Companero
Platinum Member
- Jul 12, 2008
- 5,604
- 1,704
OIL AND GAS EXPLORATION COMPANIES OPERATING IN TANZANIA
[FONT=Georgia,Bold][FONT=Georgia,Bold][FONT=Georgia,Bold][/FONT][/FONT][/FONT]
Ubaya wa Tanzania ni kwamba hatuna hulka ya kujifunza kutokana na uzoefu wa wenzetu. Tungejifunza kutoka Botswana tungekuwa mbali sana katika mambo ya madini. Sasa Mola aepushe tusijegundua mafuta na kujikuta yaliyotokea Nigeria yakitunyemelea.
Mwenzio akinyolewa, wewe tia maji na Asiejua kufa na aangalie kaburi. Hizo ni methali mbili kati ya nyingi tulizo wachiwa na Wahenga wetu. Sijui kama viongozi wetu wana mazingatio ya misemo hiyo na pia kama wanamaandalizi ya kutosha juu ya upokeaji wa hizo nishati ikiwa zitajitokeza, achilia mbali MIKATABA yake kama hatutaambulia 0.001%. kabla ya kujumlisha uchafuzi na uharibifu wa mazingira na Wananchi wangapi wataondolewa Vijijini mwao kwa Mikiki. "YETU MACHO".Ubaya wa Tanzania ni kwamba hatuna hulka ya kujifunza kutokana na uzoefu wa wenzetu. Tungejifunza kutoka Botswana tungekuwa mbali sana katika mambo ya madini. Sasa Mola aepushe tusijegundua mafuta na kujikuta yaliyotokea Nigeria yakitunyemelea.