Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA TIMU YA RAIS YA UCHUNGUZI WA FEDHA ZA EPA TAARIFA KWA UMMA Kama mnavyofahamu tarehe 08 Januari, 2008 Mheshimiwa Rais Jakaya Kikwete aliunda Timu inayojumuisha...
0 Reactions
43 Replies
7K Views
Imekuwa kasumba kwa wapinzani kung'ang'ania kugombea nafasi ya urais wakati wa uchaguzi mkuu.Nadiriki kusema ni kung'ang'ania kwa sababu ya msingi kabisa.Iweje mtu kama Prof Shayo au...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Nianze kwa kusema kwamba nilifarijika sana nilipopata habari za Account ya Tanzanite na kuamua kujiunga mwaka 2006 katikati.Kero kubwa niliyokutana nayo kwa kipindi cha mwaka mzima ni kutokuwa na...
0 Reactions
25 Replies
8K Views
Inasikitisha kwa jinsi tusivyoona umuhimu wa research au niseme elimu kwa ujumla. Tuko radhi kusamehe kodi wageni wanaokuja kwa visingizio vya kuwa investors, wakati ni wafanyabiashara wa kawaida...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Kama kuna kitu waKenya hawataki kuadmit ni niuwa Tanzania kunaanza kuwa major player in the region japo tunadeal na mafisadi wetu kwa namna ambavyo tunajua wenyewe. Maana watanzania wakionewa na...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Sometimes it's as if all African leaders of the current era are from the same family. Except for the freedom fighters modern Africa leaders share the following common problems: 1. Lack of...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
It is interesting to hear and see that our 2 Presidents Mkapa na Kikwete have devouted so much of their time, energy and efforts using our tax money to have Kibaki and Raila agree to have Serikali...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Posted Date::3/11/2008 'Serikali inawalinda mafisadi wa EPA' *Shivji asema kauli ya Kamati ya EPA inatia shaka * Asema kampuni haipo bila wamiliki Na Jackson Odoyo Mwananchi MHADHIRI...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Dear members, I hope my style of writing won't be confusing. In the bellow message I have tried to come up with an analogy to the existing Tanzanian system as whole and called it a BAD TREE...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nimesikia kisehemu cha taarifa ya habari televisheni ya taifa leo hii Kpt Chiligati akimtetea Mheshimiwa muungwana ati ana nia ya kweli ya kuushugulikia ufisadi wa EPA kwa kuwaalika wakaguzi...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
2008-03-11 10:36:59 Na Mashaka Mgeta Rais Jakaya Kikwete, ameanza kuwashughulikia wafanyabiashara wakubwa, wanaotuhumiwa kuhusika katika biashara haramu ya uingizaji na uuzaji wa dawa za...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
2008-03-10 18:22:02 Na Mwandishi Wetu, Jijini Wakati timu iliyoundwa na Rais Jakaya Kikwete kuchunguza upotevu wa mabilioni ya pesa za Akaunti ya Malipo ya Madeni ya Nje, EPA, ikiendelea...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Tume haitatoa taarifa za fedha za EPA kwa sasa 2008-03-09 16:46:28 Na Radio One Habari Timu iliyoundwa na Rais Jakaya Kikwete kuchunguza upotevu wa fedha za Akaunti ya Malipo ya Madeni ya...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
na Tamali Vullu, Zanzibar KATIKA hali inayoweza kuonyesha kuporomoka kwa hadhi ya Waziri Mkuu aliyelazimika kujiuzulu kutokana na kashfa, Edward Lowassa, Kanisa la Kiinjili la Kilutheri...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Mheshimiwa Rais Kikwete, Waswahili wanasema kosa ni kurudia kosa. Hapo hukumu yakupasa! Kwa uwanja wa siasa na nafasi yako ya Urais wa Jamhuri na Mwenyekiti wa CCM, Kosa ni kulinda makosa...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Finland plans to freeze part of the direct budget funding it had planned to give to Tanzania over suspicions of corruption. Finland has provided aid to the East African country for decades...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
2008-03-07 16:27:01 Na Valery Kiyungu, Kunduchi Shule ya Msingi Ununio iliyoko katika Kata ya Kunduchi Jijini imepokea msaada wa madawati mapya 148 yaliyo na thamani ya zaidi ya shilingi...
0 Reactions
33 Replies
5K Views
Nimekua nikikasirika sana hawa wazungu wanaponiambia nimetoka ktk bara la giza afrika Na nimekua mstari wa mbele kuwaulaumu ndugu zangu pale wanapojitamburisha wao wanatoka Jamaica ama...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Bwana Mengi leo katika taarifa ya habari ITV na kwa niaba ya media owners wa TZ ametoa tamko kali dhidi ya walio chukua pesa kwa Lowasa na Rostam ili wawasafishe majina yao .Aliendelea kudai...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
EYE SPY: Not more coal in Mbeya! Adam Lusekelo Dar es Salaam I HEAR that more coal deposits have been found in Mbozi and Chunya Districts in Mbeya Region. Some company called Magamba...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Back
Top Bottom