Kwa imani ya Kikatoliki, Hayati Magufuli alibahatika kupata Kifo chema

Bams

JF-Expert Member
Oct 19, 2010
16,547
41,056
Nimeyasikiliza na kuyasoma maelezo ya CDF juu ya dakika za mwisho za Hayati John Magufuli.

Kwa imani ya kikatoliki, na nadhani ya wakristo wote:
1) Dakika za mwisho huamua mwanadamu aende wapi, yaani aipokee huruma ya Mungu au aende jehanamu.

2) Hakuna dhambi isiyosamehewa na Mungu.

"Njooni kwangu ninyi nyote mnaoelemewa na mizigo ya dhambi, nami nitawapumzisha"

"Dhambi zenu hata ziwe nyekundu kama damu, nami nitaziosha"

"Tabibu hayupo kwaajili ya walip wazima bali wagonjwa"

"Nakuahidi,leo hii itakuwa pamoja nami peponi", aliambiwa jambazi aliyeomba msamaha dakika yake ya mwisho.

Pia kuna ule mfano wa wafanyakazi waliopewa kazi, mwingine asubuhi, mwingine mchana, mwingine alasiri, na mwingine jioni kabisa, lakini wote wakiahidiwa mshahara mmoja. Akimaanisha wapo wanaoishi maisha mema maisha yao yote, wapo wanaoanzia katikati, wengine dakika ile ya mwisho kabisa, lakini wote thawabu yao ni mbingu/ahera.

Mabeho anasema kuwa marehemu alimwomba wampeleke nyumbani kwake Chato, ili akafariki akiwa nyumbani kwake. Anasema pia kuwa marehemu alisema kuwa ugonjwa ule usingepona. Na yeye mwenyewe marehemu, akiwa na fahamu zake aliomba aitiwe kiongozi wa kiroho, akapewa mpako mtakatifu, na baada ya hapo akakata kauli, na jioni, akaaga Dunia.

Kwa wale wakatoliki, kuoneshwa kifo chako ni neema, kulindwa milango yako ya fahamu ni neema, kupokea mpako mtakatifu wa wagonjwa ni neema.

Bila ya kujali marehemu alikuwa na maisha gani kabla yake, lakini mwisho wa safari yake, kiimani marehemu, aliimaliza safari yake ya Duniani kwa neema ya huruma ya Mungu.

Wakati tukimkumbuka hayati Magufuli siku hii ya leo, zaidi tuyatafakari maisha yetu, tuyatafakari matendo yetu tukijua kuna siku maisha yetu yatakoma hapa Duniani, tujiulize tutaacha nini kwa watu wengine, tukitambua kuwa hekima ya Mungu siyo ya mwanadamu. Kuna wakati matendo yetu mazuri mengi au machache, huyatakasa makosa yetu mengi au machache, na hivyo kuipokea neema na msamaha kamili wa Mungu wetu. Apumzike kwa amani mwenzetu aliyetutangulia.
 
""IMANI BILA MATENDO NI KAZI BURE ""
-
Ndivyo biblia takatifu isemavyo!,
-MAISHA NI KHADITHI -
Sisi atheist tunasema, kutubu dhambi ni ngonjera tu, tuaamini "Yatupasa kuishi kwa kutenda mema, mbele yako itakuwa njema, na ukitenda ubaya na uovu mbele yako itakuwa mbaya na chungu, tunaamini tupo kwenye njia ya mtihani tunayopaswa kuivuka kwa kutenda wema, ili kufanikiwa kwenda kwenye phase two,ambayo ina maisha bora zaidi tusiyoyajua.
 
Nimeyasikiliza na kuyasoma maelezo ya CDF juu ya dakika za mwisho za Hayati John Magufuli.

Kwa imani ya kikatoliki, na nadhani ya wakristo wote:
1) Dakika za mwisho huamua mwanadamu aende wapi, yaani aipokee huruma ya Mungu au aende jehanamu.

2) Hakuna dhambi isiyosamehewa na Mungu.

"Njooni kwangu ninyi nyote mnaoelemewa na mizigo ya dhambi, nami nitawapumzisha"

"Dhambi zenu hata ziwe nyekundu kama damu, nami nitaziosha"

"Tabibu hayupo kwaajili ya walip wazima bali wagonjwa"

"Nakuahidi,leo hii itakuwa pamoja nami peponi", aliambiwa jambazi aliyeomba msamaha dakika yake ya mwisho.

