johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,131
Nyakati Hizi za Mfungo ni za kuelezana Ukweli Kwamba Chadema wanafanya Matembezi ya kutoa Ujumbe kwa Serikali lakini siyo Maandamano
Maandamano huwa hayana kikomo hadi pale kile kinachopambaniwa kipatiwe majibu
Chadema huwa Wanatembea Pamoja kuelekea Uwanja wa mkutano halafu wanahutubiana Wao kwa Wao
Ramadan Mubarak ๐๐๐ฅ
Maandamano huwa hayana kikomo hadi pale kile kinachopambaniwa kipatiwe majibu
Chadema huwa Wanatembea Pamoja kuelekea Uwanja wa mkutano halafu wanahutubiana Wao kwa Wao
Ramadan Mubarak ๐๐๐ฅ