johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,018
- 142,058
Vyama vya Kibepari popote duniani huwa na watu wenye ukwasi wa fedha na nguvu ya ushawishi.
CHADEMA wanajinasibu kama chama cha Kibepari lakini ukiwaangalia unakataa kabisa.
Viongozi na wanachama wake wako kinyonge mno.
Angalia bepari Trump alivyowekewa figisu za kimahakama Ili asigombee lakini kazivuka zote na sasa anamsubiri Biden kwenye sanduku la kura.
CHADEMA badilikeni Unyonge wenu ndio umewafikisha kwenye Mbunge mmoja wa kuchaguliwa na 19 wa kupewa.
Ramadan Mubarak. 😄
CHADEMA wanajinasibu kama chama cha Kibepari lakini ukiwaangalia unakataa kabisa.
Viongozi na wanachama wake wako kinyonge mno.
Angalia bepari Trump alivyowekewa figisu za kimahakama Ili asigombee lakini kazivuka zote na sasa anamsubiri Biden kwenye sanduku la kura.
CHADEMA badilikeni Unyonge wenu ndio umewafikisha kwenye Mbunge mmoja wa kuchaguliwa na 19 wa kupewa.
Ramadan Mubarak. 😄