Pia kuna ule mfano wa wafanyakazi waliopewa kazi, mwingine asubuhi, mwingine mchana, mwingine alasiri, na mwingine jioni kabisa, lakini wote wakiahidiwa mshahara mmoja. Akimaanisha wapo wanaoishi maisha mema maisha yao yote, wapo wanaoanzia katikati, wengine dakika ile ya mwisho kabisa, lakini wote thawabu yao ni mbingu/ahera.

Mabeho anasema kuwa marehemu alimwomba wampeleke nyumbani kwake Chato, ili akafariki akiwa nyumbani kwake. Anasema pia kuwa marehemu alisema kuwa ugonjwa ule usingepona. Na yeye mwenyewe marehemu, akiwa na fahamu zake aliomba aitiwe kiongozi wa kiroho, akapewa mpako mtakatifu, na baada ya hapo akakata kauli, na jioni, akaaga Dunia.

Kwa wale wakatoliki, kuoneshwa kifo chako ni neema, kulindwa milango yako ya fahamu ni neema, kupokea mpako mtakatifu wa wagonjwa ni neema.

Bila ya kujali marehemu alikuwa na maisha gani kabla yake, lakini mwisho wa safari yake, kiimani marehemu, aliimaliza safari yake ya Duniani kwa neema ya huruma ya Mungu.

Wakati tukimkumbuka hayati Magufuli siku hii ya leo, zaidi tuyatafakari maisha yetu, tuyatafakari matendo yetu tukijua kuna siku maisha yetu yatakoma hapa Duniani, tujiulize tutaacha nini kwa watu wengine, tukitambua kuwa hekima ya Mungu siyo ya mwanadamu. Kuna wakati matendo yetu mazuri mengi au machache, huyatakasa makosa yetu mengi au machache, na hivyo kuipokea neema na msamaha kamili wa Mungu wetu. Apumzike kwa amani mwenzetu aliyetutangulia.
Alipata nafasi ya kuwaomba msamaha aliowatendea ndivyo sivyo ?.
 
Nimeyasikiliza na kuyasoma maelezo ya CDF juu ya dakika za mwisho za Hayati John Magufuli.

Kwa imani ya kikatoliki, na nadhani ya wakristo wote:
1) Dakika za mwisho huamua mwanadamu aende wapi, yaani aipokee huruma ya Mungu au aende jehanamu.

2) Hakuna dhambi isiyosamehewa na Mungu.

"Njooni kwangu ninyi nyote mnaoelemewa na mizigo ya dhambi, nami nitawapumzisha"

"Dhambi zenu hata ziwe nyekundu kama damu, nami nitaziosha"

"Tabibu hayupo kwaajili ya walip wazima bali wagonjwa"

"Nakuahidi,leo hii itakuwa pamoja nami peponi", aliambiwa jambazi aliyeomba msamaha dakika yake ya mwisho.

Pia kuna ule mfano wa wafanyakazi waliopewa kazi, mwingine asubuhi, mwingine mchana, mwingine alasiri, na mwingine jioni kabisa, lakini wote wakiahidiwa mshahara mmoja. Akimaanisha wapo wanaoishi maisha mema maisha yao yote, wapo wanaoanzia katikati, wengine dakika ile ya mwisho kabisa, lakini wote thawabu yao ni mbingu/ahera.

Mabeho anasema kuwa marehemu alimwomba wampeleke nyumbani kwake Chato, ili akafariki akiwa nyumbani kwake. Anasema pia kuwa marehemu alisema kuwa ugonjwa ule usingepona. Na yeye mwenyewe marehemu, akiwa na fahamu zake aliomba aitiwe kiongozi wa kiroho, akapewa mpako mtakatifu, na baada ya hapo akakata kauli, na jioni, akaaga Dunia.

Kwa wale wakatoliki, kuoneshwa kifo chako ni neema, kulindwa milango yako ya fahamu ni neema, kupokea mpako mtakatifu wa wagonjwa ni neema.

Bila ya kujali marehemu alikuwa na maisha gani kabla yake, lakini mwisho wa safari yake, kiimani marehemu, aliimaliza safari yake ya Duniani kwa neema ya huruma ya Mungu.

