Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

CCM, kiasili ni chama cha waovu, hata kwa mtu binafsi ni vigumu sana, kuiacha asili yake. Hivyo tusitegemee ni rahisi CCM kuuacha uovu. Ukisikia mafisadi, wapo CCM: Uthibitisho: marehemu Magufuli...
6 Reactions
18 Replies
885 Views
Tangu Rais Samia aingie madarakani amefanya teuzi nyingi tu na katika teuzi hizo wapo watu wamekaa standby kuangalia majina ya Kizungu (isomeke Kikristo) na Kiarabu (isomeke Kiislamu) ili waone...
53 Reactions
509 Replies
28K Views
Natoa tu angalizo kwa Wananchi wasije wakajichanganya wakadhani ni rahisi hapa Tanzania kutenda kama Senegal Siasa za Tanzania ni za Kuchumia Tumbo hivyo Harakati zote za kisiasa zimeelekezwa kwa...
2 Reactions
4 Replies
579 Views
Huyu kada wa CHADEMA na mnufaika wa michango ya Join The Chain, Godbless Lema, kaandika kitu cha maana sana huko Twitter (X). Ninamuunga mkono 100% kww maslahi mapana ya taifa. Kaandika hivi...
11 Reactions
42 Replies
4K Views
Paul Makonda ni mbunifu ,mchapakazi asiyeogopa kitu chochote linapokuja swala la kuwahudumia wananchi. Ndani ya miaka mitano ya uongozi wa Makonda jiji la Dares salaam lilibadilika na kuwa mfano...
2 Reactions
6 Replies
818 Views
Waziri wa afya mh Ummy Mwalimu ameswma ujenzi wa jengo la mama na mtoto Chato kuanza ndani ya mwaka huu wa fedha 2022/2023 na fedha zipo tayari. Wananchi waendelee kuchukua tahadhari kutokana na...
0 Reactions
2 Replies
615 Views
Gambo amesema tangu amekuwa mbunge amefanya mikutano mingi ya kuhamasisha maendeleo tofauti na miaka 10 ya uongozi wa Lema aliyedai alikuwa anahimiza ujasiri wa kuitukana Serikali. “Fikisheni...
2 Reactions
56 Replies
3K Views
Waziri wa Tamisemi Mh Mchengerwa amesema alishangazwa baada ya kuletewa bajeti ya manunuzi ya dola laki 5 kwa basi moja la mwendokasi. Mchengerwa aliifutilia mbali hiyo bajeti baada ya kubaini ni...
19 Reactions
59 Replies
5K Views
WanaJF, Heri ya Mwaka Mpya 2023! Kwa wapenzi wa siasa nchini niambieni Jimbo gani liko hatarini kupotea mwaka 2025. Kwa mtizamo wangu naona wabunge wote waliochaguliwa majimboni 2020 wako...
3 Reactions
102 Replies
5K Views
25 March 2024 Muheza, Tanga Bi Yosefa Komba wa CHADEMA jimbo la Muheza azungumza mazito ktk mkutano mkubwa CHADEMA YAONGEA KUPITIA MKUTANO NA WANANCHI WA MUHEZA Kamanda Yosefa Komba aitisha...
2 Reactions
6 Replies
1K Views
Tungali tunaendelea na ule mwezi mtukufu wa Mungu , ambao ni mwezi huu wa 3 , fuatilia simulizi hii ya Nyalandu Pamoja na ukweli kwamba Nyalandu alirejea ccm baada ya Jiwe kuondoka , lakini...
20 Reactions
99 Replies
6K Views
Aliyepuliza kipyenga huyu hapa , aliwahi kuwa Diwani , anaitwa Joel Mwakalebela , Diwani wa zamani wa Kata ya Wazo
7 Reactions
54 Replies
3K Views
Siku zote, historia yako, ndiyo hutoa imani kwa watu wengine. Hivi ni tangu lini anayejulikana ni mwizi na fisadi, mtu akasema amemwona anaiba, taarifa ikatolewa kwa jamii inayomzunguka, mwizi...
8 Reactions
14 Replies
761 Views
Kwanza agenda ya Mbowe na Chama chake anachokimiliki ilikuwa ni Katiba Mpya, wamepambana weeeee hoja yao imekufa kifo cha mende baada ya miswada kupitishwa bungeni na kuwa sheria. Akawapotezea...
5 Reactions
64 Replies
3K Views
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amewahimiza Waumini wa Dini ya kiislamu kuendelea kuhifadhi Quran Tukufu na kufundisha watoto wao kuisoma na pia...
0 Reactions
8 Replies
770 Views
Miradi mingi mikubwa hasa iliyo kamilika na mingine inacheleweshwa kwa makusudi ili kusubiri uchaguzi ufike 2025 ndio mama yao aizindue na kujipa ujiko kama vile yeye ndio muanzishaji? Bwawa la...
2 Reactions
17 Replies
2K Views
Huyu anaongea maneno haya unaweza shangaa naye ana mtoto au watoto. unaweza shangaa ana mke. na unaweza shangaa kabisa anaonekana anafaa baada ya kuongea hii kauli. hawa ndiyo aina ya watu ambao...
5 Reactions
19 Replies
1K Views
Nyakati Hizi za Mfungo ni za kuelezana Ukweli Kwamba Chadema wanafanya Matembezi ya kutoa Ujumbe kwa Serikali lakini siyo Maandamano Maandamano huwa hayana kikomo hadi pale kile kinachopambaniwa...
6 Reactions
37 Replies
1K Views
Taarifa hii nzuri imetolewa na Mkurugenzi wa Shirika la Reli la Tanzania Zaidi soma hapa: "Kujenga reli ya kuunganisha nchi za Afrika Mashariki , Wajerumani hawakuweza na hawajazungumza sababu...
12 Reactions
57 Replies
4K Views
Rais wa Korea Kusini Yoon Suk Yeol akiwa katika Mkutano wa Tatu wa Demokrasia uliofanyika Machi 18, 2024 ametoa wito kwa viongozi wote Ulimwenguni kuunga mkono jitihada za kukomesha taarifa potofu...
0 Reactions
0 Replies
491 Views
Back
Top Bottom