Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Naomba mwenye CV ya Msemaji Mpya mrithi wa Gerson Msigwa atuwekee hapa. Sambamba na TV nani anaweza kutupa A,B,C ya mambo ambayo amewahi kufanya na kufanikiwa ili tuone kama anaweza kilisemea...
5 Reactions
62 Replies
12K Views
Kilichomnyima Salim Kikeke Usemaji mkuu wa Serikali ni Umaarufu wake tu na wala siyo kitu kingine chochote Ni kama Mbwana Samatta kwenye Taifa Stars akija tu akina Karia wote wanakuwa wadogo...
1 Reactions
2 Replies
328 Views
Nimejaribu kukumbuka kwa haraka haraka kuna kitu gani kinataja jina la Dr. Salim kwa kumbukumbu ya utumishi wake kwa taifa letu. Sijui kuna barabara au daraja gani limepewa jina lake. Ikumbukwe...
24 Reactions
47 Replies
7K Views
Wahenga mtakumbuka kabla ya Ukarabati wa barabara ya Mwenge palikuwepo na Kituo cha Nyirenda ila ilipoanzishwa ITV kile Kituo cha Nyirenda Watu wakaanza kukiita ITV Niombe tu kwa mamlaka husika...
0 Reactions
7 Replies
987 Views
Habari zenu ndugu wote. Naomba samahani kwa kuwa nitakuwa natuma nyuzi nyingi fupi fupi kuanzia leo hadi nimalize yaliyo moyoni mwangu. Moyoni kumejaa uzito juu ya suali zima la "Hadhi maalumu"...
0 Reactions
0 Replies
466 Views
Hii tumeshaiona kwenye mabasi ya Mwendo kasi, faini za traffic na za mabasi. Wanaharibu mitandao makusudi ili usiweze kulipa faini kwa mitandao au kununua ticket za card ili tu ukienda kulipa kwa...
1 Reactions
1 Replies
327 Views
"Namshukuru Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania aliyeniteua tarehe 08 Januari, 2022 kuwa Naibu Waziri wa Uchukuzi. Alituheshimisha sana Vijana, alituheshimisha sana wana Busokelo na...
0 Reactions
1 Replies
902 Views
=== Kamati Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM), iliyokutana Dar es Salaam leo Jumapili Oktoba 01, 2023. === Kamati kuu hiyo chini ya Mwenyekiti wake Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan imtemteua Mkuu...
5 Reactions
47 Replies
6K Views
https://youtu.be/A9-xf0Iz7fI?si=RDnLU9HyzCst6el5 Naenda moja kwa moja kwenye Maswali yangu matatu kwa wachochezi. 1. Nyote mnaolalamika na kumlalamikia Mhe Rais wetu mchapakazi Dkt Samia Suluhu...
15 Reactions
275 Replies
12K Views
Kwenye hili naamini tutakubaliana. Ukipita huku mitandaoni hasa hapa JF unaweza ukadhani ni kweli Rais Samia Suluhu Hassan Wananchi wanamchukia kumbe ni propaganda chafu tu za Wapinzani waliokosa...
26 Reactions
228 Replies
11K Views
Waziri kusimamisha watumishi kazi siyo ishara ya ufanisi bali ni ishara ya kushindwa kuwa mbunifu. Mchengerwa anatoka wizarani kwenda kuwasimamisha kazi watumishi wakati huo wapo watumishi...
7 Reactions
58 Replies
4K Views
Chama Cha Mapinduzi ( CCM) ni chama kilichopitia changamoto nyingi nyingi na zinazoweza kuhatarisha uwepo wake kama chama tawala lakini licha ya changamoto hizo kimeweza kustahimili kutokana na...
1 Reactions
14 Replies
1K Views
Nimeona Marekani Watu wameandamana na Biden akajumuika nao Hapo Uingereza Junior Doctors wameanza mgomo wa siku Hapa kwetu Chadema waliwahi kuandaa maandamano ya UKUTA lakini Shujaa Magufuli...
1 Reactions
3 Replies
310 Views
Mchengerwa amsimamisha kazi Mganga mkuu sumbawanga Manispaa na wengine. Akiwamo Engineer na Afisa Manunuzi kwa matumizi mabaya ya pesa za miradi. ===== Waziri wa TAMISEMI, Mohamed Mchengerwa...
3 Reactions
29 Replies
3K Views
Jaji Mkuu wa Tanzania, Mhe. Prof. Ibrahim Hamis Juma Mheshimiwa Jaji Mkuu, Tarehe 29 Septemba 2023, Hakimu Mkazi wa Mahakama ya Mbeya, Paul Ntumo, alimhukumu kifungo cha miaka mitatu na nusu...
39 Reactions
196 Replies
13K Views
Huyu Naibu Katibu mkuu wa CHADEMA upande wa Tanganyika mh Benson Kigaila hajasikika akimwaga cheche kama alivyozoeleka kwa muda mrefu Yuko wapi huyu Mwamba?
0 Reactions
36 Replies
3K Views
Binafsi darasa la kwanza nilianza nikiwa na miaka 13. Hii ni kwasababu ya kimasingira na kimwamko. University nimemaliza nikiwa na miaka 30 na ushehe kidogo, kwakuwa nilipomaliza six...
12 Reactions
24 Replies
2K Views
Licha ya kwamba si kubaliani na mambo kadha wa kadha yanayo tekelezwa na wakomunisti lakini kuna baadhi ya mambo wanajitahidi mfano kuweka dini na siasa mbali hilo moja. Leo tuizungumzie namna...
3 Reactions
17 Replies
1K Views
Awali ya yote wacha niweke wazi kuwa mimi sio muumini wa Presidential system ila ni mfuasi mkubwa wa Parliamentary system. Kwa kweli kwa namna yoyote ile kama taifa tulikosea pakubwa wakati...
7 Reactions
33 Replies
2K Views
Hawa watu wawili Philip Mpango na Mwigulu Nchemba....mbona wao wako kiimya sana? Au na wao "wanaamini" nchi imeuzwa Kwa "waarabu"? Mbona hatusikii wakitetea serikali hata mara moja? Au hao ndo...
13 Reactions
97 Replies
8K Views
Back
Top Bottom