Wakati tukimkumbuka hayati Magufuli siku hii ya leo, zaidi tuyatafakari maisha yetu, tuyatafakari matendo yetu tukijua kuna siku maisha yetu yatakoma hapa Duniani, tujiulize tutaacha nini kwa watu wengine, tukitambua kuwa hekima ya Mungu siyo ya mwanadamu. Kuna wakati matendo yetu mazuri mengi au machache, huyatakasa makosa yetu mengi au machache, na hivyo kuipokea neema na msamaha kamili wa Mungu wetu. Apumzike kwa amani mwenzetu aliyetutangulia.
Huyu mzee alikuwa mzalendo na jasiri sana, hakika tulipoteza kiongozi mwema mwenye hofu ya Mungu, hili Taifa tokea baba wa taifa alivyofariki Makufuli pekee angalau ukimwangalia alikuwa na chembechembe za hofu ya Mungu! Hakika tulipoteza jembe, kama alivyotutabiria tutamkumbuka, na kweli tunaisoma namba huku mioyo yetu ikimlilia! Rest in peace hero!
 
Alipata nafasi ya kuwaomba msamaha aliowatendea ndivyo sivyo ?.
Mazingira yake wakati wa toba yake yalikuwa yanamwezesha kuwafikia hao aliowakosea?

Hekima ya Mungu siyo ya mwanadamu. Yule jambazi aliyesulibiwa msalabani pamoja na Yesu, hakuna aliposikika akiwaomba msamaha aliokuwa amewakosea. Yeye alisema tu, "..... sisi tunapokea malipo ya matendo yetu. Ee Yesu unikumbuke utakapoingia kwenye ufalme wako". Na Yesu akamjibu, hakika leo hii utakuwa pamoja nami peponi.
 
""IMANI BILA MATENDO NI KAZI BURE ""
-
Ndivyo biblia takatifu isemavyo!,
-MAISHA NI KHADITHI -
Sisi atheist tunasema, kutubu dhambi ni ngonjera tu, tuaamini "Yatupasa kuishi kwa kutenda mema, mbele yako itakuwa njema, na ukitenda ubaya na uovu mbele yako itakuwa mbaya na chungu, tunaamini tupo kwenye njia ya mtihani tunayopaswa kuivuka kwa kutenda wema, ili kufanikiwa kwenda kwenye phase two,ambayo ina maisha bora zaidi tusiyoyajua.
Ben Saanane..Azory Gwanda...Leopold,
Wote hawa wameacha familia zao kwa udhalimu wa jiwe na Bashite.
 
Nimeyasikiliza na kuyasoma maelezo ya CDF juu ya dakika za mwisho za Hayati John Magufuli.

Kwa imani ya kikatoliki, na nadhani ya wakristo wote:
1) Dakika za mwisho huamua mwanadamu aende wapi, yaani aipokee huruma ya Mungu au aende jehanamu.

2) Hakuna dhambi isiyosamehewa na Mungu.

"Njooni kwangu ninyi nyote mnaoelemewa na mizigo ya dhambi, nami nitawapumzisha"

"Dhambi zenu hata ziwe nyekundu kama damu, nami nitaziosha"

"Tabibu hayupo kwaajili ya walip wazima bali wagonjwa"

"Nakuahidi,leo hii itakuwa pamoja nami peponi", aliambiwa jambazi aliyeomba msamaha dakika yake ya mwisho.

Pia kuna ule mfano wa wafanyakazi waliopewa kazi, mwingine asubuhi, mwingine mchana, mwingine alasiri, na mwingine jioni kabisa, lakini wote wakiahidiwa mshahara mmoja. Akimaanisha wapo wanaoishi maisha mema maisha yao yote, wapo wanaoanzia katikati, wengine dakika ile ya mwisho kabisa, lakini wote thawabu yao ni mbingu/ahera.

Mabeho anasema kuwa marehemu alimwomba wampeleke nyumbani kwake Chato, ili akafariki akiwa nyumbani kwake. Anasema pia kuwa marehemu alisema kuwa ugonjwa ule usingepona. Na yeye mwenyewe marehemu, akiwa na fahamu zake aliomba aitiwe kiongozi wa kiroho, akapewa mpako mtakatifu, na baada ya hapo akakata kauli, na jioni, akaaga Dunia.

