SERIKALI IMEJIPANGA KUFUNGUA MKOA WA LINDI KWA KUBORESHA MIUNDOMBINU: WAZIRI BASHUNGWA
Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa, ameeleza kuwa Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais, Dkt...
ASANTE DKT.JPM ,PONGEZI DKT.SAMIA
Na.Amon Nguma.
Tarehe 17 Machi mwaka huu wa 2024 tumetimiza miaka mitatu tangu kufariki Rais wa awamu ya Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania...
Rais Samia Hassan amemteua Balozi Hussein Katanga ambaye ni Balozi wa Japan kuwa Katibu Mkuu Kiongozi akichukua nafasi ya Balozi Bashiru Ally ambaye ameteuliwa kuwa Mbunge.
Rais Samia Suluhu...
Wabongo ni pasua kichwa sana
Bashe anasema mchele uko kibao hakuna sababu ya kuchukua wa Msaada, anashambuliwa kila kona
Dkt. Mwigulu alisema nchi inakopa kwa sababu ina uwezo wa kulipa...
Sijajua kama mafao ni Madogo au tatizo ni nini
Kwa mfano Mzee Sumaye baada ya kustaafu Uwaziri Mkuu akaenda CHADEMA kuwa mwenyekiti wa Kanda ya Pwani na Mbowe akawa Boss wake
Nadhani kwenye...
Angalau unafiki wa CCM kuliko unafiki wa hawa wapinzani... Hawajui wasimame wapi, wapo kwaajili ya kupinga na kukosoa tu, hata kama jambo ni la kheri, sijawahi ona wakihoji zaidi ya kupinga hoja...
Kumekuwepo na tuhuma nyingi sana mitandaoni, na sehemu mbalimbali toka kwa baadhi ya watanzania wenzetu , yakwamba enzi ya utawala wa Magufuli wafanyabiashara wengi na makampuni yaliacha kufanya...
Hakuna namna Mbunge wa zamani wa Mbeya Mjini anaweza kumshinda Mbunge wa sasa ambaye pia ni Spika wa Bunge la JMT na Rais wa Mabunge yote Duniani.
Kama Taifa hatuwezi kukubali kupoteza nafasi ya...
Ndugu zangu Watanzania,
Nawaambieni ukweli kuwa Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mama Samia Suluhu Hasssan mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri...
Mbunge wa Geita vijijini Joseph Kasheku alimarufu Dk Musukuma amesema alisikia kuwa Tundu Lissu anataka kwenda kwenye kaburi la Hayati Magufuli kumwombea na kumwambia namna ufisadi unaoendelea...
Serikali imeyaondoa mapendekezo yaliyopelekwa Bungeni ya kufanya marekebisho ya sheria ya Sheria ya Mamlaka ya Nchi Kuhusiana na Umiliki wa Maliasili ya mwaka 2017 na Sheria ya Mapitio na...
Leo tumeona Polisi wamedai kumkamata mmiliki wa akaunti ya X inayotambulika kwa JINA la Sukunuku; mara tu polisi walipotaka hayo mawakili binafsi wengi wameonyesha nia ya kusimamia kesi hiyo huku...
Mpaka sasa CCM imewapitia Radha tofauti tofauti za uongozi watanzania kutoka Kwa viongozi wake. Kutoka radha ya viongozi wenye maamuzi magumu, Radha ya viongozi wakali sana, Radha ya viongozi...
19 March 2024
Dar es Salaam, Tanzania
A STORY BEHIND DEATH OF PRESIDENT JOHN MAGUFULI AND CONTROVERSIAL SWEAR IN OF PRESIDENT SAMIA- CDF GENERAL VENANCE S. MABEYO (RETIRED) NARRATES...
Pale Hanang kuna maafa na ni kama imetokea landslide kutokea Mlima Hanang, nimeona maaskari wa FFU wakiwa wamevalia buti zao kana kwamba wanaenda kukamata waandamanaji eti ndio kikosi cha uokoaji...
Wafanyabiashara nawaomba tembeeni kifua mbele kwanini ninyi ni matajiri. Ninyi ndio walipa mishahara ya serikali, mnawanunulia viongozi mafuta ya magari, mnawapandisha ndege na kulipa ada za...
Ndio maana tunawashauri viongozi wa Nchi yetu wajikite kutimiza malengo na uzalendo kwa Taifa lao waachane na vipaumbele vya vyama vyao.
Chawa huwa wanakuzunguka na kukupigia makofi pale tu...
Vyama vyote vya siasa hadi club za mpira za Simba na Yanga nk vina wasemaji active msemaji wa CHADEMA Makene yuko wapi hasikiki kulikoni?
Makene msemaji wa Chadema muda mrefu hatujamsikia muda...
Tangu huu Mchele ulipotolewa na Marekani nimewaona Watanzania kuwa wana akili ndogo sana.
Ikiwa mnashindwa kuwapa watoto wenu chakula bora huko shuleni na wanakonda na kupata utapiamlo, then...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.