Ulimbo
JF-Expert Member
- Aug 14, 2009
- 3,767
- 4,035
Nimekuwa najiuliza mara nyingi sababu za kuwa na viongozi wabovu wanaokiuka maadili ya uongozi hapanchini ila sjapata jibu.
Nikafikiri labda ni kwa sababu kilichokuwa kuwa chuo cha uongozi kivukoni kilifungwa na haukuna tena chuo kama hicho.
Wana JF naombeni mchango wenu.
Nikafikiri labda ni kwa sababu kilichokuwa kuwa chuo cha uongozi kivukoni kilifungwa na haukuna tena chuo kama hicho.
Wana JF naombeni mchango wenu.