Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,468
- 23,745
Huyu anaongea maneno haya unaweza shangaa naye ana mtoto au watoto. unaweza shangaa ana mke. na unaweza shangaa kabisa anaonekana anafaa baada ya kuongea hii kauli. hawa ndiyo aina ya watu ambao wamebaki kwenye hili Taifa. ni wengi sana kuliko wa aina nyingine. sisi ambao tunatumia akili kwa sasa tunapigwa vita kila sehemu. wamebaki tu hawa ambao hawahitaji kutumia akili.
nchi hii akipatakikana kiongozi mwenye akili wengi watamchukia. maana atawaondoa hawa vilaza wote makazini kisha aweke watu wenye akili ambao wataifanya nchi i move. lazima atachukiwa sana najua. lakini bila hivyo ....Taifa tayari limeshaathirika pakubwa sana katika hii miaka.
nchi hii akipatakikana kiongozi mwenye akili wengi watamchukia. maana atawaondoa hawa vilaza wote makazini kisha aweke watu wenye akili ambao wataifanya nchi i move. lazima atachukiwa sana najua. lakini bila hivyo ....Taifa tayari limeshaathirika pakubwa sana katika hii miaka.