Jokate ambaye hivi karibuni akiwa amekaribia kufika miaka 40 amebahatika kupata mtoto bila ndoa rasmi, akiwa na mtoto ambaye haonekani kuwa na baba , na ambaye alikuwa msanii wa Muziki na movie...
Mengi hapa yalidhaniwa taboo:
1. Wapalestina kuteka na kushikilia maeneo ndani ya Israeli.
2. Israel na Marekani kufanya mazungumzo na hata kukubaliana na HAMAS.
3. Israel kuwa tayari kufanya...
Jaji mkeha amesema Uamuzi wa Kamati Kuu ya Chadema kuwavua Uanachama Halima Mdee na wenzake ulikuwa sahihi
Maana yake Halima Mdee na wenzake kwa sasa Siyo wanachama wa Chadema
Hivyo Halima Mdee...
Ni rasmi sasa wenye nchi wamemtuliza na kumziba kinywa Mwenezi aliyekuja kasi kama moto wa kifuu baada ya kuteuliwa, na zaidi ya hapo mwenezi kapewa karipio na ONYO kali, na ndiyo sababu ya kimya...
Mdudu chawa hupatikana kwa watu wachafu, hakika kwa sasa hali sio shwari kwani chawa watu wamevamia kila sehemu. Chawa watu hawana umri ni yeyote tu anaweza kuwa chawa mtu ili mradi apate...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan ametengua uteuzi wa Bw. Sekiete Yahaya Selemani, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Mwanza kuanzia tarehe 16 Aprili, 2023...
Sekta binafsi ni muhimu sana kwa uchumi wa nchi. Pale st John university kikuyu wana eneo kubwa sana ambalo limekaa kikmkakati. Ukitoka kwenye jengo lao jipya la utawala, wana eneo kubwa ambalo...
15 December 2023
Mbeya, Tanzania
WIMBO MNATUONA MANYANI
Hii ni baada ya jamhuri kuamua kutoendelea na kesi hii iliyovuta umma mpana kuijadili huku ikiituhumu serikali kubana uhuru wa kujieleza...
Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Ridhiwani Kikwete amesema serikali imeamua kujenga Mfumo wa Kitaifa wa Kielektroniki wa Ununuzi Tanzania (NeST)...
Wapinzani wa Tanzania wanakwama pakubwa sana. Huwezi amini baada ya kulia kwa miaka kama 6 kua wamezuiwa kufanya mikutano, leo hii wanaruhusiwa kufanya mikutano and guess what they are into...
Habari zenu ndugu, jamaa na marafiki mliopo hapa. Kwanza kbs napenda kutoa pole kwa Raisi wetu mama Samia Suluhu Hassani, kwa familia ya mama yetu mama Janet Magufuli na kwa watanzania wenzang kwa...
Juzi nilimsikiliza waziri wa mipango akiongea clouds nilishangaa sana waziri wa mipango anaongea habari ya ajira kama ambavyo kila layman anaongea. eti anasema serikali haitoi ajira watu...
Leo hii nimetizama KBC ambapo Festus Mwakerubi aliibua swala la uzalendo – uzalendo ni nini - na swali lake liljibiwa na Dkt. Zebedayo Kiungu, Mkuu wa Chuo cha Veta – Tabora.
Kwa miaka nyingi...
Moja kwa moja kwenye, swali kama linavyosomeka hapo juu.
Huku Afrika mara nyingi kila uchao tunapambana na Ufisadi.
Ufisadi na ubadhirifu wa Mali za Umma, ni kizingiti kikuu katika kuyafikia...
15 December 2023
Dubai’s Burj Al Arab,
Dubai UAE
WORLD TRAVEL AWARDS GRAND FINAL GALA CEREMONY 2023
Tanzania won a World Travel Destination award for year 2023...
Ikumbukwe, nchi yetu imewahi kuwa na Wanawake nguli katika harakati za kupigania uhuru wa Tanganyika na baada ya kujitawala.
Kwa uchache kulikuwa na kina Lucy Lameck, Bibi Titi, Bi Sofia Kawawa...
Huo ndio ukweli. Kuna mambo ya ajabu sana yanaendelea kwa sasa hapa nchini.
Nadhani wahusika wanatamani watunyang'anye hata kidogo tulichonacho tubaki hatuna kitu.
Gharama za maisha zipo juu na...
Hakika HUKUMU ya leo kwa Wenye Akili kubwa wanajua kuwa CHADEMA ndio Anapiga Penalt ya Mwisho huku Halima Mdee na Genge Lake wamepiga zote 5
Ila wenye Akili ndogo wanadhani Mchezo umeisha Halima...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa Wenyeviti na Makamu Wenyeviti wa Bodi kama ifuatavyo:
i) Amemteua Jaji Mshibe Ali Bakari kuwa Mwenyekiti wa...
Siku zote umaskini wa kipato unaanzia kwenye umaskini wa kichwani. Watanzania walio wengi, kutokana na umaskini wa kichwani wanaamini kuwa huruma ya CCM na Serikali, ndivyo vitawajengea mazingira...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.