #2 ni majidiliano kamili kama yalivyokuwa katika mjadala huo.
CCM inatosha bara na visiwani...
 
Ni kweli. ACT inafanya siasa za kichawa na kujipendekeza kwa watawala ili wapewe upendeleo.

Kama mtakumbuka, 2010 Zitto ndiyo alikuwa mbunge wa kwanza wa upinzani kutangazwa kuwa kashinda uchaguzi. Hii ni kwa kuwa alikuwa alijipendekeza sana kwenye utawala wa Kikwete.

1. Mkuu kama hawa ni ACT 2020:



2. Kwamba kwa maoni yako hao ni chawa.

3. Basi sina hakika kama tunayo tafsiri moja ya neno chawa.
 
Back
Top Bottom