Game Theory
JF-Expert Member
- Sep 5, 2006
- 8,545
- 799
Hivi kwa nini lazima kulipia au kusajili namba upya kama gari lenye ZNZ likishaingia Dar baada ya Miezi 6?
Mbona suala hili halilalmikiwi?
Zanzibar ni Tanzania lakini kwa nini serikali yetu inatuibia mchana kweupe
labda mie nimezidi kulalama lakini huuu naona ni wizi wa mchana sijui wenzangu mnasemaje?
Mbona suala hili halilalmikiwi?
Zanzibar ni Tanzania lakini kwa nini serikali yetu inatuibia mchana kweupe
labda mie nimezidi kulalama lakini huuu naona ni wizi wa mchana sijui wenzangu mnasemaje?