Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Tuma timu yako kwa namna inayofaa leo tarehe 01.10.2023 wakajiridhishe namna Trafic wanavyokomoa Madereva hasa wa Bajaji katika eneo hilo. Leo nimepita Mandela Road Dar es Salaam nimeona...
6 Reactions
25 Replies
3K Views
Naomba kujuzwa na Wajuzi kwa sababu Shamba langu la mifugo liko karibu kabisa na Bahari Hapa Zinga Natanguliza shukrani
1 Reactions
17 Replies
830 Views
Mbeya.Waziri wa Fedha Dk. Mwigulu Nchemba amewashukia watu Wanaombeza Rais Samia Kwa sababu sio mtu wa mdomo mdomo na maneno mengi. Mwigulu amesema Serikali inajua akiwemo yeye kwamba tatizo...
2 Reactions
28 Replies
2K Views
GERSON MSIGWA AJIUZULU Ndugu zangu waandishi wa habari, kwanza nawashukuru kwa kuitikia wito wangu na kufika hapa leo. Nimewaita kwa jambo moja tu ambalo niliona haitakuwa sawasawa likiachwa na...
19 Reactions
45 Replies
9K Views
Salaam Wakuu Ninacho jua, Watawala hawawezi kuwanyamazisha Watu wa Mbeya. Watu wa Mbeya ni wapole ila ni watu wenye Ushirikiano na kupendana pia. Hawaogopi wala kutishwa. Tangu enzi la Nyerere...
21 Reactions
81 Replies
13K Views
Tanzania mulls Plan B for its SGR project as Turkish firm derailed MONDAY OCTOBER 02 2023 Finance ministers from Tanzania and Zanzibar have embarked on fundraising for the standard gauge railway...
0 Reactions
0 Replies
835 Views
Binadamu kuchoka kimwili na kiakili na kutaka kupumzika sio jambo la ajabu au fedheha bali ni jambo la kimaumbile. Ukiangalia kwa makini na kutafakari mama yetu kachoka hasa baada ya matatizo ya...
33 Reactions
152 Replies
9K Views
Msemaji wa EWURA amesema wataendelea kuvifungia Vituo vinavyoficha Mafuta kwa minajili ya kujipatia faida kubwa bei zikibadilika EWURA wamesema Soko la Mafuta liko Wazi hivyo Wafanyabiashara...
3 Reactions
13 Replies
1K Views
Na Kevin Lameck Kama ipo sehemu ambayo Rais Samia Suluhu Hassan amepatia katika teuzi zake za karibuni, bhasi miongoni mwake ni uteuzi wa sasa wa kujaza nafasi iliyoachwa wazi na Gerson Msigwa...
2 Reactions
12 Replies
3K Views
Ndugu zangu Watanzania, Uongo ukizungumzwa sana bila kujibiwa au kukanushwa kwa hoja unaweza kuonekana kama ukweli hasa kwa watu wanaopata Taarifa kwa kusimuliwa tu na watu wengine. Mh Rais...
4 Reactions
100 Replies
6K Views
Naona kama Lulandala anaelekea 50yrs ; kwanini kateuliwa kuwa katibu wa UVCCM? Lakini pia kwanini vijana wa CCM wasijichagulie katibu wao? Lini watapevuka kama hata viongozi watapangiwa?
2 Reactions
17 Replies
2K Views
Mwenyekiti wa Chadema, mheshimiwa Mbowe, amemtumia salamu za pongezi Mwadhama Protace Kardinali Rugambwa baada ya kusimikwa rasmi kuwa kardinali. Mbowe amesema taifa la Tanzania litautegemea...
0 Reactions
2 Replies
620 Views
Mnyonge mnyongeni Haki yake mpeni BAVICHA ni Taasisi yenye mchango mkubwa sana kwenye Ujenzi wa Taifa Vijana Wajanja wenye Akili kubwa Nchi Hii wengi wao wamepita Chadema hata huyu Jokate pale...
10 Reactions
35 Replies
3K Views
Legacy ni ipi katuachia yule bwana? https://twitter.com/CyrilRamaphosa/status/1708497215356858878?t=8Txy9u4MgcWKiiiolvWvuQ&s=19 Rais Samia Suluhu Hassan, amesema tovuti ya Dk. Salim Ahmed Salim...
3 Reactions
37 Replies
3K Views
Ndugu zangu watanzania, Kwa miaka mingi na yote Taifa letu liliongozwa na marais wa kiume katika ngazi ya Urais,umakamu wa Rais na uwaziri mkuu wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania. Ilikuwa ni...
0 Reactions
63 Replies
5K Views
Jamani naomba mniunge mkono biashara yangu inakufa tra wanataka Kodi yao mwenye frem anataka Kodi yake nayaona maisha yangu yanakufa hivihivi. Kilichonikatisha tamaa ni kuona serikali imerelax...
48 Reactions
187 Replies
10K Views
Tunakwamishwa na vibaraka wachumia matumbo yao kupitia siasa. Inatakiwa kuwatambua mapema na kuwakataa kwa manufaa ya ukombozi wa Mtanzania. Wametufanya sisi kama Mazumbukuku bana.
0 Reactions
4 Replies
469 Views
Nikiwasalimu itikieni Enzi za Mwalimu, Ikulu ya Dar ilikuwa na uzio wa michongoma na maua sambamba na uzio wa wavu eneo lenye wanyamapori wanaofugwa Ikulu. Enzi hizo tuliweza kuona uzuri na...
12 Reactions
38 Replies
3K Views
Mbunge wa Jimbo la Msalala Mkoani Shinyanga ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati ya kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini Mheshimiwa Iddi Kassim Iddi ameomba kufanyika kwa mabadiliko ya Kisera na...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
This is fact and realitity! Kiu ya chadema ni kuona vifungu vichache vya katiba vikibadilishwa wakifikiri huenda ndio kikwazo kwao katika kukamata dola, pigano lao kubwa zaidi ndani ya katiba...
3 Reactions
36 Replies
2K Views
Back
Top Bottom