JamiiCheck
Member
- Nov 3, 2023
- 54
- 41
Yoon ameeleza Taarifa zisizo za kweli wakati wa Uchaguzi huweza kuathiri mchakato mzima wa Demokrasia kwa kuwafanya Wananchi wafanye maamuzi yasiyo sahihi yanayotokana na taarifa zisizo na ukweli
Korea Kusini inatarajiwa kuwa na Uchaguzi hivi karibuni huku ikidaiwa Nchi hiyo imekumbwa na tabia ya kusambaa kwa taarifa nyingi potofu kupitia Mitandao ya Kijamii.
Zaidi, tembelea Jukwaa la JamiiCheck kwa kubofya HAPA