15 December 2023
Mbeya, Tanzania
WIMBO MNATUONA MANYANI
Hii ni baada ya jamhuri kuamua kutoendelea na kesi hii iliyovuta umma mpana kuijadili huku ikiituhumu serikali kubana uhuru wa kujieleza...
Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Ridhiwani Kikwete amesema serikali imeamua kujenga Mfumo wa Kitaifa wa Kielektroniki wa Ununuzi Tanzania (NeST)...
Wapinzani wa Tanzania wanakwama pakubwa sana. Huwezi amini baada ya kulia kwa miaka kama 6 kua wamezuiwa kufanya mikutano, leo hii wanaruhusiwa kufanya mikutano and guess what they are into...
Habari zenu ndugu, jamaa na marafiki mliopo hapa. Kwanza kbs napenda kutoa pole kwa Raisi wetu mama Samia Suluhu Hassani, kwa familia ya mama yetu mama Janet Magufuli na kwa watanzania wenzang kwa...
Juzi nilimsikiliza waziri wa mipango akiongea clouds nilishangaa sana waziri wa mipango anaongea habari ya ajira kama ambavyo kila layman anaongea. eti anasema serikali haitoi ajira watu...
Leo hii nimetizama KBC ambapo Festus Mwakerubi aliibua swala la uzalendo – uzalendo ni nini - na swali lake liljibiwa na Dkt. Zebedayo Kiungu, Mkuu wa Chuo cha Veta – Tabora.
Kwa miaka nyingi...
Moja kwa moja kwenye, swali kama linavyosomeka hapo juu.
Huku Afrika mara nyingi kila uchao tunapambana na Ufisadi.
Ufisadi na ubadhirifu wa Mali za Umma, ni kizingiti kikuu katika kuyafikia...
15 December 2023
Dubai’s Burj Al Arab,
Dubai UAE
WORLD TRAVEL AWARDS GRAND FINAL GALA CEREMONY 2023
Tanzania won a World Travel Destination award for year 2023...
Ikumbukwe, nchi yetu imewahi kuwa na Wanawake nguli katika harakati za kupigania uhuru wa Tanganyika na baada ya kujitawala.
Kwa uchache kulikuwa na kina Lucy Lameck, Bibi Titi, Bi Sofia Kawawa...
Huo ndio ukweli. Kuna mambo ya ajabu sana yanaendelea kwa sasa hapa nchini.
Nadhani wahusika wanatamani watunyang'anye hata kidogo tulichonacho tubaki hatuna kitu.
Gharama za maisha zipo juu na...
Hakika HUKUMU ya leo kwa Wenye Akili kubwa wanajua kuwa CHADEMA ndio Anapiga Penalt ya Mwisho huku Halima Mdee na Genge Lake wamepiga zote 5
Ila wenye Akili ndogo wanadhani Mchezo umeisha Halima...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa Wenyeviti na Makamu Wenyeviti wa Bodi kama ifuatavyo:
i) Amemteua Jaji Mshibe Ali Bakari kuwa Mwenyekiti wa...
Siku zote umaskini wa kipato unaanzia kwenye umaskini wa kichwani. Watanzania walio wengi, kutokana na umaskini wa kichwani wanaamini kuwa huruma ya CCM na Serikali, ndivyo vitawajengea mazingira...
Haya hapa ni baadhi ya Maelezo ya Jaji .
Kama tulivyotarajia , Jaji ameamua hivi .
====
Mahakama kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es salaam imewapa ushindi Halima Mdee na wenzake 18 kwenye kesi...
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amejumuika na Waumini wa Dini ya Kiislamu katika ibada ya Sala ya Ijumaa na baadae kushiriki Dua Maalum ya kumuombea...
Dar es Salaam. Ripoti mpya ya Benki ya Dunia imetoa taswira inayohusu nchi zinazoendelea, ikiwa ni pamoja na Tanzania, zinazokabiliana na kuongezeka kwa mzigo wa kulipa madeni.
Kwa mujibu wa...
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Hussein Ali Mwinyi amekabidhiwa mfano wa ramani ya mji mpya wa biashara na uwekezaji, Nyamanzi Wilaya ya Magharibi B - Mkoa wa Mjini...
Inajulikana kimisemo Kuwa Dawa ya Deni ni kulipa lakini madeni mengine yashakuwa bad debts kama yale ya epa
Kwani tusipolipa Madeni ya Nyerere na Mzee Rukhsa watatufanya nini?
Hilo tu
Nawatakia...
watanzania wengi we are tired, tumechoka sana, . hii SERIKALI ya awamu hii is the worst government ever. EVERYTHING IS BROKEN, BADO SOCIETY TU, 2025 MBALI SANA WE ARE RUNNING OUT PATIENCE...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.