Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
Unaombwa utoe ushauri wa jinsi ya kutatua matatizo ya elimu ya Juu nchini ili hatimaye:
a. Migomo isiyo ya lazima isitokee
b. Elimu ya Juu inapatikana kwa kila atakaye
c. Familia zinaweza kumudu elimu ya juu
d. Elimu ya Juu inakuwa ni ya kiwango cha juu katika ubora wake na kuandaa wanafunzi katika ushindani wa soko la ajira la kimataifa.
e. Kuwaandaa wanafunzi kuwa watafiti na kuchangia utaalamu wao katika mabadiliko ya jamii yetu.
f. Kujenga nidhamu ya kisomi nchini.
NB: Yawezekana kuna kaubaguzi ka aina fulani hapa kwa kufocus kwenye elimu ya juu tu. Mniwie radhi.
a. Migomo isiyo ya lazima isitokee
b. Elimu ya Juu inapatikana kwa kila atakaye
c. Familia zinaweza kumudu elimu ya juu
d. Elimu ya Juu inakuwa ni ya kiwango cha juu katika ubora wake na kuandaa wanafunzi katika ushindani wa soko la ajira la kimataifa.
e. Kuwaandaa wanafunzi kuwa watafiti na kuchangia utaalamu wao katika mabadiliko ya jamii yetu.
f. Kujenga nidhamu ya kisomi nchini.
NB: Yawezekana kuna kaubaguzi ka aina fulani hapa kwa kufocus kwenye elimu ya juu tu. Mniwie radhi.