MrFroasty
JF-Expert Member
- Jun 23, 2009
- 1,195
- 592
Wana JF na wadanganyika kwa ujumla,
Ningelipenda nikakupeni kidokezo juu ya ugawaji majimbo, mimi binafsi yangu ni mzanzibari na katika historia yetu huko visiwani tushashuhudia ugawaji majimbo mara karibuni 2.
Mara zote hizo 2 ugawaji majimbo hufanywa na serekali ya iliyoko madarakani kukimbia wapinzani kupata viti kwenye vyombo vya sheria.
Ningelipenda nanyi musitizame au kuhangaika kwenda mbali duniani, musome historia hiyo ya Zanzibar.Mara ya mwisho tukiachilia mbali huko kwenye historia ya 60's, ni hapo baada ya uchaguzi wa 1995.Serekali ya CCM iligawa majimbo kama ni technique ya kukimbia majimbo au concentration ya wapinzani.
Kwa hiyo kuweni makini...na ikiwezekana wadanganyika muandamane kupinga suala hili.
Ningelipenda nikakupeni kidokezo juu ya ugawaji majimbo, mimi binafsi yangu ni mzanzibari na katika historia yetu huko visiwani tushashuhudia ugawaji majimbo mara karibuni 2.
Mara zote hizo 2 ugawaji majimbo hufanywa na serekali ya iliyoko madarakani kukimbia wapinzani kupata viti kwenye vyombo vya sheria.
Ningelipenda nanyi musitizame au kuhangaika kwenda mbali duniani, musome historia hiyo ya Zanzibar.Mara ya mwisho tukiachilia mbali huko kwenye historia ya 60's, ni hapo baada ya uchaguzi wa 1995.Serekali ya CCM iligawa majimbo kama ni technique ya kukimbia majimbo au concentration ya wapinzani.
Kwa hiyo kuweni makini...na ikiwezekana wadanganyika muandamane kupinga suala hili.