WaTanzania Kenya WATELEKEZWA na serikali

Game Theory

JF-Expert Member
Sep 5, 2006
8,545
833
Website ya WIZARA YA MAMBO YA NJE haina travel advice

Rais yuko Ngorongoro anatazama wanyama

Waziri mkuu yuko bize ana entertain wageni weekend kwake

Waziri Membe hajulikani aliko

Media Tanza, kama kawaida wanashinda JF kutafuta news on

Balozi wa Tanzania Kenya naye inaonekana hana muda

Serikali yetu tjufu once agian kama ilivyowaTELEKEZA wanafunzi wetu kule UKRAINE, na sasa imewatelekeza ndugu zetu huko KENYA

Hii ni fundisho kwenu. Mjue kuwa ukiwa nje basi SERIKALI YA JAMHURI YA MUUNGANO YA TANZANIA haitokuwa na habari na wewe after all mnategemea nini kama serikali ilikuwa haina habari na wewe ulipokuwa ndani ya Tanzania

Infact serikali yetu na ZIMA MOTO hawa hawana tofauti

firefighter-group-photo.jpg


 
Du,
1. GT- u mzalendo Mtanzania kweli ndugu yangu! Nauliza je kuna Watz wangapi Kenya?

2. Hii sahihi yako over Obama- hongera kwa yeye kuweze kuwakonga moyo Iowa! Ila mbona Afro-Americans wanasema he is not 'African Enough' na hata sera zake za nje bara la Afrika Amekaa kimya? Hii ni nje ya mada hii!
 
..kuna watanzania wameomba msaada wakanyimwa?

..kumbuka kuna wengine hata hawafahamikia kama wako huko!walivyoenda huko wenyewe wanajua!
 
Msimamo wa Serikali Kuhusu Watanzania waliokwama Kenya.

Watanzania hao walijigharimia wenyewe kwenda Kenya na walikwenda huko kwa sababu zao wenyewe na serikali iliwakataza wasiende lakini hawakusikia. Wale waliosikia walirudi nyumbani na hawakupatwa matatizo yoyote. Wale walioko Kenya wasiidhalilishe nchi yetu kwa kuomba misaada kwenye ofisi za mataifa ya kigeni bali wawaombe ndugu zao ili wawasaidie. Endapo serikali italazimika kuwasaidia itawasaidia kwa mkopo ambao watatakiwa walipie miezi sita baada ya kurudi nchini. Vinginevyo, serikali haiwajibiki kwa namna yoyote na yale yanayowakuta.

Imetolewa na

Naibu Katibu Mkuu
 
Website ya WIZARA YA MAMBO YA NJE haina travel advice

Rais yuko Ngorongoro anatazama wanyama

Waziri mkuu yuko bize ana entertain wageni weekend kwake

Waziri Membe hajulikani aliko

Media Tanza, kama kawaida wanashinda JF kutafuta news on

Balozi wa Tanzania Kenya naye inaonekana hana muda

Serikali yetu tjufu once agian kama ilivyowaTELEKEZA wanafunzi wetu kule UKRAINE, na sasa imewatelekeza ndugu zetu huko KENYA

Hii ni fundisho kwenu. Mjue kuwa ukiwa nje basi SERIKALI YA JAMHURI YA MUUNGANO YA TANZANIA haitokuwa na habari na wewe after all mnategemea nini kama serikali ilikuwa haina habari na wewe ulipokuwa ndani ya Tanzania

Infact serikali yetu na ZIMA MOTO hawa hawana tofauti

firefighter-group-photo.jpg



Hi!! kuna mtu ana data na habari zozote za wa Tz waliopo Kenya? Nimeajaribu kusearch kila mahali ..but in vain!! Anybody please...! Au if any Tz anasoma hapa...shout out if you think you need any help...Sema hapa...we can do all the possible....wengine tuko karibu kabisa na hapo mlipo!! Kama serekeli yetu ndio kama inavyoonekana hapo ZIMA MOTO_TYPE..dont worry tutafanya kazi yao..na wasijekulalamika..tukitinga ikulu kumalizia tulichoanza..Kama viongozi hawafanyi kazi ya kutuongoza tutajiongoza wenyewe na wasijekutuuuliza namna tutakayoitumia kujiongoza ..maana tutawauliza walikuwawapi all the time mpaka tukajiongoza wenyewe. Bahati mbaya sana kundi kubwa linapokosa kiogozi na kuanza kujiogoza wenyewe uogozi wake ni kama huo unaotokea hapo Kenya sasa hivi..KUNDI LOTE LINAONGOZA. Au ni kama Kibaka anapofuatwa Kituo cha polisi na wanachi waliojichukulia uongozi kama kundi na kuchoma kituo moto..Swali..VIONGOZI WALIKUWA WAPI MPAKA WANANCHI WAKAJIONGOZA WENYEWE KAMA KUNDI???

