Basi katika kufuatilia mambo mbalimbali kuhusiana na uundwaji wa baraza na hasa kuelewa nini kinaendelea baada ya Ripoti ya Mwakyembe kuna mambo kadhaa ambayo naweza kuwahabarisha kwa uhakika...
No go zone roads named as Bush jets in Dar today
Muslim demonstrators burn a US flag during anti-Bush demonstration in Dar es Salaam yesterday.
By The Citizen Team
Three major roads in...
Ambassador of Tanzania delivers speech at the University
CHIMENE MONTGOMERY
Issue date: 11/28/07 Section: News
The Lubin School of Business hosted Ambassador Augustine Philip Mahiga of...
* This Letter was sent to the US Ambassador and also appears in Kiswahili in Tanzania Daima in a condensed form).
Mr. Ambassador,
In just few hours, the President of the United States Mr...
Nimelazimika kuandika kidogo hapa kusikia wenzangu mnajua nini juu ya aina hizi ya Ziara za Marais kamam Bush kwenye Nchi masikini .Hii Ziara mimi imeniacha gizani kwa kuambiwa ina faida kubwa...
Shadrack Sagati, Dodoma
Daily News; Friday,February 15, 2008 @07:10
WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda amekiri kuwa Serikali haikuwajibika ipasavyo ndiyo maana ikaundiwa kamati teule na Bunge...
http://www.engadget.com/2008/02/15/wal-mart-to-officially-discontinue-hd-dvd-sales-by-june/
With HD DVD, things are just going from bad, to really bad, to worse, to...
Hivi ni kweli Kampuni ya RICHMOND NI KAMPUNI HEWA? na kuna fununu kuwa kampuni hii ni yake mwenyewe EL ndio maana akamuandikisha mwanawe aitwae RICHARD na kutumia jimbo analowakilisha Bungeni...
hivi kweli haya yanaweza kutokea ndani ya nchi yetu?
hivi watanzania kudhalilishwa na kugeuzwa panya wa maabara ndani ya nchi yao ndani ya hospitali tunazoziheshimu tena bila ya haya mchana ni...
Ni suala lililowazi kuwa uchumi wa Tanzania umeshikiliwa na watu ambao siwananchi. Angalia majina Bakhresa, premji, dewji, rostam na wapo wengine wengi. Ndio maana kuna skandali kila siku na...
Mawaziri kivuli watangazwa
2008-02-15 09:21:20
Na Frank Mbunda, Dodoma
Kufuatia Rais Jakaya Kikwete, kulivunja Baraza la Mawaziri wiki iliyopita, Kambi ya Upinzani Bungeni nayo...
Kwa mshangao mkubwa na mtisiko TVT sasa wameacha kutupa habari za Dodoma ambazo zina mambo ya kugusa Taifa .Mjadala wa Richmond sina hakika kama Watanzania wanaweza kuusikia labda iwe...
Jamani kwenye ufisadi si BOT tuu bali hata mamlaka ya hifadhi ya ngoro ngoro. Faida inayopatika kwa mwezi ni zaidi ya shilingi 1billion out of which 6% wanagawana Mhifadhi mkuu na timu yake ya...
Hivi kwa nini lazima kulipia au kusajili namba upya kama gari lenye ZNZ likishaingia Dar baada ya Miezi 6?
Mbona suala hili halilalmikiwi?
Zanzibar ni Tanzania lakini kwa nini serikali yetu...
Hii ni Made in Tanzania tu!
Januari 23, 2008
JOHN Nolan, yule raia wa Ireland aliyejaribu kuighilibu Serikali ya Tanzania imruhusu aanzishe mashamba ya kamba (prawns) ambayo yangeiharibu...
Baada ya hekaheka za Richmond Bunge kuendelea na kikao Ijumaa
Na Waandishi Wetu, Dodoma
BUNGE linaendelea na kikao chake Ijumaa, baada ya kuahirishwa kutokana na mtikisiko wa kuvunjika Baraza...
Mjadala wa Richmond unashika kasi sasa .Grace Kiwelu akitoa hoja bungeni amesema anaomba wote walio tajwa na kujiuzuru ili kuepusha wao kukimbia Nchi na wapelekwe Mahakamani na pia amemshauri...
Jana Muungwana alitoa Maneno haya wakati anawaapisha timu mpya ya Mtandao na usajili mpya wa wachezaji wa akiba "Anyone who does not Obey You (PM) let me know immediately and i will act...
Asubuhi hii nilifika kazini nikiwa mchovu baada ya kukesha kwenye simu kujua nini kinaendela kule idodomya. Nilikuwa bado na hasira na uchungu baada ya kufikia hitimisho kuwa Tanzania kuna watu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.