Ili kunogesha siku ya kumkumbuka mwamba wetuNajiuliza tu Je hii interview ilikuwa na ulazima na umuhimu wowote kwa siku ya leo au ni mkakati?
Aidha Mabeyo anasema kuna wakati mama alikuwa anashauriwa vibaya Je ni wakati gani huo?
Wakati wa Mungu ni wakati sahihi. Mungu mwenyewe alitaka tuyajue yote haya.Najiuliza tu Je hii interview ilikuwa na ulazima na umuhimu wowote kwa siku ya leo au ni mkakati?
Aidha Mabeyo anasema kuna wakati mama alikuwa anashauriwa vibaya Je ni wakati gani huo?
Why? WHy? and WHY?Najiuliza tu Je hii interview ilikuwa na ulazima na umuhimu wowote kwa siku ya leo au ni mkakati?
Aidha Mabeyo anasema kuna wakati mama alikuwa anashauriwa vibaya Je ni wakati gani huo?
Wewe umewaza vizuri. Je, Marehemu alikuwa akiuguzwa kijeshi? Kwamba wakati anafariki tena baada ya kuwa ktk hali mbaya kwa muda wa zaidi ya siku nzima viongozi waandamizi wa serikali wasitaarifiwe, familia ya marehemu vilevi alafu baada ya kifo hawajui ni nani wa kutaarifiwa kwanza. Duh...inchi hii!!!Najiuliza tu Je hii interview ilikuwa na ulazima na umuhimu wowote kwa siku ya leo au ni mkakati?
Aidha Mabeyo anasema kuna wakati mama alikuwa anashauriwa vibaya Je ni wakati gani huo?
Mke wake alikuwa wapi wakati mumewe yuko mahututi, huku wakiitwa mapadre, sijui Pengo nk. Yaani mke Yuko mbali anafanya kupewa taarifa mumewe akiwa kafariki! Wakati huo huo Hadi watu huko vijijini walikuwa na taarifa za kifo chake huku mitandaoni. Unaachaje kumuuliza CDF kwenye mazingira hayo?Najiuliza tu Je hii interview ilikuwa na ulazima na umuhimu wowote kwa siku ya leo au ni mkakati?
Aidha Mabeyo anasema kuna wakati mama alikuwa anashauriwa vibaya Je, ni wakati gani huo?
Wakina Pengo hao ndo muhimu,,,,unakumbuka walienda kumtuliza Membe ile ishu yake na Musiba baadae yako wapi ??? Magufuli ni mtakatifu na aliletwa kwa kazi maalum na akaitekeleza akaendaMke wake alikuwa wapi wakati mumewe yuko mahututi, huku wakiitwa mapadre, sijui Pengo nk. Yaani mke Yuko mbali anafanya kupewa taarifa mumewe akiwa kafariki! Wakati huo huo Hadi watu huko vijijini walikuwa na taarifa za kifo chake huku mitandaoni. Unaachaje kumuuliza CDF kwenye mazingira hayo?
Mkuu unawachukia sana Wasukuma, nafikiri ungeweza, ungewaua wote.Sukuma gang wanajipa promo siku kama ya leo.
Hii ndio maana halisi ya ONE MAN SHOWWewe umewaza vizuri. Je, Marehemu alikuwa akiuguzwa kijeshi? Kwamba wakati anafariki tena baada ya kuwa ktk hali mbaya kwa muda wa zaidi ya siku nzima viongozi waandamizi wa serikali wasitaarifiwe, familia ya marehemu vilevi alafu baada ya kifo hawajui ni nani wa kutaarifiwa kwanza. Duh...inchi hii!!!
Interview moja nyuzi elf 1Najiuliza tu Je hii interview ilikuwa na ulazima na umuhimu wowote kwa siku ya leo au ni mkakati?
Aidha Mabeyo anasema kuna wakati mama alikuwa anashauriwa vibaya Je, ni wakati gani huo?
Na hakuna hata sehemu moja alipotajwa mkewe kuwepo pembeni yake.Wewe umewaza vizuri. Je, Marehemu alikuwa akiuguzwa kijeshi? Kwamba wakati anafariki tena baada ya kuwa ktk hali mbaya kwa muda wa zaidi ya siku nzima viongozi waandamizi wa serikali wasitaarifiwe, familia ya marehemu vilevi alafu baada ya kifo hawajui ni nani wa kutaarifiwa kwanza. Duh...inchi hii!!!
Haikuwa na ulazima au umuhimu wowote, kwanza imezua hoja nyingi za kujadili wakati tulishatoka huko.Najiuliza tu Je hii interview ilikuwa na ulazima na umuhimu wowote kwa siku ya leo au ni mkakati?
Aidha Mabeyo anasema kuna wakati mama alikuwa anashauriwa vibaya Je, ni wakati gani huo?