Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Ni zaidi ya Miezi 10 sasa hakuna kinachofanyika katika kiwanda cha Nyama tangu apatikane mwekezaji, kupitia ubia wa mwekezaji huyo na Mbunge wa Meatu, Salum Khamis, maarufu kama Salum Mbuzi...
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Mafisadi wameamua kutafuta mgaga Nchini Nigeria ili kuwafanya mazezeta wale wanaopambana na ufisadi Source: Sema usikike
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Kuna tetesi kwamba EABL (Kenya) wanatamani sana kuinunua Serengeti, ambayo imneweza kutoa ushindani mzuri sana kwa TBL pamoja na kwamba ina brand moja tu ambayo ni popular. Kuna tetesi pia...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Na Hemed Kivuyo, Arusha MUASISI wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo(Chadema), Edwin Mtei amesema kuwa endapo mwenyekiti wa chama hicho, Freeman Mbowe hatagombea urais mwaka 2010 basi chama...
0 Reactions
27 Replies
4K Views
Makamo Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Zanzibar, Rais Amani Abeid Karume leo anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika mkutano mkubwa ulionadaliwa na chama hicho kwa lengo kuelezea mazungumzo ya...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Hivi karibuni kumetokea mtafaruku mkubwa kati ya Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi na spika Sitta na uendeshaji wake wa Bunge. Lakini pia tumemsikia Kafulila akitupa dongo kwa CHADEMA kwa kuikosoa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
No more power rationing - TANESCO By ThisDay Reporter 21st November 2009 TANZANIA Electric Supply Company, TANESCO, has declared that there will be no more power rationing following...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
OIL AND GAS EXPLORATION COMPANIES OPERATING IN TANZANIA See: http://www.tpdc-tz.com/ View: http://www.tpdc-tz.com/activity-NOVEMBER-2009.pdf
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Na Aristariko Konga MKURUGENZI Mkuu wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), Dk. Idrissa Rashid ametumia Sh. 49,122,800 kununulia maua, samani, sanamu na mapambo mengine ya nyumba...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
RAIS Jakaya Kikwete amepongeza hatua iliyochukuliwa na Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Amani Abeid Karume, na Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Seif Sharif Hamad, kukutana na...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nimeona TBC News usiku huu, kumetokea ajali nyingine ya basi la abiria katika kijiji cha Pandambili, Dodoma, ni basi la Taqwa lililokuwa likielekea Bujumbura, limepinduka na limeteketea kwa moto...
0 Reactions
5 Replies
6K Views
Date::11/3/2009Rais Mstaafu Benjamin Mkapa atajwa katika kesi ya kina Mramba Rais Mstaafu awamu ya tatu, Benjamin Mkapa, jina lake limetajwa katika kesi ya akina Mramba. Na Tausi Ally...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
19th November 2009 Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi (UWT), Sophia Simba. Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi...
0 Reactions
45 Replies
6K Views
kuna msululu wa wa wafanyakazi ambao wameacha kazi katika idara hiyo nyeti nchini, wafanyakazi hao ni kutoka katika kada mbalimbali, wengi wameshaondoka na wengine wengi wanahangaika kutafuta...
0 Reactions
22 Replies
4K Views
SAKATA la posho mbili kwa wabunge linatishia kumlipua hata Rais Jakaya Kikwete na viongozi kadhaa ndani ya Chama Cha Mapinduzi na serikali. Iwapo hilo litatokea, juhudi za Katiku Mkuu Ikulu...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
1: Uhuru wa kusema/kutoa maoni 2: Kutambuliwa utu wake 3: Kuchagua kiongozi anaye mtaka 4: 5: 6: n.k n.k
0 Reactions
1 Replies
6K Views
Nimekuwa najiuliza mara nyingi sababu za kuwa na viongozi wabovu wanaokiuka maadili ya uongozi hapanchini ila sjapata jibu. Nikafikiri labda ni kwa sababu kilichokuwa kuwa chuo cha uongozi...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Kama kuna watanzania wanaostahili tuzo kwa mchango wao katika taifa hili baada ya kifo cha baba wa taifa basi ni Dr. Slaa, Tindu Lisu, Kubenea na Mengi. Hawa wamediliki kupambana na rushwa ya...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
CCM yateua 'mafisadi' kufadhili Kikwete 2010 Na Saed Kubenea MwanaHALISI WATUHUMIWA wa ufisadi wameteuliwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuunda kamati ya kukusanya fedha za uchaguzi mkuu ujao...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Memorable Speech of Idi Amin Dada After a luncheon hosted by the Queen in London in his honour, the former Ugandan leader Idi Amin Dada had this to say for his vote of thanks. "My majesty Mr...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Back
Top Bottom