johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,968
- 141,981
Sisi tunayemfahamu mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe tokea kitambo tunamuona ni mtu mwenye Mafanikio Katika nyanja karibia zote
Kudumu Kwenye Siasa za Upinzani kwa Zaidi ya miaka 30 hapa Tanzania Bila kuyumba yumba ni jambo la kupongezwa Sana
Huwa najiuliza Mbowe aliwezaje kuwashawishi mzee Marando, mzee Sumaye, mzee Lowasa na Kingunge kujiunga CHADEMA!!
Mbowe apewe maua yake
Nawatakieni Juma Takatifu Lenye Baraka
Mlale Unono ๐๐๐๐
Kudumu Kwenye Siasa za Upinzani kwa Zaidi ya miaka 30 hapa Tanzania Bila kuyumba yumba ni jambo la kupongezwa Sana
Huwa najiuliza Mbowe aliwezaje kuwashawishi mzee Marando, mzee Sumaye, mzee Lowasa na Kingunge kujiunga CHADEMA!!
Mbowe apewe maua yake
Nawatakieni Juma Takatifu Lenye Baraka
Mlale Unono ๐๐๐๐