Mugishagwe
JF-Expert Member
- Apr 28, 2006
- 299
- 58
Bwana Mengi leo katika taarifa ya habari ITV na kwa niaba ya media owners wa TZ ametoa tamko kali dhidi ya walio chukua pesa kwa Lowasa na Rostam ili wawasafishe majina yao .Aliendelea kudai kwamba kwenye soo la Richmond kuna wakubwa kibao wamebaki na sasa wanatumia pesa kuwazima waandishi na wengine kuomba kuandikwa vyema .Mwenye full statemet tafadhali aiweke .
Je kujotokeza kwa Mengi hadharani ni move mpya ya watu kuumana ?
Je kujotokeza kwa Mengi hadharani ni move mpya ya watu kuumana ?