Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

SPIKA wa Bunge la Tanzania Dokta Tulia Ackson ambaye pia ni Mbunge wa Mbeya mjini amesema wananchi wa Mbeya Jiji wanamuunga mkono na Miguu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dokta Samia...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Shehe Mkuu wa Tanzania (BAKWATA) Amewaagiza Mashehe Nchi Nzima kuitumia siku ya Ijumaa ijayo kuliombea Taifa kwa lengo la kuliepusha na Majanga . Mufti wa Tanzania, Sheikh Abubakar Zubeir...
6 Reactions
28 Replies
2K Views
TLS wanaendesha kongamano la kujadili Muswada wa Sheria ya uchaguzi wa Rais wabunge na madiwani , muswada huu umesomwa kwa mara ya kwanza bungeni . Miongoni mwa wazungumzaji wamo Freeman Mbowe...
12 Reactions
59 Replies
5K Views
Kwa siku kadhaa nimeshangazwa na wafuasi wa chama cha Mbowe kushambulia idara ya chipukizi iliyo chini ya UVCCM kana kwamba ni jambo la ajabu sana kuwahi kufanyika. Wanaoshangazwa na uwepo wa...
4 Reactions
29 Replies
2K Views
Mjinga na mpumbavu ndio atapinga hili. Wananchi wanatoa kero zao na hapo mkuu wa nchi anapata picha kamili kuwa kumbe kuna matatizo. Kwa nini haya matatizo yasitatuliwe? Chama kilichoshika...
0 Reactions
15 Replies
703 Views
Hebu angalia mchango wa hawa halafu fananisha na kipara kipya au Kamanda Asiyechoka Hawa eti wameteuliwa kwenye Jumuiya ya Wazazi , huku Magonjwa Mtambuka na Lucas mwashambwa wametoswa ! Hata...
16 Reactions
54 Replies
5K Views
Zile kelele za Chadema Chama cha familia ya Mtei, oooh Chadema chama cha Wachagga mara ohooo Chadema ni Chama Cha Waluteli sasa hautazisikia tena kwa sababu Wana wa Wenye CCM wataanza kuendeshwa...
2 Reactions
1 Replies
346 Views
Nimekutana na juisi za Zambia zinazouzwa Tanzania hususani Mbeya na Songwe wanauza zilizoexpire. Pia biscuits hasa za nje chocolate zimeisha Muda lakini zinauzwa tu! Wenye mamlaka sijui wako wako...
1 Reactions
4 Replies
587 Views
Umoja wa Mataifa umesema unasikitishwa na Taarifa za Vitendo Vya Jeshi la Israel kuwaua Wapalestina inaowakamata mbele ya Familia zao Source Al jazeera news My take ; Mbona UN hawawakemei Hamas...
3 Reactions
12 Replies
890 Views
Usidhani zamani Watoto wa Viongozi walikuwa wanapelekwa Ulaya na baba zao, la hasha walichonga mipango wenyewe wanaondoka Siku Hizi Watoto wa Viongozi wanafanyiwa connection waingie CCM...
3 Reactions
6 Replies
512 Views
Balozi wa Tanzania Nchini Ufaransa Mhe. Ali J. Mwadini, tarehe 20 Disemba, 2023 amesaini Kitabu cha Maombolezo katika Ubalozi wa Kuwait mjini Paris kufuatia kifo cha Amir wa Kuwait, Sheikh Nawaf...
0 Reactions
1 Replies
569 Views
Najua Waziri wa Foreign mh Byabato anashinda humu Jf tafadhali naomba kujua status ya Watoto wetu walioko Nchi ya Ahadi Israel Walienda 260 sasa wamebaki 258 nadhani Ahsante sana
1 Reactions
14 Replies
623 Views
Nchi ambayo inaelewa umuhimu wa umeme nyakati za usiku haiwezi kukata umeme usiku sababu ya mgao. Mgao ni mchana na ndio umeme unatumika mwingi. Usiku umeme unatumika sana kwa ajili ya ulinzi ni...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Nakumbuka mwanzo wa utawala wake Magu alitishiaga kufuta hiki kinacho itwa Chipukizu ili watoto wajikite kwenye kusoma waje walisaidie Taifa.Sijui kwanini alighaili ila alikuwa sahihi kabisa...
3 Reactions
5 Replies
809 Views
Niseme tu Mama ameshauriwa vibaya katika hili la leo kuruhusu mabosi wa kila shirika kuajiri badala ya kuwa na utaratibu uliopo wa chombo kimoja kusimamia ajira za mashirika yote. Ikumbukwe wazo...
7 Reactions
44 Replies
5K Views
MOROGORO; Kaimu Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Uwekezaji na Mitaji ya Umma (PIC), Augustine Vuma ametoa rai kwa watanzania kuwa wajiandae kuanza kutumia fursa mbalimbali za kiuchumi...
0 Reactions
9 Replies
910 Views
Nimeshangaaa kuona baadhi ya watu wanashea habari na picha za uongo kuwa kijana molel alijiunga na jeshi la isael, watu Hawa wasio na akili wamekuwa wakituma picha zilizoeditiwa kiasi Cha Mimi...
5 Reactions
23 Replies
2K Views
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya mazungumzo na Tanzania Startup Association (TSA) ikiongozwa na Mwenyekiti wao Ndugu Paul Makanza pamoja na Wajumbe...
0 Reactions
2 Replies
636 Views
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Hussein Ali Mwinyi amekutana na Mwenyekiti wa Chama cha Wajane Afrika (TAWS), Hope Nwakwesi na ujumbe wake Ikulu Zanzibar tarehe: 19...
0 Reactions
4 Replies
509 Views
Habari kubwa Leo ni uchaguzi wa Chipukizi wa CCM ambao ndio Viongozi wa kesho. CCM wanawaandaa viongozi wao na WA Tanzania ya kesho Wangali Wachanga,wakaanza kukomazwa mapema sana. Chadema Sasa...
2 Reactions
24 Replies
1K Views
Back
Top Bottom