Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,750
- 218,339
Tungali tunaendelea na ule mwezi mtukufu wa Mungu , ambao ni mwezi huu wa 3 , fuatilia simulizi hii ya Nyalandu
Pamoja na ukweli kwamba Nyalandu alirejea ccm baada ya Jiwe kuondoka , lakini bado Ukweli uko wazi kwamba ndiye Mwanaccm pekee aliyepinga Udikteta wa kishamba wa Jiwe hadharani , ilikuwa hatari sana kwake , maana angeweza hata kuuliwa kwa kitendo hicho .
Haijawahi kuwa utamaduni wa wanaccm kujivua vyeo kwa sababu ya Uchafu wa kiongozi mkuu , huyu rekodi yake haiwezi kufanana hata na Mrema ambaye alisubiri kwanza apokonywe Cheo ndio atoke , tena baada ya kuahidiwa vyeo vikubwa huko alikoenda .
Mamluki wa Jiwe akiwemo Hamis Kigwangwala alitangaza bungeni kwamba atamshitaki Nyalandu Mahakamani kama sehemu ya vitisho vya kumshughulikia , Lakini hadi Kigwangwala anazeeka hakuwahi kwenda hata kwa mjumbe wa nyumba 10 kumshitaki Nyalandu
Pamoja na kwamba Nyalandu amerejea CCM kwa sababu za kimaisha lakini atabakia kuwa miongoni mwa wanaccm waliomdhalilisha Jiwe hadharani , huyu alipinga ROHO MBAYA YA KINYAMA YA JIWE KUZUIA WANACCM KWENDA KUMUONA LISSU HOSPITALI BAADA YA KUJERUHIWA NA MAMLUKI WALIOTUMWA NA SERIKALI YA JIWE (HII NI KWA MUJIBU WA TUNDU LISSU MWENYEWE) , hata hivyo Mzee Mwinyi (RIP) alikataa unafiki huo na kuamua kwenda Nairobi kumuona Lissu bila kujali lolote (hii ilichagizwa na ucha Mungu wake) , Wanaccm wengine wote waliufyata kwa hofu ya kutekwa na kuuawa .
NITASEMA KWELI DAIMA FITNA KWANGU MWIKO
Pamoja na ukweli kwamba Nyalandu alirejea ccm baada ya Jiwe kuondoka , lakini bado Ukweli uko wazi kwamba ndiye Mwanaccm pekee aliyepinga Udikteta wa kishamba wa Jiwe hadharani , ilikuwa hatari sana kwake , maana angeweza hata kuuliwa kwa kitendo hicho .
Haijawahi kuwa utamaduni wa wanaccm kujivua vyeo kwa sababu ya Uchafu wa kiongozi mkuu , huyu rekodi yake haiwezi kufanana hata na Mrema ambaye alisubiri kwanza apokonywe Cheo ndio atoke , tena baada ya kuahidiwa vyeo vikubwa huko alikoenda .
Mamluki wa Jiwe akiwemo Hamis Kigwangwala alitangaza bungeni kwamba atamshitaki Nyalandu Mahakamani kama sehemu ya vitisho vya kumshughulikia , Lakini hadi Kigwangwala anazeeka hakuwahi kwenda hata kwa mjumbe wa nyumba 10 kumshitaki Nyalandu
Pamoja na kwamba Nyalandu amerejea CCM kwa sababu za kimaisha lakini atabakia kuwa miongoni mwa wanaccm waliomdhalilisha Jiwe hadharani , huyu alipinga ROHO MBAYA YA KINYAMA YA JIWE KUZUIA WANACCM KWENDA KUMUONA LISSU HOSPITALI BAADA YA KUJERUHIWA NA MAMLUKI WALIOTUMWA NA SERIKALI YA JIWE (HII NI KWA MUJIBU WA TUNDU LISSU MWENYEWE) , hata hivyo Mzee Mwinyi (RIP) alikataa unafiki huo na kuamua kwenda Nairobi kumuona Lissu bila kujali lolote (hii ilichagizwa na ucha Mungu wake) , Wanaccm wengine wote waliufyata kwa hofu ya kutekwa na kuuawa .
NITASEMA KWELI DAIMA FITNA KWANGU MWIKO