mnamtaka wa nin?
tunaomba tupumzike kidogo na habari za huyu kijana,EBO!
jaribu kukonsetreti kwenye muungano na MPASUKO WAKE
mnamtaka wa nin?
tunaomba tupumzike kidogo na habari za huyu kijana,EBO!
jaribu kukonsetreti kwenye muungano na MPASUKO WAKE
Hapana hatumtaki kwa ajili ya mambo yake, tunamtaka kwa ajili ya kuzungumza nae kama mwenyekiti wa kamati ya bunge inayoshughulikia mashirika ya umma, atuambie hili la nyumba za vigogo wa BOT likoje mbona anaonekana amepoa sana kwenye hilo?
muungano wenyewe haupo, mpasuko wake utoke wapi?
Hivi nini msichoelewa kuhusu siasa za AFRICA? siasa za Africa na zifananisha sana na dini mpya zinazoibuka kwa ajili ya maslahi ya mchungaji na sio kwa maslahi ya kiroho ya waumini.
Kakaa kimya kuhusu Gavana maana ushahidi wa shiria ya manunuzi ya umma ulionyeshwa kufuatwa hatua kwa hatua. Zitto yeye ni msomi na hivyo sii mtu wa kupinga tu kila kitu hata kama hakuna ulazima wa kufanya hivyo. Serikali nayo imehamua kwa gharama yoyote kumtetea Ndulu hata kwa ushahidi wa kutengeneza, maana wameona wakiachilia hili litakuwa mbaya zaidi ya lile la EPA. Pia ukizimgatia ndulu alikuwa naibu wa balali na kama wakimwachia huyu tena wataharibu kabisa mchongo. Serikali ya JK kwa sasa inakaba hata penalty.
tupumzishe na habari za huyo zitttooo please tuconcentreate na ujenzi wa taifa letu changa,achana na habari za individual cheap popularity