Serikali/Bashe acha siasa nyepesi kwenye Mambo yanayohitaji kutumia akili

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Jul 29, 2013
10,468
23,744
Nimemwelewa sana Lema. Huwa kuna kipindi tunapishana lakini katika hili ana hoja. Miaka kadhaa tulipokea mahindi ya Yanga baada ya vita vya Kagera toka USA. Tuambiwe tulipata madhara gani.

Dawa na vyakula vingi vya kopo au pakti vinatoka nje ya nchi na marekani ikiwemo. Wakitaka kutudhuru hawashindwi. Mnakumbuka chanjo za Corona?

Bashe acha kufanya siasa nyepesi nyepesi za kufuata mkumbo. Kama waziri ulipaswa utume jopo la watu wako wakakague na wakaongee na ubalozi kuna nini kwenye hiyo nafaka.

Lakini mpaka imeingia nchini Waziri wa Afya, waziri wa Kilimo na Chakula hajui... Si tatizo lipo kwa wahusika hawa na si waliotoa msaada. Waafrika ni wavicy sana wa kufikiri. Na wanakurupuka kwenye kila jambo.

Screenshot_2024-03-17-12-31-42-888_com.instagram.android~2.jpg
 
Mkuu nakuhurumia utakuja utukanwe, kimsingi watanzania shule bado haijatusaidia.

Asilimia kubwa stori za mitaani ni uwongo, ukienda kwenye vijiwe utashangaa utakuna na watu wenye degree zao lakini kichwani hewa tu.
 
Nimemwelewa sana Lema. Huwa kuna kipindi tunapishana lakini katika hili ana hoja. Miaka kadhaa tulipokea mahindi ya Yanga baada ya vita vya Kagera toka USA. Tuambiwe tulipata madhara gani.

Dawa na vyakula vingi vya kopo au pakti vinatoka nje ya nchi na marekani ikiwemo. Wakitaka kutudhuru hawashindwi. Mnakumbuka chanjo za Corona?

Bashe acha kufanya siasa nyepesi nyepesi za kufuata mkumbo. Kama waziri ulipaswa utume jopo la watu wako wakakague na wakaongee na ubalozi kuna nini kwenye hiyo nafaka.

Lakini mpaka imeingia nchini Waziri wa Afya, waziri wa Kilimo na Chakula hajui... Si tatizo lipo kwa wahusika hawa na si waliotoa msaada. Waafrika ni wavicy sana wa kufikiri. Na wanakurupuka kwenye kila jambo.

View attachment 2937040
Bashe atuambie kama yule mwalimu wa madrasa na wanafunzi jimboni mwake kama walikula mchele wa marekani.
 
Mkuu nakuhurumia utakuja utukanwe, kimsingi watanzania shule bado haijatusaidia.

Asilimia kubwa stori za mitaani ni uwongo, ukienda kwenye vijiwe utashangaa utakuna na watu wenye degree zao lakini kichwani hewa tu.
Najua. Watanzania wengi hawana akili na hata waliosoma soma hawatumii akili. Wanapenda kudanganyika na mambo mepesi mepesi na udaku.
 
Back
Top Bottom