Waungwana,
Hii sio mada ya siasa lakini naomba ikae hapa kwa muda labda nitapata mtu wa kunisaidia.
Nina biashara yangu ambayo inahitaji umeme mwingi (three phase) lakini wakati tuananza Tanesco walifunga single phase kwasababu
tulianza na kazi chache.
Mwanzoni mwa mwaka jana tulilipia three phase meter ili waondoe single phase na kutuletea mpya lakini mpaka leo hakuna meter.
Mimi naingia hasara maana vyombo vikubwa vya music vikipingwa umeme unakatika, AC hatuwezi kuwasha na customers wanatukimbia kwa ajili ya hilo.
Nimefuatilia Tanesco kupitia watu mbalimbali na mpaka sasa ni uzungushaji tu.
Idrisa juzi hapa niliona alivyokuja juu na kuwakatia umeme Tanga Cement kwa kutokulipa. Sasa je wao wanapochukua pesa za wateja na kushindwa kutoa service, sisi tuna haki gani?
Mimi nataka kuongea na Idrisa mwenyewe au msaidizi wake kama inawezekana. Kama kuna mtu ana namba yake tafadhali nisaidieni.
Ikishindikana nitapeleka suala langu kwenye vyombo vya habari weekend hii.
Ubabaishaji wao huu na ambao unaleta hasara kwa watu wengine lazima uumbuliwe.
Kuna ugumu gani kuagiza meter za kutosha kwa ajili ya wateja wao?
Tafadhali yeyote mwenye msaada kwenye hili jambo naomba aandike hapa ili tupate ufumbuzi wa kudumu maana kwa mwendo huu tutaanda mpaka mwisho wa 2008, huku hakuna kinachoeleweka.
Siwezi kuendelea kupata hasara kwasababu Idrisa na shirika lake wanashindwa kutimiza wajibu wao.
Hii sio mada ya siasa lakini naomba ikae hapa kwa muda labda nitapata mtu wa kunisaidia.
Nina biashara yangu ambayo inahitaji umeme mwingi (three phase) lakini wakati tuananza Tanesco walifunga single phase kwasababu
tulianza na kazi chache.
Mwanzoni mwa mwaka jana tulilipia three phase meter ili waondoe single phase na kutuletea mpya lakini mpaka leo hakuna meter.
Mimi naingia hasara maana vyombo vikubwa vya music vikipingwa umeme unakatika, AC hatuwezi kuwasha na customers wanatukimbia kwa ajili ya hilo.
Nimefuatilia Tanesco kupitia watu mbalimbali na mpaka sasa ni uzungushaji tu.
Idrisa juzi hapa niliona alivyokuja juu na kuwakatia umeme Tanga Cement kwa kutokulipa. Sasa je wao wanapochukua pesa za wateja na kushindwa kutoa service, sisi tuna haki gani?
Mimi nataka kuongea na Idrisa mwenyewe au msaidizi wake kama inawezekana. Kama kuna mtu ana namba yake tafadhali nisaidieni.
Ikishindikana nitapeleka suala langu kwenye vyombo vya habari weekend hii.
Ubabaishaji wao huu na ambao unaleta hasara kwa watu wengine lazima uumbuliwe.
Kuna ugumu gani kuagiza meter za kutosha kwa ajili ya wateja wao?
Tafadhali yeyote mwenye msaada kwenye hili jambo naomba aandike hapa ili tupate ufumbuzi wa kudumu maana kwa mwendo huu tutaanda mpaka mwisho wa 2008, huku hakuna kinachoeleweka.
Siwezi kuendelea kupata hasara kwasababu Idrisa na shirika lake wanashindwa kutimiza wajibu wao.