Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Najiuliza tuu, huu ni utaratibu!? Je na vyama vingine vina ruksa ya kufanya haya? Hamuoni mtalela siasa kwenye utendaji? Mimi na chama changu Cha PPT maendeleo tutaruhusiwa?
4 Reactions
22 Replies
2K Views
Hayo yamesemwa na Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Alikuwa akizungumza kwenye mahafari ya Chuo Kikuu SAUT. Hongera sana Dr.Biteko Kwa Kauli hii ya kishujaa na ya kuwafunda wahitimu. ---...
2 Reactions
7 Replies
835 Views
Rais Samia wanasiasa wabaya wamekuwekea mtego mwingine hatari sana, wameleta kampuni toka Kenya yenye masilahi na wao inayomilikiwa na Mkenya Andrew Chege kwa kushirikiana na baadhi ya wanasiasa...
12 Reactions
59 Replies
5K Views
Lakini pamoja na majibu haya, Biteko atoke. Biteko hafai. Biteko ni tatizo. === FACTS: Rais Samia amezungumza suala la kuwa ukilaumiwa jua unafanya vizuri Desemba 16, 2023, hata hivyo kauli hiyo...
4 Reactions
28 Replies
2K Views
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akishiriki Maadhimisho ya Sherehe za Miaka 62 ya Uhuru wa Tanzania Bara na Mkutano wa Kwanza wa Kitaifa wa Dira ya Taifa ya...
1 Reactions
42 Replies
5K Views
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema utamaduni wa kuiombea nchi na Viongozi ni wa kuendelezwa na kudumishwa hakuna jambo jema zaidi ya kumuomba...
0 Reactions
0 Replies
280 Views
Maamuzi ya bunge la Ulaya kuhusu kuhamisha Wamasai Ngorongoro linakwenda kutaathiri kiuchumi. Tutaathirika kwa sababu tulitumia nguvu huku tukijua kabisa kwamba tunajipanga kuimarisha mahusiano na...
23 Reactions
118 Replies
10K Views
Ukitafakari kwa umakini unashindwa kwa kabisa kuelewa Serikali yetu wakati wote imekuwa inaundwa na watu wa namna gani. Maana karibia kila kitu inachofanya, huwa hakina matokeo ya mafanikio...
10 Reactions
53 Replies
2K Views
Nipo Pemba for the 1st time, nimezunguka hiki kisiwa chote. Naomba nikiri kwamba hali ya kiuchumi huku ni mbaya kuliko unavyoweza kudhania. Hakuna usafiri wakueleweka kama Unguja,. Lakini pia...
2 Reactions
2 Replies
366 Views
Toka Rais Samia ameshika usukani Mwaka 2021, mara nyingi sana kwenye hotuba zake amekuwa akitamka neno Haki. Ni nadra sana akamliza hotuba bila kugusia mambo ya kutenda Haki. Kwa Afrika hii ni...
4 Reactions
28 Replies
1K Views
Naamini sana maombi ya Mwamposa , lakini nakataa Mtume huyu kujaribiwa kama vile Yesu alivyojaribiwa na Shetani . Makonda si msemaji wa Ikulu , hawezi kuleta uongo kwamba kabeba salamu za Rais...
15 Reactions
67 Replies
5K Views
Matatizo ndani TANESCO hayajabadilika tangu aondoke January Makamba! Nadhani Kuna matatizo makubwa yako nje ya Uongozi wa TANESCO na Wizara husika! Kikubwa tu hatusikii zile Slogan za "Kipara...
3 Reactions
44 Replies
2K Views
Tanzania inatafakari Mpango B kwa ajili ya mradi wake wa SGR huku kampuni ya Uturuki ikiachwa. Mawaziri wa fedha kutoka Tanzania na Zanzibar wameanza kuchangisha fedha kwa ajili ya mradi wa reli...
4 Reactions
28 Replies
4K Views
Jokate ambaye hivi karibuni akiwa amekaribia kufika miaka 40 amebahatika kupata mtoto bila ndoa rasmi, akiwa na mtoto ambaye haonekani kuwa na baba , na ambaye alikuwa msanii wa Muziki na movie...
5 Reactions
65 Replies
6K Views
Mengi hapa yalidhaniwa taboo: 1. Wapalestina kuteka na kushikilia maeneo ndani ya Israeli. 2. Israel na Marekani kufanya mazungumzo na hata kukubaliana na HAMAS. 3. Israel kuwa tayari kufanya...
9 Reactions
60 Replies
4K Views
Jaji mkeha amesema Uamuzi wa Kamati Kuu ya Chadema kuwavua Uanachama Halima Mdee na wenzake ulikuwa sahihi Maana yake Halima Mdee na wenzake kwa sasa Siyo wanachama wa Chadema Hivyo Halima Mdee...
7 Reactions
17 Replies
2K Views
Ni rasmi sasa wenye nchi wamemtuliza na kumziba kinywa Mwenezi aliyekuja kasi kama moto wa kifuu baada ya kuteuliwa, na zaidi ya hapo mwenezi kapewa karipio na ONYO kali, na ndiyo sababu ya kimya...
23 Reactions
88 Replies
7K Views
Mdudu chawa hupatikana kwa watu wachafu, hakika kwa sasa hali sio shwari kwani chawa watu wamevamia kila sehemu. Chawa watu hawana umri ni yeyote tu anaweza kuwa chawa mtu ili mradi apate...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan ametengua uteuzi wa Bw. Sekiete Yahaya Selemani, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Mwanza kuanzia tarehe 16 Aprili, 2023...
8 Reactions
69 Replies
12K Views
Sekta binafsi ni muhimu sana kwa uchumi wa nchi. Pale st John university kikuyu wana eneo kubwa sana ambalo limekaa kikmkakati. Ukitoka kwenye jengo lao jipya la utawala, wana eneo kubwa ambalo...
0 Reactions
1 Replies
443 Views
Back
Top Bottom