Kwanza hata hawa wawekaezaji ...hawa...wano tuibia rasilimali zetu hawa..Wakae wapime kama kuna wizi wantufanyia...Viogozi wetu wasipotuongoza ili tukatendewe haki...Kuna siku wananchi watajiongoza wenyewe..na MOTO UTAWAWAKIA TU...anyway back to the point..Kama kuna Watz wametelekezwa mahali..pls come out..Tutarusha Ndege zetu kuja kuwachukua..Na mtu asituulize tumetoa wapi ndege ..na tumetake off kutoka kiwanja gani?..maana sisi hatukuwauliz amlifikaje huku ...Rais yuko Ngorongoro anatazama wanyama

Waziri mkuu yuko bize ana entertain wageni weekend kwake

Waziri Membe hajulikani aliko

Media Tanza, kama kawaida wanashinda JF kutafuta news on

Balozi wa Tanzania Kenya naye inaonekana hana muda
 
Msimamo wa Serikali Kuhusu Watanzania waliokwama Kenya.

Watanzania hao walijigharimia wenyewe kwenda Kenya na walikwenda huko kwa sababu zao wenyewe na serikali iliwakataza wasiende lakini hawakusikia. Wale waliosikia walirudi nyumbani na hawakupatwa matatizo yoyote. Wale walioko Kenya wasiidhalilishe nchi yetu kwa kuomba misaada kwenye ofisi za mataifa ya kigeni bali wawaombe ndugu zao ili wawasaidie. Endapo serikali italazimika kuwasaidia itawasaidia kwa mkopo ambao watatakiwa walipie miezi sita baada ya kurudi nchini. Vinginevyo, serikali haiwajibiki kwa namna yoyote na yale yanayowakuta.

Imetolewa na

Naibu Katibu Mkuu

ww mkjj wacha utoto wako.

ww hata huu mwaka mpya hujabadilika bado?
 
Kuna rubani wa JWTZ aliyeanguka na helikopta alipelekwa kwa matibabu nairobi, sina uhakika kama aliruhusiwa kabla ya vurugu.
 
kp-4.jpg
[/IMG]

Halafu waTanzania waliopo nje wakiamua kuchukua uraia wa nchi ambazo zinawajali wanaambiwa si wazalendo!

kama kuna mtu anaandika paper kuhusu serikali ilivyo incompetent basi usiende mbali kwani United Republic of Tanzania ni mfano mzuri sana

 
Website ya WIZARA YA MAMBO YA NJE haina travel advice ...Serikali yetu tukufu once agian kama ilivyowaTELEKEZA wanafunzi wetu kule UKRAINE, na sasa imewatelekeza ndugu zetu huko KENYA
Hii ni fundisho kwenu. Mjue kuwa ukiwa nje basi SERIKALI YA JAMHURI YA MUUNGANO YA TANZANIA haitokuwa na habari na wewe after all mnategemea nini kama serikali ilikuwa haina habari na wewe ulipokuwa ndani ya Tanzania

Ndiyo Tanzania hiyo! na kama hupendi watakwambia urudishe ganda lao. Nakumbuka wakati fulani wa-China walikuwa wanatembeza kipigo kwa waafika, bila kujali nini wala nini. nakumbuka JJ Rawlings (Ghana) alitoa ndege ili kwenda kuwachukua wa Ghana wenzake huko, na akasema pia waafrika wa nchi zingine ambao nchi zao zitakuwa zimewatelekza. Cha ajabu ni kuwa Tz ilitoa tamko rasmi la kiserikali ati hizo fujo siyo za watanzania na haitotuma msaada wa aina yeyote, na mtannzania atakayefahimika amejiingiza kwenye hayo maugomvi atachukuliwa hatua, kwani wa china na waTz ni marafiki sana.

Pia hii hali ishatokea Urusi, enzi zile Soviet Union, tamko la serikali lilikuwa la kijinga vivyo hivyo.

Watanzania ambao wapo Kenya wanatakiwa mambo yakiwazidia wakimbilia Brithish Embassy ili waweze nusurika badala ya kutaka kukimbilia Tz High commission huko kwani wanaweza tolewa baruti.
 
Unajua kuna afisa mzito wa serikali aliniambia kuwa jamaa wamejichmbia BAGAMOYO wanatengeneza website ya Bwana Membe that was 2 years ago

sasa kama Membe anashindwa kuwa na website ya wizara yenye kutoa travel advice what makes you think tunaweza kumuelewa akituambia wana "VISHENI" mpya kwa balozi zetu za nje?

 
Ndiyo Tanzania hiyo! na kama hupendi watakwambia urudishe ganda lao. Nakumbuka wakati fulani wa-China walikuwa wanatembeza kipigo kwa waafika, bila kujali nini wala nini. nakumbuka JJ Rawlings (Ghana) alitoa ndege ili kwenda kuwachukua wa Ghana wenzake huko, na akasema pia waafrika wa nchi zingine ambao nchi zao zitakuwa zimewatelekza. Cha ajabu ni kuwa Tz ilitoa tamko rasmi la kiserikali ati hizo fujo siyo za watanzania na haitotuma msaada wa aina yeyote, na mtannzania atakayefahimika amejiingiza kwenye hayo maugomvi atachukuliwa hatua, kwani wa china na waTz ni marafiki sana.

Nakumbuka hii saga..! Sereakali ilichemsha ... na ingetegemewa iwe imeziduka na kuwa more effective by now kwenye mambo kama haya. AND: Nimesikia habari za jioni hapa ... wametoa tamko kuwa wanafuatilia kwa karibu soon Tz itafanya vitu vyake kuinusuru Kenya kwnye machafuko! Lets wait and see!!!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom