7.7bn/- Muhimbili Paediatric block handover next month
By Dominic Nkolimwa; 25th January 2010
Muhimbili National Hospital
Health and Social Welfare ministry is set to handover the...
JF,
Wakati huo sikuwa nafuatilia sana mambo ya siasa, lakini kuna kipindi nikapata kujua kwa juu JUU kuwa kuna Group moja ndani ya bunge lilikuwa linadai tanganyika yetu - hili lilikuwa...
Habari tulizozipata muda mfupi ni kwamba maofisa sita wa Halmashauri ya wilaya Bagamoyo wametimuliwa kazi na WAZIRI MKUU Mh. Pinda leo hii kwa kosa la ubadhirifu wa mali ya umma, na kutojali kero...
Ukisoma hapa chini utaona kuwa serikali inakumbuka mchango wa PM wawili kati ya wote na hilo limewekwa wazi kwenye website ya serikali.
Swali je? Warioba , Salim hawakuacha kitu cha kukumbukwa...
Tatizo linakuja Serikali inapiokataa au kuona ina haki ya kutotimiza yanayotakiwa na wawakilishi wa wananchi, je hiyo serikali kweli ni ya wananchi au ya Mafisadi.
Hii inafuatia tamko la serikali...
Toka mwaka 2006 Tanzania imekuwa nchi ya kusikiliza habari za migongano ya kisiasa baina wabunge na viongozi kadhaa wanaopenda kutangazwa na vyombo vya habari.
Wametokea watu ambao wana kiu...
SHINIKIZO lililokuwa likitolewa na Chama cha Wananchi (CUF), kutaka Katiba ya Zanzibar ivunjwe ili Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), Amani Abeid Karume aongezewe muda wa kuongoza...
Taarifa ya Maendeleo ya Kuchangia Wahanga Wa Mafuriko.
Mtandao Wa Wanataaluma Tanzania (TPN) Kwa kushirikiana na www.issamichuzi.blogspot.com na www.jamiiforums.com na kampuni ya Push Mobile...
Mwaka 2010 CCM itashinda kwa sababu ya ujanja na pesa.
Mawakala wa vyama vya upinzani njaa tupu, wagombea wa udiwani na ubunge wanaweza kujitoa au kufanya sabotage
Kwa wale waliobahatika kufika katika ofisi za balozi zetu katika nchi mbalimbali watakubaliana nami kwamba hali inasikitisha. Pamoja na uchache wa maafisa, uwezo wao kitaaluma pia ni wa kutilia...
Kumekuwa na fikra ndani ya tume ya uchaguzi kuwa kuna mpango wa kuongeza majimbo ya uchaguzi kwenye uchaguzi ujao. Hii inathibitisha kuwa ni jinsi gani watunga sera wanavyoona umuhimu wa kulinda...
- According to the dataz, Jumapili hii kutakua na kikao cha dharura cha CCM. Habari hizi tumezithibitisha toka kwa vigogo mbali mbali wa CC walio katika safari za mbali, ambao wamefahamishwa...
Jamani wakuu, yukwapi Mh Zitto Kabwe, sijamsikia muda kidogo humu ndani na nina hamu kweli ya kuzungumza nae suala la Nyumba mbili kwa bilioni mbili unusu
Maadili na nidhamu ya watumishi wa umma yameporomoka. Polisi na wanajeshi mara kadhaa wamekuwa ni majabazi.watumishi wa umma wanasaini mikataba mibovi mingi sina budi kuzitaja.Rais wa nchi amekosa...
Mtuhumiwa EPA adaiwa kuandaa harambee CCM
*NI MARANDA, WAMWALIKA RAIS KIKWETE
Sadick Mtulya
MTUHUMIWA wa wizi wa fedha kwenye Akaunti ya Malipo ya Madeni ya Nje (EPA), Rajabu Maranda anadaiwa...
NB: kwa kuweka Katiba hii haina maana ninakiunga mkono chama hiki au kukubaliana nacho au kukipendekeza kwa wananchi kwa wakati huu. M.M
KATIBA
YA
CHAMA CHA JAMII
(CCj)
Utangulizi...
Happiness Katabazi
KATIKA mchakato wa mageuzi ambayo yamefanyika kwenye Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977, mfumo wa sheria na siasa za nchi, taasisi za dola zimejikuta...
Daniel Mjema (mwananchi),Moshi
MBUNGE wa Same Mashariki, Anne Kilango Malecela ametangaza rasmi kupiga kambi Moshi Mjini hadi mwaka 2010 ili kuhakikisha kuwa CCM inanyakua jimbo hilo, uamuzi...
Wana JF na wadanganyika kwa ujumla,
Ningelipenda nikakupeni kidokezo juu ya ugawaji majimbo, mimi binafsi yangu ni mzanzibari na katika historia yetu huko visiwani tushashuhudia ugawaji...
Kenyan hypocricy over sale of Tanzania's ivory stock
Kenya angry with CITES over sale of ivory, partisan secretariat
By COSMAS BUTUNY
January 17 2010
The secretariat of the Convention on...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.