SPIKA wa Bunge la Tanzania Dokta Tulia Ackson ambaye pia ni Mbunge wa Mbeya mjini amesema wananchi wa Mbeya Jiji wanamuunga mkono na Miguu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dokta Samia...
Shehe Mkuu wa Tanzania (BAKWATA) Amewaagiza Mashehe Nchi Nzima kuitumia siku ya Ijumaa ijayo kuliombea Taifa kwa lengo la kuliepusha na Majanga .
Mufti wa Tanzania, Sheikh Abubakar Zubeir...
TLS wanaendesha kongamano la kujadili Muswada wa Sheria ya uchaguzi wa Rais wabunge na madiwani , muswada huu umesomwa kwa mara ya kwanza bungeni .
Miongoni mwa wazungumzaji wamo Freeman Mbowe...
Kwa siku kadhaa nimeshangazwa na wafuasi wa chama cha Mbowe kushambulia idara ya chipukizi iliyo chini ya UVCCM kana kwamba ni jambo la ajabu sana kuwahi kufanyika. Wanaoshangazwa na uwepo wa...
Mjinga na mpumbavu ndio atapinga hili.
Wananchi wanatoa kero zao na hapo mkuu wa nchi anapata picha kamili kuwa kumbe kuna matatizo.
Kwa nini haya matatizo yasitatuliwe?
Chama kilichoshika...
Hebu angalia mchango wa hawa halafu fananisha na kipara kipya au Kamanda Asiyechoka
Hawa eti wameteuliwa kwenye Jumuiya ya Wazazi , huku Magonjwa Mtambuka na Lucas mwashambwa wametoswa !
Hata...
Zile kelele za Chadema Chama cha familia ya Mtei, oooh Chadema chama cha Wachagga mara ohooo Chadema ni Chama Cha Waluteli sasa hautazisikia tena kwa sababu Wana wa Wenye CCM wataanza kuendeshwa...
Nimekutana na juisi za Zambia zinazouzwa Tanzania hususani Mbeya na Songwe wanauza zilizoexpire. Pia biscuits hasa za nje chocolate zimeisha Muda lakini zinauzwa tu! Wenye mamlaka sijui wako wako...
Umoja wa Mataifa umesema unasikitishwa na Taarifa za Vitendo Vya Jeshi la Israel kuwaua Wapalestina inaowakamata mbele ya Familia zao
Source Al jazeera news
My take ; Mbona UN hawawakemei Hamas...
Usidhani zamani Watoto wa Viongozi walikuwa wanapelekwa Ulaya na baba zao, la hasha walichonga mipango wenyewe wanaondoka
Siku Hizi Watoto wa Viongozi wanafanyiwa connection waingie CCM...
Balozi wa Tanzania Nchini Ufaransa Mhe. Ali J. Mwadini, tarehe 20 Disemba, 2023 amesaini Kitabu cha Maombolezo katika Ubalozi wa Kuwait mjini Paris kufuatia kifo cha Amir wa Kuwait, Sheikh Nawaf...
Najua Waziri wa Foreign mh Byabato anashinda humu Jf tafadhali naomba kujua status ya Watoto wetu walioko Nchi ya Ahadi Israel
Walienda 260 sasa wamebaki 258 nadhani
Ahsante sana
Nchi ambayo inaelewa umuhimu wa umeme nyakati za usiku haiwezi kukata umeme usiku sababu ya mgao.
Mgao ni mchana na ndio umeme unatumika mwingi. Usiku umeme unatumika sana kwa ajili ya ulinzi ni...
Nakumbuka mwanzo wa utawala wake Magu alitishiaga kufuta hiki kinacho itwa Chipukizu ili watoto wajikite kwenye kusoma waje walisaidie Taifa.Sijui kwanini alighaili ila alikuwa sahihi kabisa...
Niseme tu Mama ameshauriwa vibaya katika hili la leo kuruhusu mabosi wa kila shirika kuajiri badala ya kuwa na utaratibu uliopo wa chombo kimoja kusimamia ajira za mashirika yote.
Ikumbukwe wazo...
MOROGORO; Kaimu Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Uwekezaji na Mitaji ya Umma (PIC), Augustine Vuma ametoa rai kwa watanzania kuwa wajiandae kuanza kutumia fursa mbalimbali za kiuchumi...
Nimeshangaaa kuona baadhi ya watu wanashea habari na picha za uongo kuwa kijana molel alijiunga na jeshi la isael, watu Hawa wasio na akili wamekuwa wakituma picha zilizoeditiwa kiasi Cha Mimi...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya mazungumzo na Tanzania Startup Association (TSA) ikiongozwa na Mwenyekiti wao Ndugu Paul Makanza pamoja na Wajumbe...
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Hussein Ali Mwinyi amekutana na Mwenyekiti wa Chama cha Wajane Afrika (TAWS), Hope Nwakwesi na ujumbe wake Ikulu Zanzibar tarehe: 19...
Habari kubwa Leo ni uchaguzi wa Chipukizi wa CCM ambao ndio Viongozi wa kesho.
CCM wanawaandaa viongozi wao na WA Tanzania ya kesho Wangali Wachanga,wakaanza kukomazwa mapema sana.
Chadema Sasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.