Tuma timu yako kwa namna inayofaa leo tarehe 01.10.2023 wakajiridhishe namna Trafic wanavyokomoa Madereva hasa wa Bajaji katika eneo hilo.
Leo nimepita Mandela Road Dar es Salaam nimeona...
Mbeya.Waziri wa Fedha Dk. Mwigulu Nchemba amewashukia watu Wanaombeza Rais Samia Kwa sababu sio mtu wa mdomo mdomo na maneno mengi.
Mwigulu amesema Serikali inajua akiwemo yeye kwamba tatizo...
GERSON MSIGWA AJIUZULU
Ndugu zangu waandishi wa habari, kwanza nawashukuru kwa kuitikia wito wangu na kufika hapa leo. Nimewaita kwa jambo moja tu ambalo niliona haitakuwa sawasawa likiachwa na...
Salaam Wakuu
Ninacho jua, Watawala hawawezi kuwanyamazisha Watu wa Mbeya.
Watu wa Mbeya ni wapole ila ni watu wenye Ushirikiano na kupendana pia. Hawaogopi wala kutishwa.
Tangu enzi la Nyerere...
Tanzania mulls Plan B for its SGR project as Turkish firm derailed
MONDAY OCTOBER 02 2023
Finance ministers from Tanzania and Zanzibar have embarked on fundraising for the standard gauge railway...
Binadamu kuchoka kimwili na kiakili na kutaka kupumzika sio jambo la ajabu au fedheha bali ni jambo la kimaumbile.
Ukiangalia kwa makini na kutafakari mama yetu kachoka hasa baada ya matatizo ya...
Msemaji wa EWURA amesema wataendelea kuvifungia Vituo vinavyoficha Mafuta kwa minajili ya kujipatia faida kubwa bei zikibadilika
EWURA wamesema Soko la Mafuta liko Wazi hivyo Wafanyabiashara...
Na Kevin Lameck
Kama ipo sehemu ambayo Rais Samia Suluhu Hassan amepatia katika teuzi zake za karibuni, bhasi miongoni mwake ni uteuzi wa sasa wa kujaza nafasi iliyoachwa wazi na Gerson Msigwa...
Ndugu zangu Watanzania,
Uongo ukizungumzwa sana bila kujibiwa au kukanushwa kwa hoja unaweza kuonekana kama ukweli hasa kwa watu wanaopata Taarifa kwa kusimuliwa tu na watu wengine. Mh Rais...
Naona kama Lulandala anaelekea 50yrs ; kwanini kateuliwa kuwa katibu wa UVCCM?
Lakini pia kwanini vijana wa CCM wasijichagulie katibu wao? Lini watapevuka kama hata viongozi watapangiwa?
Mwenyekiti wa Chadema, mheshimiwa Mbowe, amemtumia salamu za pongezi Mwadhama Protace Kardinali Rugambwa baada ya kusimikwa rasmi kuwa kardinali.
Mbowe amesema taifa la Tanzania litautegemea...
Mnyonge mnyongeni Haki yake mpeni BAVICHA ni Taasisi yenye mchango mkubwa sana kwenye Ujenzi wa Taifa
Vijana Wajanja wenye Akili kubwa Nchi Hii wengi wao wamepita Chadema hata huyu Jokate pale...
Legacy ni ipi katuachia yule bwana?
https://twitter.com/CyrilRamaphosa/status/1708497215356858878?t=8Txy9u4MgcWKiiiolvWvuQ&s=19
Rais Samia Suluhu Hassan, amesema tovuti ya Dk. Salim Ahmed Salim...
Ndugu zangu watanzania,
Kwa miaka mingi na yote Taifa letu liliongozwa na marais wa kiume katika ngazi ya Urais,umakamu wa Rais na uwaziri mkuu wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania. Ilikuwa ni...
Jamani naomba mniunge mkono biashara yangu inakufa tra wanataka Kodi yao mwenye frem anataka Kodi yake nayaona maisha yangu yanakufa hivihivi.
Kilichonikatisha tamaa ni kuona serikali imerelax...
Tunakwamishwa na vibaraka wachumia matumbo yao kupitia siasa.
Inatakiwa kuwatambua mapema na kuwakataa kwa manufaa ya ukombozi wa Mtanzania.
Wametufanya sisi kama Mazumbukuku bana.
Nikiwasalimu itikieni
Enzi za Mwalimu, Ikulu ya Dar ilikuwa na uzio wa michongoma na maua sambamba na uzio wa wavu eneo lenye wanyamapori wanaofugwa Ikulu. Enzi hizo tuliweza kuona uzuri na...
Mbunge wa Jimbo la Msalala Mkoani Shinyanga ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati ya kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini Mheshimiwa Iddi Kassim Iddi ameomba kufanyika kwa mabadiliko ya Kisera na...
This is fact and realitity!
Kiu ya chadema ni kuona vifungu vichache vya katiba vikibadilishwa wakifikiri huenda ndio kikwazo kwao katika kukamata dola, pigano lao kubwa zaidi ndani ya katiba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.