Hii ilikuwa ni katika kipindi chao cha "maoni mbele ya meza ya duara" jana:
Kuliangazia hilo yafuatayo yalimulikwa:
1. Madai ya kuwa ACT kinafanya siasa zisizo na uhalisia kikipendelea ukaribu usiofaa na watawala.
2. Kupachikwa jina CCM B.
3. Ipi hasa ilikuwa sura halisi ya ACT?
4. Vipi mabadiliko ya uongozi ndani ya chama hicho yataleta chachu gani kwenye siasa za Tanzania?
5. Vipi kufanya uchaguzi ndani ya chama hicho kuliko pita bila mtafaruku kunaweza kuwa mfano kwa wengine?
6. Vipi uungwaji mkono wa ACT ndani ya Tanzania?
7. Vipi hatimaye vyama vya upinzani vinaweza hatimaye kushika dola?
Kuyajibu hayo yakiwamo ya katiba mpya, vipi CCM wanafurushwa madarakani na mengi mengine walikaribishwa kulijadili hilo walikuwa:
a) Dorothy Asemo - mrithi wa Zitto Kabwe ACT
b) John Momose Cheyo - mwenyekiti UDP
c) Dotto Bulendu - mwandishi wa habari za siasa Tanzania
Comment #2 ni majidiliano kamili kama yalivyokuwa katika mjadala huo.
Kuliangazia hilo yafuatayo yalimulikwa:
1. Madai ya kuwa ACT kinafanya siasa zisizo na uhalisia kikipendelea ukaribu usiofaa na watawala.
2. Kupachikwa jina CCM B.
3. Ipi hasa ilikuwa sura halisi ya ACT?
4. Vipi mabadiliko ya uongozi ndani ya chama hicho yataleta chachu gani kwenye siasa za Tanzania?
5. Vipi kufanya uchaguzi ndani ya chama hicho kuliko pita bila mtafaruku kunaweza kuwa mfano kwa wengine?
6. Vipi uungwaji mkono wa ACT ndani ya Tanzania?
7. Vipi hatimaye vyama vya upinzani vinaweza hatimaye kushika dola?
Kuyajibu hayo yakiwamo ya katiba mpya, vipi CCM wanafurushwa madarakani na mengi mengine walikaribishwa kulijadili hilo walikuwa:
a) Dorothy Asemo - mrithi wa Zitto Kabwe ACT
b) John Momose Cheyo - mwenyekiti UDP
c) Dotto Bulendu - mwandishi wa habari za siasa Tanzania
Comment #2 ni majidiliano kamili kama yalivyokuwa katika mjadala huo.