Kwa wale wakatoliki, kuoneshwa kifo chako ni neema, kulindwa milango yako ya fahamu ni neema, kupokea mpako mtakatifu wa wagonjwa ni neema.

Bila ya kujali marehemu alikuwa na maisha gani kabla yake, lakini mwisho wa safari yake, kiimani marehemu, aliimaliza safari yake ya Duniani kwa neema ya huruma ya Mungu.

Wakati tukimkumbuka hayati Magufuli siku hii ya leo, zaidi tuyatafakari maisha yetu, tuyatafakari matendo yetu tukijua kuna siku maisha yetu yatakoma hapa Duniani, tujiulize tutaacha nini kwa watu wengine, tukitambua kuwa hekima ya Mungu siyo ya mwanadamu. Kuna wakati matendo yetu mazuri mengi au machache, huyatakasa makosa yetu mengi au machache, na hivyo kuipokea neema na msamaha kamili wa Mungu wetu. Apumzike kwa amani mwenzetu aliyetutangulia.
Kanisa lina kuombea mtu ila anayetoa msamaha Mungu. Unaomba kitu mwenye mamlaka nacho ana haki ya kubaki au kataa, hivyo sio sahihi kusema kwa kuwa aliombwa basi lazima alipata, tuwe wanyenyekevu kidogo. Pili mkristu ukatoliki haendi peponi bali mbinguni!
 
Walimtadharisha mapema
Screenshot_20230821-193049.png
 
Nimeyasikiliza na kuyasoma maelezo ya CDF juu ya dakika za mwisho za Hayati John Magufuli.

Kwa imani ya kikatoliki, na nadhani ya wakristo wote:
1) Dakika za mwisho huamua mwanadamu aende wapi, yaani aipokee huruma ya Mungu au aende jehanamu.

2) Hakuna dhambi isiyosamehewa na Mungu.

"Njooni kwangu ninyi nyote mnaoelemewa na mizigo ya dhambi, nami nitawapumzisha"

"Dhambi zenu hata ziwe nyekundu kama damu, nami nitaziosha"

"Tabibu hayupo kwaajili ya walip wazima bali wagonjwa"

"Nakuahidi,leo hii itakuwa pamoja nami peponi", aliambiwa jambazi aliyeomba msamaha dakika yake ya mwisho.

Pia kuna ule mfano wa wafanyakazi waliopewa kazi, mwingine asubuhi, mwingine mchana, mwingine alasiri, na mwingine jioni kabisa, lakini wote wakiahidiwa mshahara mmoja. Akimaanisha wapo wanaoishi maisha mema maisha yao yote, wapo wanaoanzia katikati, wengine dakika ile ya mwisho kabisa, lakini wote thawabu yao ni mbingu/ahera.

Mabeho anasema kuwa marehemu alimwomba wampeleke nyumbani kwake Chato, ili akafariki akiwa nyumbani kwake. Anasema pia kuwa marehemu alisema kuwa ugonjwa ule usingepona. Na yeye mwenyewe marehemu, akiwa na fahamu zake aliomba aitiwe kiongozi wa kiroho, akapewa mpako mtakatifu, na baada ya hapo akakata kauli, na jioni, akaaga Dunia.

Kwa wale wakatoliki, kuoneshwa kifo chako ni neema, kulindwa milango yako ya fahamu ni neema, kupokea mpako mtakatifu wa wagonjwa ni neema.

Bila ya kujali marehemu alikuwa na maisha gani kabla yake, lakini mwisho wa safari yake, kiimani marehemu, aliimaliza safari yake ya Duniani kwa neema ya huruma ya Mungu.

Wakati tukimkumbuka hayati Magufuli siku hii ya leo, zaidi tuyatafakari maisha yetu, tuyatafakari matendo yetu tukijua kuna siku maisha yetu yatakoma hapa Duniani, tujiulize tutaacha nini kwa watu wengine, tukitambua kuwa hekima ya Mungu siyo ya mwanadamu. Kuna wakati matendo yetu mazuri mengi au machache, huyatakasa makosa yetu mengi au machache, na hivyo kuipokea neema na msamaha kamili wa Mungu wetu. Apumzike kwa amani mwenzetu aliyetutangulia.
 

Attachments

  • 1699585544295.jpg
    1699585544295.jpg
    68.9 KB · Views: 2
Back
Top Bottom