kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 14,183
- 16,191
Sikushangaa kuona mchele wenye virutubisho.
Huo haukuja kwa bahati ni baada ya siku mbili tu kupita baada world bank kuitahadharisha tanzania juu ya wananchi wake kuendelea kuzaliana kwa wingi bila kikomo kama walivyoambiwa na shujaa Magufuli wazaliane mpaka mayai yaishe.
Wakaenda mbali kwa kuweka makadirio ifikapo 2050 nchi itakuwa na watu mil 140 hivyo ni mzigo kwa nchi itaelemewa,
World bank walishajua hilo ndio maana hiyo kauli iliambatana na mzigo uliokua ukipakuliwa bandarini, kwa ajili ya kupunguza uzazi hao vijana.
Watakao kula virutubisho watakuwa hawana uwezo wa kutunga mayai hivyo ifikapo 2050 hao wote watakua ni watu wazima.
Hivyo January Makamba anajua,Mwigulu nchemba anajua na doroti gwajima,ummy anajua na bashe asijifanye kushangaa.
CCM mnategemea wingi wa watu kupata ushindi inakuja mbinu nyingine ya kupunguza wapiga wadandiwa na mashine za kusaga wenzao!
Huo haukuja kwa bahati ni baada ya siku mbili tu kupita baada world bank kuitahadharisha tanzania juu ya wananchi wake kuendelea kuzaliana kwa wingi bila kikomo kama walivyoambiwa na shujaa Magufuli wazaliane mpaka mayai yaishe.
Wakaenda mbali kwa kuweka makadirio ifikapo 2050 nchi itakuwa na watu mil 140 hivyo ni mzigo kwa nchi itaelemewa,
World bank walishajua hilo ndio maana hiyo kauli iliambatana na mzigo uliokua ukipakuliwa bandarini, kwa ajili ya kupunguza uzazi hao vijana.
Watakao kula virutubisho watakuwa hawana uwezo wa kutunga mayai hivyo ifikapo 2050 hao wote watakua ni watu wazima.
Hivyo January Makamba anajua,Mwigulu nchemba anajua na doroti gwajima,ummy anajua na bashe asijifanye kushangaa.
CCM mnategemea wingi wa watu kupata ushindi inakuja mbinu nyingine ya kupunguza wapiga wadandiwa na mashine za kusaga wenzao!