Lunyungu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 8,873
- 1,890
Kwa mshangao mkubwa na mtisiko TVT sasa wameacha kutupa habari za Dodoma ambazo zina mambo ya kugusa Taifa .Mjadala wa Richmond sina hakika kama Watanzania wanaweza kuusikia labda iwe recorded.Sasa JK anaongea na wazee wa Mkoa wa Dar Es Salaam .CCM again kwa mara nyingine inakuwa ya kwanza na issue za Taifa zinakuwa za mwisho .
I am confused lakini niko LIVE hapa Dar
I am confused lakini niko LIVE hapa Dar