Phillemon Mikael
Platinum Member
- Nov 5, 2006
- 10,533
- 8,619
wadau mbunge wa mbeya vijiini..ndugu nyaulawa ni mgonjwa...sana ..tumkumbuke kwenye maombi...
wadau mbunge wa mbeya vijiini..ndugu nyaulawa ni mgonjwa...sana ..tumkumbuke kwenye maombi...
....Ushirombo hii yako haijatulia unakemea kifo????? No way man kufa ni wajibu lakini kwa imani zetu tunawajibika kuwaombea wale wapendwa wetu wanapokuwa katika magumu ili pale mwenyezi mungu mwingi wa rehma awape unafuu basi...other wise hatuna la zaidi...Huyu mzee nakumbuka alienda tibiwa India, alikuwa akisumbuliwa na intestinal cancer, Eeeh Mungu mwingi wa rehema mponye mh Nyaulawa, nakemea nguvu giza na kifo, wote tuseme Amina.......
RIP Nyaulawa... Chanzo cha kifo?